Toxic Concotion
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 5,760
- 20,837
When in Rome do, do as the romans do. Akienda Dubai atashika tasbih.Uzuri anagonga red wine huyu ni mwenzetu, tunampa membership kwenye Chama letu matako bar.
Cc: Bujibuji Simba Nyamaume Asprin
Usipompa connection mapema mtoto wako ukifa hakuna ambaye atakuwa na habari naye.Ameenda kama mtoto wa rais au kiongozi serikalini?
kumbe ndio mana maeneo kama Kariakoo naonaga chemba zinafurika! sikujua kuwa kuna foleni ya waheshimiwa huko underground.Vin'gora vya kinyesi nyesi, vyenyewe vinaelewana, ukiona chemba zimeziba ujue kuna foleni, ndio kinapita sasa
[emoji23][emoji23][emoji23]Huyo ndo ridhimoko wa awamu ya 6. Hata mkataba wa bandari yeye ndo alitumwa dukani kununua peni.
Inapoandikwa kua ameongozana na ujumbe wa Tanzania na kujadili mambo ya umeme baina ya Uganda na Tanzania,inakua kama ziara binafsi ama ya kifamilia ama ya kiserikali?!!Ameenda kama mtoto wa rais au kiongozi serikalini?
Inapoandikwa kua ameongozana na ujumbe wa Tanzania na kujadili mambo ya umeme baina ya Uganda na Tanzania,inakua kama ziara binafsi ama ya kifamilia ama ya kiserikali?!!
Mtoto wa nyoka ni nyokaRais Mseven wa Uganda amekutana na ujumbe wa serikali ya Tanzania ambao umeongozwa na mtoto wa wa kiume wa Rais Samia.
Uzuri wa taarifa hii imethibitishwa rasmi na ofisi ya Mseveni mwenyewe kupitia akaunti ya raisi.
Swali- mtoto huyu wa rais wetu, ana cheo gani serikalini?
Kama taarifa hii isingetolewa na Mseveni, tungetangaziwa na ofisi gani huku Tanzannia?
Swali la kujiuliza pia,mambo mangapi mtoto huyu amekua ameyafanya kwa kutumia kodi za Taifa na pasi na taarifa kuwekwa wazi kwa umma?!!
Ni wazi kua mtoto huyu anafanya haya kwa ruksa ya Rais Samia ambae ni mzazi wake,je huu sio uvunjaji wa katiba?
NB: Imewahi kuandikwa tetesi kua kijana fulani amefungua ofisi Dubai kwenye kasri mojawapo na kua hata DP WORLD ni moja wapo ya mradi wake/wao na waarabu!!.
Kuhoji haya ni kwa nia njema,kama kijana ana kampuni zake za biashara iwekwe wazi Ila pia na wahusika wapime kama yanayofanywa yanatoa taswira hasi ama kua familia imekaa kibiashara tu?
View attachment 2715337View attachment 2715338View attachment 2715339
Nenda kamuulize mwenyewe.Rais Mseven wa Uganda amekutana na ujumbe wa serikali ya Tanzania ambao umeongozwa na mtoto wa wa kiume wa Rais Samia.
Uzuri wa taarifa hii imethibitishwa rasmi na ofisi ya Mseveni mwenyewe kupitia akaunti ya raisi.
Swali- mtoto huyu wa rais wetu, ana cheo gani serikalini?
Kama taarifa hii isingetolewa na Mseveni, tungetangaziwa na ofisi gani huku Tanzannia?
Swali la kujiuliza pia,mambo mangapi mtoto huyu amekua ameyafanya kwa kutumia kodi za Taifa na pasi na taarifa kuwekwa wazi kwa umma?!!
Ni wazi kua mtoto huyu anafanya haya kwa ruksa ya Rais Samia ambae ni mzazi wake,je huu sio uvunjaji wa katiba?
NB: Imewahi kuandikwa tetesi kua kijana fulani amefungua ofisi Dubai kwenye kasri mojawapo na kua hata DP WORLD ni moja wapo ya mradi wake/wao na waarabu!!.
Kuhoji haya ni kwa nia njema,kama kijana ana kampuni zake za biashara iwekwe wazi Ila pia na wahusika wapime kama yanayofanywa yanatoa taswira hasi ama kua familia imekaa kibiashara tu?
View attachment 2715337View attachment 2715338View attachment 2715339
Nashauri awe rais wa kwanza tanzania wa kwanza kunyongwa kwa kutumia vibaya madaraka akiwa raisRais Mseven wa Uganda amekutana na ujumbe wa serikali ya Tanzania ambao umeongozwa na mtoto wa wa kiume wa Rais Samia.
