Mtoto wa Rais Samia, Abdul ana cheo gani Serikalini/Wizara ya Nishati hadi akutane na Rais Museveni?

Mtoto wa Rais Samia, Abdul ana cheo gani Serikalini/Wizara ya Nishati hadi akutane na Rais Museveni?

Nina maswali machache.

1.Kwanini Rais Museveni mara zote anavaa shati jeupe?Kila tukio, kila mahala utaona kavaa shati jeupe.Ametengeneza ID yake au masharti ya waganga?

2.Mbona Rais Museveni anavaa minguo mikubwa mikubwa? Shati pana sana na suruali pana kama shuka la kutolea unga mashineni?
 
Ameenda kama mtoto wa rais au kiongozi serikalini?
Inapoandikwa kua ameongozana na ujumbe wa Tanzania na kujadili mambo ya umeme baina ya Uganda na Tanzania,inakua kama ziara binafsi ama ya kifamilia ama ya kiserikali?!!
 
Inapoandikwa kua ameongozana na ujumbe wa Tanzania na kujadili mambo ya umeme baina ya Uganda na Tanzania,inakua kama ziara binafsi ama ya kifamilia ama ya kiserikali?!!

Kama ameenda na ujumbe kujadili umeme kati ya TZ na UG basi itakuwa ya kiserikali ,sasa mbona kwenye picha yupo peke yake wajumbe wengine hawakutaka kupiga picha?
 
Rais Mseven wa Uganda amekutana na ujumbe wa serikali ya Tanzania ambao umeongozwa na mtoto wa wa kiume wa Rais Samia.

Uzuri wa taarifa hii imethibitishwa rasmi na ofisi ya Mseveni mwenyewe kupitia akaunti ya raisi.

Swali- mtoto huyu wa rais wetu, ana cheo gani serikalini?

Kama taarifa hii isingetolewa na Mseveni, tungetangaziwa na ofisi gani huku Tanzannia?

Swali la kujiuliza pia,mambo mangapi mtoto huyu amekua ameyafanya kwa kutumia kodi za Taifa na pasi na taarifa kuwekwa wazi kwa umma?!!

Ni wazi kua mtoto huyu anafanya haya kwa ruksa ya Rais Samia ambae ni mzazi wake,je huu sio uvunjaji wa katiba?

NB: Imewahi kuandikwa tetesi kua kijana fulani amefungua ofisi Dubai kwenye kasri mojawapo na kua hata DP WORLD ni moja wapo ya mradi wake/wao na waarabu!!.

Kuhoji haya ni kwa nia njema,kama kijana ana kampuni zake za biashara iwekwe wazi Ila pia na wahusika wapime kama yanayofanywa yanatoa taswira hasi ama kua familia imekaa kibiashara tu?

View attachment 2715337View attachment 2715338View attachment 2715339
Mtoto wa nyoka ni nyoka
 
Rais Mseven wa Uganda amekutana na ujumbe wa serikali ya Tanzania ambao umeongozwa na mtoto wa wa kiume wa Rais Samia.

Uzuri wa taarifa hii imethibitishwa rasmi na ofisi ya Mseveni mwenyewe kupitia akaunti ya raisi.

Swali- mtoto huyu wa rais wetu, ana cheo gani serikalini?

Kama taarifa hii isingetolewa na Mseveni, tungetangaziwa na ofisi gani huku Tanzannia?

Swali la kujiuliza pia,mambo mangapi mtoto huyu amekua ameyafanya kwa kutumia kodi za Taifa na pasi na taarifa kuwekwa wazi kwa umma?!!

Ni wazi kua mtoto huyu anafanya haya kwa ruksa ya Rais Samia ambae ni mzazi wake,je huu sio uvunjaji wa katiba?

NB: Imewahi kuandikwa tetesi kua kijana fulani amefungua ofisi Dubai kwenye kasri mojawapo na kua hata DP WORLD ni moja wapo ya mradi wake/wao na waarabu!!.

Kuhoji haya ni kwa nia njema,kama kijana ana kampuni zake za biashara iwekwe wazi Ila pia na wahusika wapime kama yanayofanywa yanatoa taswira hasi ama kua familia imekaa kibiashara tu?

View attachment 2715337View attachment 2715338View attachment 2715339
Nenda kamuulize mwenyewe.
 
Rais Mseven wa Uganda amekutana na ujumbe wa serikali ya Tanzania ambao umeongozwa na mtoto wa wa kiume wa Rais Samia.

