Michango ipo ya aina nyingi, kijamii, kiuchumi, nk
Pia yawezekana yupo katika kamati za bunge anaweza kutoa mchango huko
Pia kwa kuhudhuria mikutano ya bunge ili kuweka akidi Sawa ni moja ya mchango wake bungeni nk
ACHA wivuuu Nan kamwambia ukienda kule lazima ukapige kelele sio WOTE wanaongea vya maana Bora huyu anakata kimya Jimbo lake Lina MAENDELEO
Unalingine
Acheni wivuu
Wazazi wenu walikuwa wavivu wa kutafuta maisha wameishia kuzaa matoto mavivu na yenye roho mbaya!
Mtoa mada issue sio kuchangia Bali unachangia Nini na huo mchango wako unachukuliwaje? Na Kwa jinsi bunge lilivyo hata ukitoka mchango wenye manufaa Kwa taifa unadharauliwa sasa ya Nini kujihangaisha?
Ili hoja inoge ilitakiwa useme kuwa alipoingia bungeni kwa mara ya kwanza ,mzazi wake hakuwa ni Rais wa JMT.....
Nadhani "fairness" ingetakiwa useme kuwa yeye ni mwenyekiti wa "Mwanamke Initiatives Foundation"....na utuambie kuwa taasisi hiyo haina mchango wowote.....je pale bungeni hakujawahi kualikwa watendaji na wanufaika wa hiyo "MIF" kule "gallery"....
Eti Hon. Wanu Ameir Hafidh. Pumbafu zake. Mijitu kama hii ndio inaweza kuuza hata nchi. Anakula tu hela za umma bila uchungu. Anaona kwa kua mama yake ni rais ni hake yake apate tu hela za bure.Wanabodi,
Tukisema kwamba huyu anakula posho za bure na mishahara ambayo hajaifanyia kazi tutakuwa tumemuonea?
Kuna huyu Mbunge wa Viti Maalum anaitwa Wanu Afidh AMeir who also appears to be the daughter wa Rais Samia.
Tangu ameingia bungeni mwaka 2020 hajatoa mchango hata mmoja. An mchango mmoja tu ambao aliutoa mwaka 2018 huko.
Maana yake huyu , according to tovuti ya bunge , ana miaka takriban 6 HAJACHANGIA CHOCHOTE BUNGENI. Ila kila mwezi bila shaka anapokea mshahara wa serikali.
Naomba kuuliza, mtu kama huyu kwanini bado yuko bungeni? Anafanya nini?
View attachment 3257491
Kwani Sheria inasema anatakiwa kuchangia mara ngapi ili aonekane ni Mbunge halali? Nisaidie hilo.Mteteee anayekulipa mkuu.
Haya matusi hayasaidii chochote.
Tuambie kwanini, mbunge wa chama chenu kwa miaka 5 hana mchango wowote kwenye vikao vya bunge?
Kwanini toka mwaka 2018 Wanu hajachangia chochote bungeni?
Mtetee bosi wako