Uzuri wa taarifa hii imethibitishwa rasmi na ofisi ya Mseveni mwenyewe kupitia akaunti ya raisi.
Swali- mtoto huyu wa rais wetu, ana cheo gani serikalini?
Kama taarifa hii isingetolewa na Mseveni, tungetangaziwa na ofisi gani huku Tanzannia?
Swali la kujiuliza pia,mambo mangapi mtoto huyu amekua ameyafanya kwa kutumia kodi za Taifa na pasi na taarifa kuwekwa wazi kwa umma?!!
Ni wazi kua mtoto huyu anafanya haya kwa ruksa ya Rais Samia ambae ni mzazi wake,je huu sio uvunjaji wa katiba?
NB: Imewahi kuandikwa tetesi kua kijana fulani amefungua ofisi Dubai kwenye kasri mojawapo na kua hata DP WORLD ni moja wapo ya mradi wake/wao na waarabu!!.
Kuhoji haya ni kwa nia njema,kama kijana ana kampuni zake za biashara iwekwe wazi Ila pia na wahusika wapime kama yanayofanywa yanatoa taswira hasi ama kua familia imekaa kibiashara tu?
View attachment 2715337View attachment 2715338View attachment 2715339
Nchi hii Ina wapumbavu wengi sana, sasa hapo anayenyooshwa ni nanimtanyooka tu mpaka mseme maji mmaa
Picha nimeiona na maelezo nimeyasoma lakini bado sijaelewa!Rais Mseven wa Uganda amekutana na ujumbe wa serikali ya Tanzania ambao umeongozwa na mtoto wa wa kiume wa Rais Samia.
Uzuri wa taarifa hii imethibitishwa rasmi na ofisi ya Mseveni mwenyewe kupitia akaunti ya raisi.
Swali- mtoto huyu wa rais wetu, ana cheo gani serikalini?
Kama taarifa hii isingetolewa na Mseveni, tungetangaziwa na ofisi gani huku Tanzannia?
Swali la kujiuliza pia,mambo mangapi mtoto huyu amekua ameyafanya kwa kutumia kodi za Taifa na pasi na taarifa kuwekwa wazi kwa umma?!!
Ni wazi kua mtoto huyu anafanya haya kwa ruksa ya Rais Samia ambae ni mzazi wake,je huu sio uvunjaji wa katiba?
NB: Imewahi kuandikwa tetesi kua kijana fulani amefungua ofisi Dubai kwenye kasri mojawapo na kua hata DP WORLD ni moja wapo ya mradi wake/wao na waarabu!!.
Kuhoji haya ni kwa nia njema,kama kijana ana kampuni zake za biashara iwekwe wazi Ila pia na wahusika wapime kama yanayofanywa yanatoa taswira hasi ama kua familia imekaa kibiashara tu?
View attachment 2715337View attachment 2715338View attachment 2715339
Kama ameenda na ujumbe kujadili umeme kati ya TZ na UG basi itakuwa ya kiserikali ,sasa mbona kwenye picha yupo peke yake wajumbe wengine hawakutaka kupiga picha?
Picha nimeiona na maelezo nimeyasoma lakini bado sijaelewa!
Labda katiba inasemaje? Mtoto wa Rais naye ni Rais?
Katazame tena picha!!
Basi kama ni hivyo watakuwa wameenda kama kamati ya bunge, na ndio maana hawahangaiki hata kujibu huku watu wamevimba kama churaNdio maana tunauliza mtujuze,tunajua ndio kuna mtoto wa raisi kule Bungeni,kuna mkwe wa raisi bungeni na pia ni waziri wa Mali asili, je huyu nae ana cheo gani?!
Kamati ya bunge kivipi?!! Mtoto wa Samia ambae ni mbunge Ni wa kike,mtu alieoa mtoto mwingine wa Samia ni Mohamed Mchengerwa,wote hapo hawapo kwenye msafara!!Basi kama ni hivyo watakuwa wameenda kama kamati ya bunge, na ndio maana hawahangaiki hata kujibu huku watu wamevimba kama chura
Kweli mtu akikuchukia hata ukimchekea atasema unamzomea
Mbona tunajiita United Republic of Tanzania.Mtoto wa rais ndio rais wa watoto wote tz,
Hata mbwa wa rais ndio rais wa maumbwa yote tz, mlitaka mumuone disvi au viwanjani kama wale wengine?
Tena kadi tunampa bure. Atatupa konekshen kwa matajiri wa Uarabuni nasi tumiliki boti na chopaUzuri anagonga red wine huyu ni mwenzetu, tunampa membership kwenye Chama letu matako bar.
Cc: Bujibuji Simba Nyamaume Asprin