Uzuri wa taarifa hii imethibitishwa rasmi na ofisi ya Mseveni mwenyewe kupitia akaunti ya raisi.

Swali- mtoto huyu wa rais wetu, ana cheo gani serikalini?

Kama taarifa hii isingetolewa na Mseveni, tungetangaziwa na ofisi gani huku Tanzannia?

Swali la kujiuliza pia,mambo mangapi mtoto huyu amekua ameyafanya kwa kutumia kodi za Taifa na pasi na taarifa kuwekwa wazi kwa umma?!!

Ni wazi kua mtoto huyu anafanya haya kwa ruksa ya Rais Samia ambae ni mzazi wake,je huu sio uvunjaji wa katiba?

NB: Imewahi kuandikwa tetesi kua kijana fulani amefungua ofisi Dubai kwenye kasri mojawapo na kua hata DP WORLD ni moja wapo ya mradi wake/wao na waarabu!!.

Kuhoji haya ni kwa nia njema,kama kijana ana kampuni zake za biashara iwekwe wazi Ila pia na wahusika wapime kama yanayofanywa yanatoa taswira hasi ama kua familia imekaa kibiashara tu?

View attachment 2715337View attachment 2715338View attachment 2715339
Nashauri awe rais wa kwanza tanzania wa kwanza kunyongwa kwa kutumia vibaya madaraka akiwa rais
 
Rais Mseven wa Uganda amekutana na ujumbe wa serikali ya Tanzania ambao umeongozwa na mtoto wa wa kiume wa Rais Samia.

Uzuri wa taarifa hii imethibitishwa rasmi na ofisi ya Mseveni mwenyewe kupitia akaunti ya raisi.

Swali- mtoto huyu wa rais wetu, ana cheo gani serikalini?

Kama taarifa hii isingetolewa na Mseveni, tungetangaziwa na ofisi gani huku Tanzannia?

Swali la kujiuliza pia,mambo mangapi mtoto huyu amekua ameyafanya kwa kutumia kodi za Taifa na pasi na taarifa kuwekwa wazi kwa umma?!!

Ni wazi kua mtoto huyu anafanya haya kwa ruksa ya Rais Samia ambae ni mzazi wake,je huu sio uvunjaji wa katiba?

NB: Imewahi kuandikwa tetesi kua kijana fulani amefungua ofisi Dubai kwenye kasri mojawapo na kua hata DP WORLD ni moja wapo ya mradi wake/wao na waarabu!!.

Kuhoji haya ni kwa nia njema,kama kijana ana kampuni zake za biashara iwekwe wazi Ila pia na wahusika wapime kama yanayofanywa yanatoa taswira hasi ama kua familia imekaa kibiashara tu?

View attachment 2715337View attachment 2715338View attachment 2715339
Picha nimeiona na maelezo nimeyasoma lakini bado sijaelewa!

Labda katiba inasemaje? Mtoto wa Rais naye ni Rais?
 
Picha nimeiona na maelezo nimeyasoma lakini bado sijaelewa!

Labda katiba inasemaje? Mtoto wa Rais naye ni Rais?

Ndio maana tunauliza mtujuze,tunajua ndio kuna mtoto wa raisi kule Bungeni,kuna mkwe wa raisi bungeni na pia ni waziri wa Mali asili, je huyu nae ana cheo gani?!
 
Ndio maana tunauliza mtujuze,tunajua ndio kuna mtoto wa raisi kule Bungeni,kuna mkwe wa raisi bungeni na pia ni waziri wa Mali asili, je huyu nae ana cheo gani?!
Basi kama ni hivyo watakuwa wameenda kama kamati ya bunge, na ndio maana hawahangaiki hata kujibu huku watu wamevimba kama chura
Kweli mtu akikuchukia hata ukimchekea atasema unamzomea
 
Basi kama ni hivyo watakuwa wameenda kama kamati ya bunge, na ndio maana hawahangaiki hata kujibu huku watu wamevimba kama chura
Kweli mtu akikuchukia hata ukimchekea atasema unamzomea
Kamati ya bunge kivipi?!! Mtoto wa Samia ambae ni mbunge Ni wa kike,mtu alieoa mtoto mwingine wa Samia ni Mohamed Mchengerwa,wote hapo hawapo kwenye msafara!!
 
Back
Top Bottom