Mtoto wa Rais Samia, Abdul ana cheo gani Serikalini/Wizara ya Nishati hadi akutane na Rais Museveni?

Mtoto wa Rais Samia, Abdul ana cheo gani Serikalini/Wizara ya Nishati hadi akutane na Rais Museveni?

Yupo so aggressive like scorned bitch yet so dumb.
It’s a pity how people are willing to degrade themselves for others.

tabia za Uchawa zimeanzia CCM na serikalini; huku mtaani hawa watoto wanaiga tu.

Ukute baba zima linawatoto linatumia nguvu hivyo kutetea majizi yanayoumiza ndugu zake huko vijijini kisa lenyewe linapewa hela ya kubadili mboga.

Jamaa jitu la hovyo kweli
 
Rais Mseven wa Uganda amekutana na ujumbe wa serikali ya Tanzania ambao umeongozwa na mtoto wa wa kiume wa Rais Samia.

Uzuri wa taarifa hii imethibitishwa rasmi na ofisi ya Mseveni mwenyewe kupitia akaunti ya raisi.

Swali- mtoto huyu wa rais wetu,ana cheo gani serikalini?!!

Kama taarifa hii isingetolewa na Mseveni,tungetangaziwa na ofisi gani huku Tanzannia?!!

Swali la kujiuliza pia,mambo mangapi mtoto huyu amekua ameyafanya kwa kutumia kodi za Taifa na pasi na taarifa kuwekwa wazi kwa umma?!!

Ni wazi kua mtoto huyu anafanya haya kwa ruksa ya Rais Samia ambae ni mzazi wake,je huu sio uvunjaji wa katiba?!!

NB- imewahi kuandikwa tetesi kua kijana fulani amefungua ofisi Dubai kwenye kasri mojawapo na kua hata DP WORLD ni moja wapo ya mradi wake/wao na waarabu!!.

Kuhoji haya ni kwa nia njema,kama kijana ana kampuni zake za biashara iwekwe wazi Ila pia na wahusika wapime kama yanayofanywa yanatoa taswira hasi ama kua familia imekaa kibiashara tu?!!

View attachment 2715337View attachment 2715338View attachment 2715339
Yana mwisho
 
It’s a pity how people are willing to degrade themselves for others.

tabia za Uchawa zimeanzia CCM na serikalini; huku mtaani hawa watoto wanaiga tu.

Ukute baba zima linawatoto linatumia nguvu hivyo kutetea majizi yanayoumiza ndugu zake huko vijijini kisa lenyewe linapewa hela ya kubadili mboga.

Jamaa jitu la hovyo kweli
Hovyo sana hili dubwasha. Lipo irrational na hoja zake zimetawaliwa na hisia/emotions tu.
 
Watu wana roho mbaya sana, yaani hata kujua kwamba wamefanya jambo ambalo sio kosa kwa nchi wanashambulia personality
niwaulize tu mnahisi alienda kufanya kosa lipi?
Mtoto wa Rais hapaswi kuwa na nafasi serikalini?
 
Majuzi Rostam Aziz katangaza anawekeza $100m Zambia kwenye LPG umeona kazua mjadala wowote, si kila mtu anaelewa ni mfanyabiashara ata kama alianza kama fisadi.

Sana sana kilichozua mjadala siku hiyo aliposema majaji watanzania ni wakupigiwa simu, lakini hakuna aliezungumzia uwekezaji wake.

Same Bakhresa, Sawaya, Mo Dewji na matajiri wengine tukisikia wana mpango wa kuwekeza $25m million sehemu hiyo wala sio habari; wanajulikana ni wafanyabiashara matajiri, shughuli zao rasmi zinajulikana na wanakopesheka ata bank zilizopo nje ya Tanzania.

Shida sio mtoto wa raisi kuwekeza, shida ni hizo hela anatoa wapi; hawana historia ya utajiri kwenye familia yao.
Watoto wa Nyerere mnawacheka kuwa baba yao hakuwaandalia kwa vile alikuwa busy na kujenga nchi. Unataka na Samia akitoka naye wanawe wakasubiri kulinda makumbusho kama Madaraka Nyerere kule Butiamq?
 
Shida sio mtoto wa raisi kuwekeza, shida ni hizo hela anatoa wapi; hawana historia ya utajiri kwenye familia yao.
Huwezi kuwa Rais halafu mtoto wako ashindwe kupata mtaji. NEVER. Angalia hata USA Hunter Biden alivyokuwa na biashara zake Ukraine
 
Kijana hana hatia , Imagine kama Rais Samia angefanya kama Mseven alivyofanya kwa mtoto wake Kainerugaba, alicho fanya Kagame kwa watoto wake ,hata Trump alichofanya kwa watoto wake
Kimsingi kama Mtoto wako mwenyewe huwezi mumuamini nani zaidi unaweza kumuamini?
Angeenda peke yake Uganda ingekua sahihi kuuliza ,lakini kaenda na delegation Tatizo liko wapi?
Trump alivyomfanya Jared ambaye ni mkwe wake kuwa Mshauri wake wa masuala ya usalama wamarekani walilalamika?
Ivanka alivyokua karibu na Trump kwa masuala ya Ofisini Wamarekani walilalamika?
Mseveni na kijana wake Kaine Rugaba waganda walilalamika?
Rais wa Uturuki ana kijana wake kwenye kikosi cha usalama wa kumlinda Rais kuna waturuki walilalama?
Kuna Kosa gani Kijana kuambatana na maofisa kwenye majadiriano hayo?
Umeshaambiwa kabisa kuna watu mpaka wanapanga kumpindua Rais kwa nini usihakikishe walau kijana wako anaona nini wanaenda kunnegotiate?
hakuna kosa
 
Watoto wa Nyerere mnawacheka kuwa baba yao hakuwaandalia kwa vile alikuwa busy na kujenga nchi. Unataka na Samia akitoka naye wanawe wakasubiri kulinda makumbusho kama Madaraka Nyerere kule Butiamq?
Mbona watoto wa Kikwete awachekwi.

