Mtoto wa Rais Samia, Abdul ana cheo gani Serikalini/Wizara ya Nishati hadi akutane na Rais Museveni?

Mtoto wa Rais Samia, Abdul ana cheo gani Serikalini/Wizara ya Nishati hadi akutane na Rais Museveni?

Hii ni aibu sana kwa taifa! Kijana kwenda kuzungumzia projects za nchi za nishati wakati yeye sio waziri wa nishati Wala makamu wa Rais kiukweli haiko poa, kama angekuwa tu kaenda kumpa hi Mu7 kishkaji hakuna kosa!

Nani atabisha kuwa viatu vya Magu ni oversize!

Hizi ndio effects za zali la mentali na si matokeo ya sanduku la kura! Africa Bado haijawa tayari kwa Rais mwanamke kwa mtazamo wangu!

Mi naamini Bimkubwa hakujiandaa kuongoza wadanganyika ilitokea tu kwahiyo kaona liwalo na liwe! Yuko juu ya Sheria!mtamfanya Nini! Dogo Kawa waziri wa nishati!! Wapi Maropu!!

Haya Sasa na wakike nao kama anao waanze safari za kuwakilisha nchi!

Hivi bongo hatuna Balozi pale Uganda?
Kaenda kuzungumza project gani ya nchi?

Kampuni yake inataka kuzalisha umeme wa Jua megawati 20 hapo Uganda. Je iyo ni project ya nchi?

Wewe ukienda kuongea na Museven kuzalisha umeme Uganda hiyo ni project ya nchi?
 

President Museveni Meets Delegates From Tanzania, Discuss Cooperation In The Energy Sector​

By
August 11, 2023

Kampala, Uganda


President Yoweri Kaguta Museveni has today met a group of delegates from Tanzania at State House Entebbe.

During the meeting, the President and the visiting delegation discussed future cooperation in the area of Energy between Uganda and Tanzania.

The energy engagement mainly centered around the power line from Mutukula to Mwanza which they both expressed optimism that it will boost the development of the two countries.

President Museveni also okayed the proposal from the delegates to go ahead and develop the solar generation plant of 20 megawatts in Nwoya district near Olwiyo substation in Northern Uganda.


“There, we shall no longer have issues of electricity in that area,” he added. The delegates in attendance were Mr. Abdul Halim Hafidah Ameir, Mr. Abdallah Khamis Khaliki, Mr. Michael Songore, Raphael Mjinja and Mr. George Nkya.

The meeting was also attended by the Minister of Energy and Mineral Development, Hon. Ruth Nankabirwa Ssentamu.

1691847007895.png
 
Rais Mseven wa Uganda amekutana na ujumbe wa serikali ya Tanzania ambao umeongozwa na mtoto wa wa kiume wa Rais Samia.

Uzuri wa taarifa hii imethibitishwa rasmi na ofisi ya Mseveni mwenyewe kupitia akaunti ya raisi.

Swali- mtoto huyu wa rais wetu,ana cheo gani serikalini?!!

Kama taarifa hii isingetolewa na Mseveni,tungetangaziwa na ofisi gani huku Tanzannia?!!

Swali la kujiuliza pia,mambo mangapi mtoto huyu amekua ameyafanya kwa kutumia kodi za Taifa na pasi na taarifa kuwekwa wazi kwa umma?!!

Ni wazi kua mtoto huyu anafanya haya kwa ruksa ya Rais Samia ambae ni mzazi wake,je huu sio uvunjaji wa katiba?!!

View attachment 2715337View attachment 2715338View attachment 2715339
UWIVUUU NA UJINGA WATZ UTATUUWA..
HATA KAMA NI WEWE KWELI UWE MTOTO WA RAIS NA UNAAKILI ZAKO TIMAMU KWELI MIAKA KUMI HUNA HATA CONNECTION WALA BIASHARA YA MAANA UTAKUWA MJINGA WA MWISHO.
ABDUL NAKUTAFUTA KUNA JAMBO NATAKA NIKUNONG'ONEZE...!
 
Mkuu Lord denning kwani kwenye post yangu kuna element yoyote inayotafsiri chuki ama lengo lilikuwa kukuelewesha kitu kidogo sana (1+1 =2) ulichoshindwa kukielewa using a very simple mind. Alichokiandika museven hata ukimpelekea english medium prepo II ( bado hajaanza standard 1) atakuelewesha vizuri mno tu kama tatizo kwako ni English. Yani wewe kila anayepingana nawe ana dhiki kama wewe, inferiority yako imedhihirisha una dhiki iliyotukuka na ushamba wa hali ya juu mno.
Kwani wapi nimesema kuna chuki?
 


Home News Featured Stories

President Museveni Meets Delegates From Tanzania, Discuss Cooperation In The Energy Sector​

By
August 11, 2023

Kampala, Uganda
President Museveni Meets Delegates From Tanzania, Discuss Cooperation In The Energy Sector | Uganda Broadcasting Corporation

President Yoweri Kaguta Museveni has today met a group of delegates from Tanzania at State House Entebbe.
During the meeting, the President and the visiting delegation discussed future cooperation in the area of Energy between Uganda and Tanzania.
The energy engagement mainly centered around the power line from Mutukula to Mwanza which they both expressed optimism that it will boost the development of the two countries.

