Mtoto wa Simbachawene alimwa faini ya tsh. 250,000/=

duh... Bima ya chombo ina gharama kuliko faini yake, Nashukuru kwa kulifahamu hilo🙏
 
Traffiki ni wapuuzi sana na katika issue hii dogo nasikitika kusema mahakama imetumika vibaya ku-over-do!

Hapakua na issue yoyote ya maana pale.
 
Hivi gharama ya kukata 3rd party insurance vs fine ya kosa la kutokua na insurance ipi imekua kubwa hapo?
 
Kuonesha hasira acha hio kazi uliyonayo mkuu ili iwe kama mfano
 
Dogo ni TISI-CCM huyo, hukumu ya mchongo.
 
TZS 250,000/= kwa mtoto wa Waziri ni issue ndogo tu. Ni swala tu la Chawene Mkubwa kupiga simu moja tu hela ikaletwa fasta.
Hata yeye kwa jinsi alivyorekodiwa, alidai ana pesa, naona kulipia bima ya gari aliona sio kipaumbele.
 
Unadhani ndo hataonekana road na gari? Labda sio Tz...ataendesha vizuri tu
Mbona hata mim nna mwaka sasa sna bima wala sija update lesen. Hahah. Bonho raha sana.. natoka asubuh sa 12 hamna askar narud sa 12 jion hamna askar.. hahah

Ukitaka kamatwa toka saa nne asubuh au tembea mida ya mchana lazima askar akusimamishe
 
Ndio maana babaake kasema achukuliwe hatua kwa mujibu wa sheria.
Alikua anajua tobo liko wapi.
Kumwambia mwanae kubali umefanya basi kaadhibiwa kwa mujibu wa sheria analipa anatoka.
 
Vile virungu sijui vimetengenezwa na nini kwa ule mdundo wake katika ugoko na kwenye maungio ya mkono😭
 
250K , hela ya kifurushi cha DStv?
Siku zote nawambiaga watu, ukiwa unavuka barabara fanya chap usilinge. Sheria za makosa barabarani adhabu zake ni ndogo sana. Jamaa-angu aligonga na kuua Kimara, akakili kosa mahakamani alilipa 186k tu, eti gari ndo iliyoua sio yeye kwa kuendeshwa kwa uzembe.

Kwahiyo na ya huyo dogo kulipa 250k sishangai. Wenye magari yaliyoumizwa watalipwa na bima zao. Kwanza hawatasumbuliwa na milolongo ya makampuni ya bima sababu iko kwenye public demain, issue nzima
 
Katukana na kudharau mamlaka, huyu ilibidi apewe hata miaka 15 jela na faini si chini ya milioni 10. Kamdhalilisha sana babake na familia yake.
 
Mbona hata mim nna mwaka sasa sna bima wala sija update lesen. Hahah. Bonho raha sana.. natoka asubuh sa 12 hamna askar narud sa 12 jion hamna askar.. hahah

Ukitaka kamatwa toka saa nne asubuh au tembea mida ya mchana lazima askar akusimamishe
Tupo wengi😃
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…