Kwa sababu alijua kuwapanga watoto wake.

Wengi professionals wanajilisha, na wafanyabiashara walionekana toka wameanza chini.

Huyo Ridhiwani ni baada ya ubunge kuwekeza mshahara wake, deal zake na sasa labda deal za wizara.

Kabla ya hapo alikuwa mtoto wa kigogo tu, na baba yake tajiri; lakini halipo sasa ni hela zake.

Mtoto wa Kikwete alie mgharamia ni wa U.K. tu na yeye baada ya kupewa mtaji mdogo tu anajitegemea.

JK ajalea watoto zake wamtegemee kabisa pamoja na utajiri wake, labda wagombee mirathi being ‘filthy rich’ lakini watoto wote kawalea kujitegemea, so are watoto wa Mwinyi, Mkapa, Magufuli na Nyerere.

Sio huyu mama mitoto yake na ndugu zake anapachika tu. Kaka yake JK kafa na maisha ya kawaida sana; chezea JK.
 
Kaenda kuzungumza project gani ya nchi?

Kampuni yake inataka kuzalisha umeme wa Jua megawati 20 hapo Uganda. Je iyo ni project ya nchi?

Wewe ukienda kuongea na Museven kuzalisha umeme Uganda hiyo ni project ya nchi?
Mtaji ametoa wap?
 
EEEEEEeenHeeeeeEEEEe!

Kamba yake ni ndefu kuliko zote, au siyo?

Nchi hii sikujua kuwa viongozi wetu wa juu wanatuangalia kwa dharau sana kiasi hiki!

Hivi kweli ndani ya CCM na huko serikalini hakuna hata mtu mmoja mwenye ubavu hata wa kunyoiosha kidole tu?
Mzee Butiku Juzi alimsema ktk barua yake Kwa Sa100.
 
Huwezi kuwa Rais halafu mtoto wako ashindwe kupata mtaji. NEVER. Angalia hata USA Hunter Biden alivyokuwa na biashara zake Ukraine
Capitalism ya US ni kichaa, kuna watu wana tender za mazabe huko huyo Hunter Biden cha mtoto.

Ukipekuwa list ya house members, governors na wengine wenye nafasi za kuchaguliwa ambao wanashika executive posts kwenye mashirika ambayo walifanya lobbying sera zibadilishwe kwa faida za mashirika wakati wanasiasa ni balaa.

Hunter Biden ni victim of political war, but then inaonyesha hata huko kwenye capitalism ya ovyo wana mipaka mtoto wa raisi akitumia fursa wanamletea makash kash.
 
Mbona watoto wa Kikwete awachekwi.

Kwa sababu alijua kuwa
panga watoto wake.

Wengi professionals wanajilisha, wafanyabiashara biashara wameanza chini.

Huyo Ridhiwani ni baada ya ubunge kuwekeza mshahara wake, deal zake na sasa labda deal za wizara.

Kabla ya hapo alikuwa mtoto wa kigogo tu, na baba yake tajiri lakini ni hela zake.

Mtoto wa Kikwete alie mgharamia ni wa U.K. tu na yeye baada ya kupewa mtaji mdogo tu anajitegemea.

JK ajalea watoto zake wamtegemee kabisa pamoja na utajiri wake, labda wagombee mirathi lakini wote kawalea kujitegemea, so are watoto wa Mwinyi, Mkapa, Magufuli na Nyerere.

Sio huyu mama mitoto yake na ndugu zake anapachika tu.
Acha kuandika uongo wewe watoto wote wamarasi wanasaidiwa na majina yao na wengi hawana akili kichwani wamebeba majina yao tu kwenye akili hamna kitu usituletee uhanithi kwa maneno ya Maalim
 
So what?

Kwamba sababu mtangulizi alikosea, nawe unakosea makusudi? Haihalalishi UOVU anyway!!

IPO siku!!
Jamaa ni Rasibabmba qeli😁😁😁😁😁😁😁😁😁😂
 
Watu wana roho mbaya sana, yaani hata kujua kwamba wamefanya jambo ambalo sio kosa kwa nchi wanashambulia personality
niwaulize tu mnahisi alienda kufanya kosa lipi?
Mtoto wa Rais hapaswi kuwa na nafasi serikalini?
Ajabu sana juzi hapo rwanda kagame kamteua binti yake sipati picha uteuzi huo ungefanyika hapa nchini. Watu wana roho mbaya sana
 
amevunja ibara ipi ya katiba yetu? hii nayo ni post? Ulitaka asiajiriwe? Hivi watu mnawaza kwa kutumia viuongo gani? Hujui mtoto wa Museveni ni mkuu wa majeshi kule Uganda? Na je Rwanda unafahamu watoto wa Kagame wako ktk nafasi zipi. Mtoto wa rais ni dhambi kufanya kazi? Sijawahi ona mtu mpumbavu km wewe.
😎😎Si ndio mnaulizwa ana cheo gani? Hao uliowataja wana vyeo vyao. Museveni mkuu wa Special forces, wa Kagame Special advisor,Huyo wa Tanzania yeye ni Mjumbe. Mjumbe ndio cheo gani?
😃😃😅
 
Back
Top Bottom