Mtoto wa Rais Samia, Abdul ana cheo gani Serikalini/Wizara ya Nishati hadi akutane na Rais Museveni?

Mtoto wa Rais Samia, Abdul ana cheo gani Serikalini/Wizara ya Nishati hadi akutane na Rais Museveni?

Hahahaha 🤣 hasira Huwa kisaikolojia maana yake umeshindwa hoja Sasa unaamua liwalo na liwe! Unamwaga vyote mboga na ugali!!
Kula chuma hiyo

Chuma.jpg
 
Rais Mseven wa Uganda amekutana na ujumbe wa serikali ya Tanzania ambao umeongozwa na mtoto wa wa kiume wa Rais Samia.

Uzuri wa taarifa hii imethibitishwa rasmi na ofisi ya Mseveni mwenyewe kupitia akaunti ya raisi.

Swali- mtoto huyu wa rais wetu, ana cheo gani serikalini?

Kama taarifa hii isingetolewa na Mseveni, tungetangaziwa na ofisi gani huku Tanzannia?

Swali la kujiuliza pia,mambo mangapi mtoto huyu amekua ameyafanya kwa kutumia kodi za Taifa na pasi na taarifa kuwekwa wazi kwa umma?!!

Ni wazi kua mtoto huyu anafanya haya kwa ruksa ya Rais Samia ambae ni mzazi wake,je huu sio uvunjaji wa katiba?

NB: Imewahi kuandikwa tetesi kua kijana fulani amefungua ofisi Dubai kwenye kasri mojawapo na kua hata DP WORLD ni moja wapo ya mradi wake/wao na waarabu!!.

Kuhoji haya ni kwa nia njema,kama kijana ana kampuni zake za biashara iwekwe wazi Ila pia na wahusika wapime kama yanayofanywa yanatoa taswira hasi ama kua familia imekaa kibiashara tu?

View attachment 2715337View attachment 2715338View attachment 2715339
Abdul hapo yupo na mkuu mwenzake Yoweri Museveni na wanaongea jambo la kitaifa. Mama Abdul huyo mwanao anatuwakilisha kama nani?
 
Ameuza wapi ,kwa nani ,kwa shilingi ngapi,kwa mkataba upi,wewe umeuzwa kwa shilingi ngapi,malipo yamefanyika kupitia benki gani ,akaunti namba gani, malipo yalifanyika tarehe gani,wapokeaji ni akina nani na mazungumzo ya mazishi yalifanyikia wapi. Kama huna majibu ya hayo basi ni bora ukafunga mdomo wako hapa.
Wewe mtu wa kumbozi una shida sehemu kichwani humo!
 
We yule Bibi kashajichokea
Angekuwa mzungu sawa,wanakuwaga wasomi na haiba ya uongoz Kama kina Angela Merkel, Hillary Clinton and the like
Lakin, mwanamke,mweusi,Tena mswahili,lol umri ule wenzie zenziber wanalea wajukuu upenuni wakisikiliza twaarabu taratiiibu
Mama nampenda sana tena sana.
Ila natofautiana nae kwenye maamuzi kama haya ya bandari na upendeleo wa zanzibar.
Mama atambue hadi vijijini wanafahamu kila kitu kuhusu madudu yake.
Uchaguzi ujao utakuwa mgumu sana kwake.
Historia nyingine itaandikwa maana kwa mara ya kwanza kutakuwa na serikali ya mseto
 
15 May 2022
Kampala, Uganda

During her two-day state visit to Kampala last week, Tanzanian President Samia Suluhu and her Ugandan counterpart Yoweri Museveni witnessed the signing of an inter-governmental memorandum of understanding for the development of the 400kV transmission line linking the two countries.

Uganda’s Minister for International Affairs Henry Okello Oryem and Tanzania’s Minister of Foreign Affairs and East African Co-operation Liberata Mulamula signed the MoU on behalf of their respective countries

Uganda’s Minister for International Affairs Henry Okello Oryem and Tanzania’s Minister of Foreign Affairs and East African Co-operation Liberata Mulamula signed the MoU on behalf of their respective countries.

Officials of the Uganda Electricity Transmission Company Ltd (UETCL) said it is too early to talk about the start, cost and completion details.

“The MoU has just been signed meaning there is nothing really done yet [before] there is sourcing for funding, feasibility studies and all,” said Pamela Nalwanga Byoruganda, the UETCL spokesperson.

With additional generation from Karuma and other smaller hydropower plants, Uganda’s total installed capacity will increase to nearly 2000MW, up from the current 1,346.6MW, against the country’s peak demand for electricity, of 794MW, the Electricity Regulatory Authority said.

High demand
Tanzania’s electricity demand is growing at an annual rate of 13.82 percent, and will outstrip the country’s installed capacity,

According to the Global Transmission Report, Tanzania’s power needs are expected to rise from 10,176GWh in 2022 to 28,663GWh in 2030, which requires approximately 9,000MW of new generation added to the grid in the next eight years.

According to UETCL, Uganda exports electricity to Kenya, Tanzania, the Democratic Republic of Congo and South Sudan.

In the period between June 2020 and June 2021, Uganda exported a total of 294.1MW, which earned the country $26.84 million, up from $24.5 million earned from 246.3MW exported the previous year, a Bank of Uganda report for the sector shows.

