Sitaki kuongea sana.Hii nimeiona huko Twitter na nimebaki na mshangao mkubwa!
Picha iko hapo chini!View attachment 2720220
😫😫😫😫Hii nimeiona huko Twitter na nimebaki na mshangao mkubwa!
Picha iko hapo chini!View attachment 2720220
Ana cheo kikubwa kisichoandikika JF!!Kwaiyo huyo abduli ndiyo waziri wa nishati? Au anacheo gani wizara husika ??
Kusema "Wewe kama huna, huna tu" sio kauli ya thabit ya Kiislam. Ni kauli mbaya sanaSasa katiba ipi ivunjwe? Kwani hana haki ya kwenda Uganda? Kwani uliambiwa kaiwakilisha serikali kwenye jambo lipi?
Kama kachukuliwa kwa mkataba fulani?
Huu mwengine ni ujinga hata kuujadili.
Wewe kama huna, huna tu.
[emoji1], hiyo 2 nimecheka sanaNina maswali machache.
1.Kwanini Rais Museveni mara zote anavaa shati jeupe?Kila tukio, kila mahala utaona kavaa shati jeupe.Ametengeneza ID yake au masharti ya waganga?
2.Mbona Rais Museveni anavaa minguo mikubwa mikubwa? Shati pana sana na suruali pana kama shuka la kutolea unga mashineni?
Unazungumzia huyu au nani?Rais Mseven wa Uganda amekutana na ujumbe wa serikali ya Tanzania ambao umeongozwa na mtoto wa wa kiume wa Rais Samia.
Uzuri wa taarifa hii imethibitishwa rasmi na ofisi ya Mseveni mwenyewe kupitia akaunti ya raisi.
Swali- mtoto huyu wa rais wetu, ana cheo gani serikalini?
Kama taarifa hii isingetolewa na Mseveni, tungetangaziwa na ofisi gani huku Tanzannia?
Swali la kujiuliza pia,mambo mangapi mtoto huyu amekua ameyafanya kwa kutumia kodi za Taifa na pasi na taarifa kuwekwa wazi kwa umma?!!
Ni wazi kua mtoto huyu anafanya haya kwa ruksa ya Rais Samia ambae ni mzazi wake,je huu sio uvunjaji wa katiba?
NB: Imewahi kuandikwa tetesi kua kijana fulani amefungua ofisi Dubai kwenye kasri mojawapo na kua hata DP WORLD ni moja wapo ya mradi wake/wao na waarabu!!.
Kuhoji haya ni kwa nia njema,kama kijana ana kampuni zake za biashara iwekwe wazi Ila pia na wahusika wapime kama yanayofanywa yanatoa taswira hasi ama kua familia imekaa kibiashara tu?
View attachment 2715337View attachment 2715338View attachment 2715339
Narudia; kama huna, huna tu. Usitake kubadili mjadala.Kusema "Wewe kama huna, huna tu" sio kauli ya thabit ya Kiislam. Ni kauli mbaya sana
Kuna watu wasio na chochote ila Mwenyezi Mungu huwapa
Acha dharau.
Idara ya usalama na biashara za umeme wspi na wapi?!! Vipi na zile lawama nyingine za biashara zake kariakoo??!Unazungumzia huyu au nani?View attachment 2720447
Kama ni huyo hapo basi ujue ana cheo Idara ya Usalama wa Taifa siku nyingi sana,na waliosoma.nae wanaelewa ni smart sana kichwani (kipanga) aliwakimbiza sana class
Na bado inasemekana yeye ndie kinara wa huu mradi wa DP-WORLD akimuwakilisha mama yake.Idara ya usalama na biashara za umeme wspi na wapi?!! Vipi na zile lawama nyingine za biashara zake kariakoo??!