Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pamoja na pombe zangu nilizokunywa nikiwa na njaa... lakini siwezi kufanya ujinga wa kuandika ''kulizika'' badala ya kuridhika.Tuliza akili maana naona umeshapaniki au tayari umeshazidiwa na pombe kichwani mwako uliyokunywa na manjaa yako Tumboni.
Mlishazoea uongo na upotoshaji tu .unajiandikia tu hapa hata bila aibu wala ushahidi wa aina yoyote ile.pambana kufanya kazi kwa bidii, juhudi na maarifa uone kama huta fanikiwa kimaisha ,chapa kazi acha wivu na umbea umbea tu wakuandika maneno ya uongo uongo tu hapaEnzi za Kikwee Ruziwani alitengeneza ukwasi wa kutisha ilikuwa ukipita kila sehemu unaambiwa hio ni ya Riziwani Kikwete, hio ni Riziwani. Alitengeneza tangible business zile za kuonekana kwa macho.
Sasa mtoto wa Mama yeye kaanza kuchuma, ila huyu wa Mama nahisi anatumia akili nyingi atakuwa wanafundishwa na wakina Yusufu Manji na wakina Rostam jinsi ya kuchuma, hataki uwekezaji wa kijinga jinga anataka ile mpigo mmoja anapiga si chini ya Billion 800 na anadili na zile Dili ambazo wajinga wajinga sio rahisi wajue.
Ukisha ona anaweza kukutana na Mseven jua sio mtu wa kudili na dili uchwarwa anataka kufanya zile za wakina Rostam hutamuona kwenye biashara za uchuuzi, huyu anataka kupiga zile Dili kubwa tu na za heshima.
Riziwani yeye alikuwa mara utasikia Hoteli mara sijui Shamba fulani mara Petro stations, ila huyu wa Mama ana washauri walio enda shule nahisi Rostam hakosekani kwenye orodha ya Washauri wake.
Huyo ni mfanyabiashara na yupo Uganda kwa mambo ya biashara zake. Wewe kinakuuma nini?
Ulitaka akae amechuchumaa ? Mawazo mengine ni ya kijinga sanaKijana anapiga dili za first class.... kwa namna alivyo pose kwa ile picha na Museveni ile ni high protocol!!
Uzuri hawa 'wenzetu' huwa hawana aibu wakati wa kula... huwa tayari hata kugombania sinia ya pilau pale inapobidi!
Kha! Hutuba za Nyerere tena! Huu wakati wa Samia usiturudishe Nyuma bhana.Ndomana HOTUBA za mwl Nyerere TBC zimeadimika skuhizi.
Uborongaji gani?Hivi shida ni nini haswa?
Ni mentorship, mfumo wa kiimani, TISS au malezi kwa ujumla?
Ni kana kwamba, awamu ya kwanza, tatu na tano zinafanana. Kisha awamu ya pili, nne na sita zinafanana; kwa utendaji, uborongaji n.k
Nadhani ni wazi sasa, anayoyafanya Doto magari kule mtandaoni NDIO uhalisia wa UCHAWA unaonekana hapa.Huyo ni mfanyabiashara na yupo Uganda kwa mambo ya biashara zake. Wewe kinakuuma nini?
Museveni ameidhinisha mradi wa kampuni yake wa kuzalisha umeme wa Jua tena huko huko Uganda ! Wewe kinakuuma nini?
Tangu lini shughuli binafsi za mtu zikawa shughuli za ikulu?
Alisema IKULU ni Mahali patakatifu, hawa wanapageuza pango la wanyanganyi Hadi mtoto asiye na qualificatn yoyote anawakilisha IKULU.Kha! Hutuba za Nyerere tena! Huu wakati wa Samia usiturudishe Nyuma bhana.
Tangu tumepata uhuru, unaona serikali zetu zinafanya vizuri au zinaboronga?Uborongaji gani?
Zinafanya vizuriTangu tumepata uhuru, unaona serikali zetu zinafanya vizuri au zinaboronga?
Uchawa gani?Nadhani ni wazi sasa, anayoyafanya Doto magari kule mtandaoni NDIO uhalisia wa UCHAWA unaonekana hapa.
"Huna baya, ukifa hauozi, hujawahi kulala njaa, siti yangu mbinguni chukua wewe n.k"
Imagine, taarifa kutoka kwa raisi wa nchi, inayozungumzia maendeleo ya nchi, kwenye eneo fulani la nchi; UNAKUJA KUTUAMBIA ni biashara binafsi?
NImeona kuwa G55 ya raisi, sasa imezuiliwa kuwa tracked; unadhani ni kwasababu za kiusalama?
Kazi ipo.