Mtoto wa Rais Samia, Abdul ana cheo gani Serikalini/Wizara ya Nishati hadi akutane na Rais Museveni?

Mtoto wa Rais Samia, Abdul ana cheo gani Serikalini/Wizara ya Nishati hadi akutane na Rais Museveni?

amevunja ibara ipi ya katiba yetu? hii nayo ni post? Ulitaka asiajiriwe? Hivi watu mnawaza kwa kutumia viuongo gani? Hujui mtoto wa Museveni ni mkuu wa majeshi kule Uganda? Na je Rwanda unafahamu watoto wa Kagame wako ktk nafasi zipi. Mtoto wa rais ni dhambi kufanya kazi? Sijawahi ona mtu mpumbavu km wewe.
Wapuuzi kama huyo wamejaa nchi nzima ni sawa na yule Mheshimiwa Mpina kule bungeni ni wivu, roho mbaya na majungu kwa kwenda mbele.
 
Hiyo mijitu mijinga.
Rais Samia kila siku anapokea ujumbe wa Marais mbalimbali,ni lini uliona hao Marais wakiwatuma watoto wao?
Huyo Mseveni masuala ya Nishati huwa anamtuma Waziri wake wa Nishati na siyo mwanae Muhozi Kainerugaba,uyo mtoto wa Samia ana cheo gani serikalini mpaka awe head wa delegation za kiserikali.
Usijitoe ufahamu,leo mumeshikwa pabaya![emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Yanayofanywa na Samia, Magufuli hakuthubutu kuyafanya pamoja na ubaya wake wote!!

Onyesha wapi Magufuli watoto wake walifanya kama haya ya Samia?!? Onyesha wapi watoto wa Nyerere walifanya kama haya ya Samia japo Nyerere alikaa madarakani miaka 20 na alikua na watoto kedekede?!!

Mambo ya hovyo yanapaswa kukemewa,hatotetewa mtu kwa dini yake,hatokolewa mtu kwa dini yake,anatakiwa kukemea Mambo ya personal conflict.

Tanzania ina makubaliano ya kizalisha umeme na Uganda,Leo hii mtoto wa rais mseme nae ana kampuni yake binafsi ndio anafanya na yeye kazi na serikali ya Uganda. Huyo mtoto kama asingekua mtoto wa Samia angepewa hiyo hadhi ya delegation na Uganda?!!

Ni ujinga kutetea jambo la hovyo na la kipuuzi na fedheha kwa Taifa!!
Magufuli alikuwa mwizi tu, nchi hii mwaminifu ni Julius Kambarage Nyerere hakugusa madini wala utajiri wowote tulionao.

JPM amepiga pesa za plea bargain na kuzipeleka kule China, pia ukumbuke kwa miaka karibu 20 alikuwa bosi wa wizara ya ujenzi.
 
Rais Samia kila siku anapokea ujumbe wa Marais mbalimbali,ni lini uliona hao Marais wakiwatuma watoto wao?
Huyo Mseveni masuala ya Nishati huwa anamtuma Waziri wake wa Nishati na siyo mwanae Muhozi Kainerugaba,uyo mtoto wa Samia ana cheo gani serikalini mpaka awe head wa delegation za kiserikali.
Usijitoe ufahamu,leo mumeshikwa pabaya![emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwani huyo mtoto ameenda kwa masuala ya kiserikali?

Kama hamuelewi lugha semeni msaidiwe kutafsiriwa jamani
 
Magufuli alikuwa mwizi tu, nchi hii mwaminifu ni Julius Kambarage Nyerere hakugusa madini wala utajiri wowote tulionao.

JPM amepiga pesa za plea bargain na kuzipeleka kule China, pia ukumbuke kwa miaka karibu 20 alikuwa bosi wa wizara ya ujenzi.
Sawa aliiba yeye na rafiki zake Ila hajawahi kukosa aibu hadi kufikia hatua ya watoto wake kua mstari wa mbele kama maafisa wa serikali kwenda kufanya biashara na wakubwa wengine wa serikali!!
 
Rais Samia kila siku anapokea ujumbe wa Marais mbalimbali,ni lini uliona hao Marais wakiwatuma watoto wao?
Huyo Mseveni masuala ya Nishati huwa anamtuma Waziri wake wa Nishati na siyo mwanae Muhozi Kainerugaba,uyo mtoto wa Samia ana cheo gani serikalini mpaka awe head wa delegation za kiserikali.
Usijitoe ufahamu,leo mumeshikwa pabaya![emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ameenda nkuiuza Tanzania kwa Museveni.

Wewe kama hukupenda nenda mahakamani, tatizo nini?

Wacha ujinga.
 
Sawa aliiba yeye na rafiki zake Ila hajawahi kukosa aibu hadi kufikia hatua ya watoto wake kua mstari wa mbele kama maafisa wa serikali kwenda kufanya biashara na wakubwa wengine wa serikali!!
Pata taarifa kamili ya hiyo safari ya huyo dogo vinginevyo ni hukumu zile zile zisizo na ushahidi wa kutosha.
 
Wapi imesemwa hapo amewakilisha Serikali ya Tanzania?
Yanakuja haya,tuombe uzima!
Screenshot_20230812_185215.jpg
 
Back
Top Bottom