President Museveni also okayed the proposal from the delegates to go ahead and develop the solar generation plant of 20 megawatts in Nwoya district near Olwiyo substation in Northern Uganda.
“There, we shall no longer have issues of electricity in that area,” he added.
The delegates in attendance were Mr. Abdul Halim Hafidah Ameir, Mr. Abdallah Khamis Khaliki, Mr. Michael Songore Raphael Mjinja and Mr. George Nkya.
The meeting was also attended by the Minister of Energy and Mineral Development, Hon. Ruth Nankabirwa Ssentamu.
Msisitizo

" President Museven okayed proposal from the delegates to go ahead and develop the solar generation plant of 20 megawats in Nwoya District near Olwiyo substation in Northen Uganda"


Shida yenu ni kiingereza. Huyo Dogo ameenda kupeleka maombi ya kufanya mradi wake wa kuzalisha umeme wa jua megawati 20 huko Uganda.

Sasa shida iko wapi? Yeye ni mfanyabiashara na ameona fursa ya biashara ameitumia!

Acheni roho za kimaskini
 
Inaelekea ameenda kupiga deal zake za kampuni binafsi kuwekeza kwenye solar energy Uganda.

[emoji2958] Sitoshangaa kusikia kwa upande wa Tanzania hii miradi TANESCO inayoingia ya kununua umeme wa renewables kuna kampuni moja, yeye na mama yake ni wabia (kama sio wamiliki 100%).
Kama Ni yey Basi itakuwa anafundishwa dili za umeme na makamba Jr
 
Kaenda kuzungumza project gani ya nchi?

Kampuni yake inataka kuzalisha umeme wa Jua megawati 20 hapo Uganda. Je iyo ni project ya nchi?

Wewe ukienda kuongea na Museven kuzalisha umeme Uganda hiyo ni project ya nchi?
Duh! Hizi akili Zingine!
 
Ngoja waje!!!
Tushakuja! Ahahahahaha! Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inasema, Rais anaweza kumteua mtu yoyote kufanya kazi kwa nafasi yoyote itakayoamriwa na Rais katika Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Sasa hapo tatizo nini?
 
Taifa na nchi yetu imechanua kwa maendeleo na kuwa Taifa la mfano barani Afrika kutokana na uchapa kazi na utendaji kazi uliotukuka wa Rais samia,ambapo sasa kila sekta inasonga mbele na kupata maendeleo ya kishindo,. Sasa ni mafanikio katika kila eneo
Uktooa nje ya nchi unaweza kuona aibu kujitambulisha kama mtanzania maan .tumeoneka kama taifa lisilowez kusimamia chochote kwa kwieli
 
Maza mishipa ya noma imekata kabisa kwenye ufisadi.
EEEEEEeenHeeeeeEEEEe!

Kamba yake ni ndefu kuliko zote, au siyo?

Nchi hii sikujua kuwa viongozi wetu wa juu wanatuangalia kwa dharau sana kiasi hiki!

Hivi kweli ndani ya CCM na huko serikalini hakuna hata mtu mmoja mwenye ubavu hata wa kunyoiosha kidole tu?
 
Dogo wanapozungumzia masuala ya nishati hususani umeme kutoka Mutukula hadi Mwanza...nini maana yake? Au Mwanza ni mali binafsi?
Acha akili mgando kwani
Area of Energy, power line kutoka Mutukula to Mwanza ipo chini ya wizara zipi kati ya serikali zipi? Is understanding english a big problem to you.
Kwani Tanzania hii umeme wote unaotumika unatoka TANESCO?

Kuna kampuni binafsi nyingi nchini zinazozalisha umeme. Labda Kwa kuwa mnakariri kuwa tukizungumzia umeme basi ni umeme wa maji
 
Naona umekoroga na kukurupuka tu hapa.umeandika vimaneno maneno tu bila kuweka ushahidi wa ukiongeacho,wapi katiba imevunjwa,wapi katiba ya nchi inamnyima uhuru au haki mtoto wa Rais kuwa ndani ya serikali au kufanya shughuli yoyote ya kiuchumi,hujaeleza kama ni wapi ambapo uwepo wake kule umeleta athari yoyote kwa Taifa kiuchumi,kisiasa,kiusalama , kidiplomasia n.k. na ni kwa namna ipi. Kama huna ya kuandika ni bora kufunga mdomo wako na kutulia Tuu.
Nafikiri we have IQ tofauti, kukujibu ni kupoteza akili zangu!
Yani post inasema kabisa cooperation kati ya Ugander na Bongo na si cooperation kati ya Mu7 na Abd , kweli bongo inatia huruma kama watu wake ndio nyie. This is a clear fraud na sio kwa Maza but kwa huyo Abdul , he doesn't have the mandate to speak on behalf of waziri wa nishati Mh Maropu

Kuna mahali panavuja! Utafunika miaka yote kila siku balaa jipya! Bandari ileeee! Ishaenda!!
 
Msisitizo

" President Museven okay Ed proposal from the delegates to go ahead and develop the solar generation plant of 20 megawats in Nwoya District near Olwiyo substation in Northen Uganda"


Shida yenu ni kiingereza. Huyo Dogo amendable kupeleka maombi ya kufanya mradi wake wa kuzalisha umeme wa jua megawati 20 huko Uganda.

Sasa shida iko wapi? Yeye ni mfanyabiashara na ameona fursa ya biashara ameitumia!

Acheni roho za kimaskini
Kwa nini kampuni haikutajwa? Kawaida kama alienda kibiashara, kampuni na cheo vingetajwa. Hapo inatafsiriwa ni kati ya Serikali na Serikali. Alienda kiserikali kupitia mgongo wa mama yake. Hilo ni jambo la wazi na halina ubishi hata ujaribu kupindisha namna gani.
 
Back
Top Bottom