Mtoto wa Rais Samia, Abdul ana cheo gani Serikalini/Wizara ya Nishati hadi akutane na Rais Museveni?

Mtoto wa Rais Samia, Abdul ana cheo gani Serikalini/Wizara ya Nishati hadi akutane na Rais Museveni?

Hii nimeiona huko Twitter na nimebaki na mshangao mkubwa!
Picha hii hapa!

Screenshot_20230817-201642_Twitter.jpg



========

I met Mr. Abdul Halim Hafidah Ameir and his delegation from Tanzania. We discussed future cooperation in the area of Energy, especially the power line from Mutukula to Mwanza, which will boost supply on that stretch, leading to the development for both Uganda and Tanzania.

I also okayed the proposal from the delegates to go ahead and develop a solar generation plant of 20 Megawatts in Nwoya district, near Olwiyo substation. This electricity will be evacuated onto the main grid and there we shall no longer have issues of electricity in that area.
20230817_213507.jpg
20230817_213504.jpg
20230817_213500.jpg
 
Kwaiyo huyo abduli ndiyo waziri wa nishati? Au anacheo gani wizara husika ??
 
Sasa katiba ipi ivunjwe? Kwani hana haki ya kwenda Uganda? Kwani uliambiwa kaiwakilisha serikali kwenye jambo lipi?

Kama kachukuliwa kwa mkataba fulani?


Huu mwengine ni ujinga hata kuujadili.


Wewe kama huna, huna tu.
Kusema "Wewe kama huna, huna tu" sio kauli ya thabit ya Kiislam. Ni kauli mbaya sana

Kuna watu wasio na chochote ila Mwenyezi Mungu huwapa

Acha dharau.
 
Nina maswali machache.

1.Kwanini Rais Museveni mara zote anavaa shati jeupe?Kila tukio, kila mahala utaona kavaa shati jeupe.Ametengeneza ID yake au masharti ya waganga?

2.Mbona Rais Museveni anavaa minguo mikubwa mikubwa? Shati pana sana na suruali pana kama shuka la kutolea unga mashineni?
[emoji1], hiyo 2 nimecheka sana

Ova
 
Rais Mseven wa Uganda amekutana na ujumbe wa serikali ya Tanzania ambao umeongozwa na mtoto wa wa kiume wa Rais Samia.

Uzuri wa taarifa hii imethibitishwa rasmi na ofisi ya Mseveni mwenyewe kupitia akaunti ya raisi.

Swali- mtoto huyu wa rais wetu, ana cheo gani serikalini?

Kama taarifa hii isingetolewa na Mseveni, tungetangaziwa na ofisi gani huku Tanzannia?

Swali la kujiuliza pia,mambo mangapi mtoto huyu amekua ameyafanya kwa kutumia kodi za Taifa na pasi na taarifa kuwekwa wazi kwa umma?!!

Ni wazi kua mtoto huyu anafanya haya kwa ruksa ya Rais Samia ambae ni mzazi wake,je huu sio uvunjaji wa katiba?

NB: Imewahi kuandikwa tetesi kua kijana fulani amefungua ofisi Dubai kwenye kasri mojawapo na kua hata DP WORLD ni moja wapo ya mradi wake/wao na waarabu!!.

Kuhoji haya ni kwa nia njema,kama kijana ana kampuni zake za biashara iwekwe wazi Ila pia na wahusika wapime kama yanayofanywa yanatoa taswira hasi ama kua familia imekaa kibiashara tu?

View attachment 2715337View attachment 2715338View attachment 2715339
Unazungumzia huyu au nani?
20230816_212335.jpg


Kama ni huyo hapo basi ujue ana cheo Idara ya Usalama wa Taifa siku nyingi sana,na waliosoma.nae wanaelewa ni smart sana kichwani (kipanga) aliwakimbiza sana class
 
Kusema "Wewe kama huna, huna tu" sio kauli ya thabit ya Kiislam. Ni kauli mbaya sana

Kuna watu wasio na chochote ila Mwenyezi Mungu huwapa

Acha dharau.
Narudia; kama huna, huna tu. Usitake kubadili mjadala.
 
Unazungumzia huyu au nani?View attachment 2720447

Kama ni huyo hapo basi ujue ana cheo Idara ya Usalama wa Taifa siku nyingi sana,na waliosoma.nae wanaelewa ni smart sana kichwani (kipanga) aliwakimbiza sana class
Idara ya usalama na biashara za umeme wspi na wapi?!! Vipi na zile lawama nyingine za biashara zake kariakoo??!
 
Idara ya usalama na biashara za umeme wspi na wapi?!! Vipi na zile lawama nyingine za biashara zake kariakoo??!
Na bado inasemekana yeye ndie kinara wa huu mradi wa DP-WORLD akimuwakilisha mama yake.
 
Back
Top Bottom