The central bank said that export receipts have showed growth in recent years, with Kenya being the biggest exporter.
Ahsante mkuu kwa kuiweka hii...

Haya nyie Chawa mnasemaje hapa..!??

Haya sio matumizi mabaya ya ofisi. Yani Rais apande ndege akajadili state affaire...arudi amtume mtoto wake.!!

Wapumbavu nyinyi.
 
Nchi hii wajinga ni wengi kuiongoza ni kazi sana.

1. Hakuna popote hio post ya mseveni ina uhusiano ma serikali. Hivi kwa mfano ingekuwa ondoa jina la mtoto wa samia weka Mohamed dewj au Gharib na delegation yake kutoka Tanzania tayari ishakuwa ni wawakilishi wa serikali? Hakuna popote imeandikwa ni delegation ya "serikali "mleta mada hujui maana ya delegation?

2. Hivi serikali inafanya biashara mpk ikapewe uwezo wa kujenga solar Uganda? Unaweza ona hizi ni kampuni binafsi.

3. Nani kasema ukiwa mtoto wa Rais huruhusiwi kufanya biashara au kazi hata ndani ya serikali? Hivi kila anaefanya kazi serikalini tunamfahamu? Mleta mada unamjua muhasibu wa wizara ya maji? HR wa wizara ya habari je? Secretary ofisi ya Pm unamjua? Unahoji kijinga jinga eti ni nani katika serikali?

Hivi unajua hata Mwalimu ni ofisa wa serikali?[emoji16] unawajua wote?

Kuendesha nchi ya wajinga ni kazi sana
 
Nchi hii wajinga ni wengi kuiongoza ni kazi sana.

1. Hakuna popote hio post ya mseveni ina uhusiano ma serikali. Hivi kwa mfano ingekuwa ondoa jina la mtoto wa samia weka Mohamed dewj au Gharib na delegation yake kutoka Tanzania tayari ishakuwa ni wawakilishi wa serikali? Hakuna popote imeandikwa ni delegation ya "serikali "mleta mada hujui maana ya delegation?

2. Hivi serikali inafanya biashara mpk ikapewe uwezo wa kujenga solar Uganda? Unaweza ona hizi ni kampuni binafsi.

3. Nani kasema ukiwa mtoto wa Rais huruhusiwi kufanya biashara au kazi hata ndani ya serikali? Hivi kila anaefanya kazi serikalini tunamfahamu? Mleta mada unamjua muhasibu wa wizara ya maji? HR wa wizara ya habari je? Secretary ofisi ya Pm unamjua? Unahoji kijinga jinga eti ni nani katika serikali?

Hivi unajua hata Mwalimu ni ofisa wa serikali?[emoji16] unawajua wote?

Kuendesha nchi ya wajinga ni kazi sana
Soma hapa 👇👇
15 May 2022
Kampala, Uganda

During her two-day state visit to Kampala last week, Tanzanian President Samia Suluhu and her Ugandan counterpart Yoweri Museveni witnessed the signing of an inter-governmental memorandum of understanding for the development of the 400kV transmission line linking the two countries.

Uganda’s Minister for International Affairs Henry Okello Oryem and Tanzania’s Minister of Foreign Affairs and East African Co-operation Liberata Mulamula signed the MoU on behalf of their respective countries

Uganda’s Minister for International Affairs Henry Okello Oryem and Tanzania’s Minister of Foreign Affairs and East African Co-operation Liberata Mulamula signed the MoU on behalf of their respective countries.

Officials of the Uganda Electricity Transmission Company Ltd (UETCL) said it is too early to talk about the start, cost and completion details.

“The MoU has just been signed meaning there is nothing really done yet [before] there is sourcing for funding, feasibility studies and all,” said Pamela Nalwanga Byoruganda, the UETCL spokesperson.

With additional generation from Karuma and other smaller hydropower plants, Uganda’s total installed capacity will increase to nearly 2000MW, up from the current 1,346.6MW, against the country’s peak demand for electricity, of 794MW, the Electricity Regulatory Authority said.

High demand
Tanzania’s electricity demand is growing at an annual rate of 13.82 percent, and will outstrip the country’s installed capacity,

According to the Global Transmission Report, Tanzania’s power needs are expected to rise from 10,176GWh in 2022 to 28,663GWh in 2030, which requires approximately 9,000MW of new generation added to the grid in the next eight years.

According to UETCL, Uganda exports electricity to Kenya, Tanzania, the Democratic Republic of Congo and South Sudan.

In the period between June 2020 and June 2021, Uganda exported a total of 294.1MW, which earned the country $26.84 million, up from $24.5 million earned from 246.3MW exported the previous year, a Bank of Uganda report for the sector shows.

The central bank said that export receipts have showed growth in recent years, with Kenya being the biggest exporter.
Jenga Tabia ya kupitia Uzi wote.. ujiepushe na aibu
 
Soma hapa [emoji116][emoji116]

Jenga Tabia ya kupitia Uzi wote.. ujiepushe na aibu
Hapo solar ipo wapi? Huyo museven kawapa go ahead kuweka umeme wa solar hapa unanionesha post ya MoU za ku transfer umeme toka Tanzania kuna uhusiano wapi?
 
Back
Top Bottom