- Thread starter
- #261
Akikujibu nishtue Mkuu!!Angekuwa mtoto wa Magufuli enzi hizo ungesema haya?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akikujibu nishtue Mkuu!!Angekuwa mtoto wa Magufuli enzi hizo ungesema haya?
Kwaiyo kupiga dili za kitapeli ndiyo ujanja kumbe!Sasa kama waatoto wa Magufuli ni mapoyoyo kama wewe ndiy wote wawe mapoyoyo?
Wapuuzi kama huyo wamejaa nchi nzima ni sawa na yule Mheshimiwa Mpina kule bungeni ni wivu, roho mbaya na majungu kwa kwenda mbele.amevunja ibara ipi ya katiba yetu? hii nayo ni post? Ulitaka asiajiriwe? Hivi watu mnawaza kwa kutumia viuongo gani? Hujui mtoto wa Museveni ni mkuu wa majeshi kule Uganda? Na je Rwanda unafahamu watoto wa Kagame wako ktk nafasi zipi. Mtoto wa rais ni dhambi kufanya kazi? Sijawahi ona mtu mpumbavu km wewe.
Kama huwezi kuona hilo ni tatizo basi uwezo wa akili yako uko chini sana kuliko kiwango cha kawaidaHili nalo la ni ajenda tayari,kuzunguka nchi nzima kulitangaza.
Hata JPM alikuwa mwizi pengine kumzidi huyu Samia, yeye alianza miaka na miaka pale wizara ya ujenzi.Anapiga deal za, familia,
Kama Hunter Biden, alivyokuwa anapiga deals Baba kule Ukraine!
Huyu mama, ni, mwizi, kama mzee wa msoga
Kuna utapeli gani kafanya?Kwaiyo kupiga dili za kitapeli ndiyo ujanja kumbe!
Rais Samia kila siku anapokea ujumbe wa Marais mbalimbali,ni lini uliona hao Marais wakiwatuma watoto wao?Hiyo mijitu mijinga.
Magufuli alikuwa mwizi tu, nchi hii mwaminifu ni Julius Kambarage Nyerere hakugusa madini wala utajiri wowote tulionao.Yanayofanywa na Samia, Magufuli hakuthubutu kuyafanya pamoja na ubaya wake wote!!
Onyesha wapi Magufuli watoto wake walifanya kama haya ya Samia?!? Onyesha wapi watoto wa Nyerere walifanya kama haya ya Samia japo Nyerere alikaa madarakani miaka 20 na alikua na watoto kedekede?!!
Mambo ya hovyo yanapaswa kukemewa,hatotetewa mtu kwa dini yake,hatokolewa mtu kwa dini yake,anatakiwa kukemea Mambo ya personal conflict.
Tanzania ina makubaliano ya kizalisha umeme na Uganda,Leo hii mtoto wa rais mseme nae ana kampuni yake binafsi ndio anafanya na yeye kazi na serikali ya Uganda. Huyo mtoto kama asingekua mtoto wa Samia angepewa hiyo hadhi ya delegation na Uganda?!!
Ni ujinga kutetea jambo la hovyo na la kipuuzi na fedheha kwa Taifa!!
Kwani huyo mtoto ameenda kwa masuala ya kiserikali?Rais Samia kila siku anapokea ujumbe wa Marais mbalimbali,ni lini uliona hao Marais wakiwatuma watoto wao?
Huyo Mseveni masuala ya Nishati huwa anamtuma Waziri wake wa Nishati na siyo mwanae Muhozi Kainerugaba,uyo mtoto wa Samia ana cheo gani serikalini mpaka awe head wa delegation za kiserikali.
Usijitoe ufahamu,leo mumeshikwa pabaya![emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wewe umewahi kumuona Mtoto wa Museveni, Muhozi Kainerugaba akija Tanzania kuwakilisha serikali Uganda?Kuna utapeli gani kafanya?
Wapi imesemwa hapo amewakilisha Serikali ya Tanzania?Wewe umewahi kumuona Mtoto wa Museveni, Muhozi Kainerugaba akija Tanzania kuwakilisha serikali Uganda?
Huyo kama mbwa koko tu, anabweka akielekea mlangoni huku mkia wote kaurudisha tumboni.Wenzio wanampinga hadharani ila wewe cha uwoga kazi kutukana kwenye keyboard. Toka nje kama kina Mwabukusi na shoga mdude uone kama utaweza kutukana.
Sawa aliiba yeye na rafiki zake Ila hajawahi kukosa aibu hadi kufikia hatua ya watoto wake kua mstari wa mbele kama maafisa wa serikali kwenda kufanya biashara na wakubwa wengine wa serikali!!Magufuli alikuwa mwizi tu, nchi hii mwaminifu ni Julius Kambarage Nyerere hakugusa madini wala utajiri wowote tulionao.
JPM amepiga pesa za plea bargain na kuzipeleka kule China, pia ukumbuke kwa miaka karibu 20 alikuwa bosi wa wizara ya ujenzi.
Rais Samia kila siku anapokea ujumbe wa Marais mbalimbali,ni lini uliona hao Marais wakiwatuma watoto wao?
Huyo Mseveni masuala ya Nishati huwa anamtuma Waziri wake wa Nishati na siyo mwanae Muhozi Kainerugaba,uyo mtoto wa Samia ana cheo gani serikalini mpaka awe head wa delegation za kiserikali.
Usijitoe ufahamu,leo mumeshikwa pabaya![emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wapi imesemwa wameenda kama maofisa wa Serikali?Sawa aliiba yeye na rafiki zake Ila hajawahi kukosa aibu hadi kufikia hatua ya watoto wake kua mstari wa mbele kama maafisa wa serikali kwenda kufanya biashara na wakubwa wengine wa serikali!!
Pata taarifa kamili ya hiyo safari ya huyo dogo vinginevyo ni hukumu zile zile zisizo na ushahidi wa kutosha.Sawa aliiba yeye na rafiki zake Ila hajawahi kukosa aibu hadi kufikia hatua ya watoto wake kua mstari wa mbele kama maafisa wa serikali kwenda kufanya biashara na wakubwa wengine wa serikali!!
Yanakuja haya,tuombe uzima!Wapi imesemwa hapo amewakilisha Serikali ya Tanzania?
Hili ndo jibu la swali uliloulizwa?Yanakuja haya,tuombe uzima!View attachment 2715510