Mtoto wa tatu wa Osama bin Laden anaishi huru Ufaransa wakati mtoto wa kwanza anaishi bila passport Saudi Arabia

Mtoto wa tatu wa Osama bin Laden anaishi huru Ufaransa wakati mtoto wa kwanza anaishi bila passport Saudi Arabia

Sababu Al Qaeda ni kundi Lao? Jamaa aliewahifadhi Watu waliolipua 9/11 hajawahi kamatwa pale Usa, walikaa kwake wakalipua kila FBI Wakitaka kumkamata CIA wanaingilia, amekuja Kufariki juzi juzi hapa kauliwa na Houth.

Mwaka 2000 huyo Alielipua CIA walikua wanafahamu nyendo zake zote hadi anaingia Usa San Diego kakaa mwaka na nusu lakini report yake haijapelekwa FBI.

Soma zaidi hapa

Hao ni watu wao, wataishi kwa Raha
je na wale wa death to america wanaokimbilia america nao ni watu wa cia ?
 
Osama si alitengenezwa na mashirika ya kijasusi ya magharibi so ni sahihi kizazi chake kithaminiwe zaidi na wana magharibi kuliko mtu mwingine yeyote
 
Unapanic nini au kumtafuna bi mkubwa wako unamuonea wivu? Ukiwa shoga na akili zinahamia nyuma nilishakuambia toka mwanzo mimi na mashoga mbalimbali bi mkubwa wako anatosha.
Mashoga wengi wako huko maeneo ya mwambao wa pwani kwenye dini ya haqi. Tanga, mombasa, Zbar nk
 
Osama si alitengenezwa na mashirika ya kijasusi ya magharibi so ni sahihi kizazi chake kithaminiwe zaidi na wana magharibi kuliko mtu mwingine yeyote
Osama hakutengenezwa na mashirika ya kijasusi ya magharibi, huo ni uongo mkubwa.
 
Wanatoka huko kwenye dini ya mnyaazi mungu
Teh teh teh.
katika muktadha huu, Baba Mtakatifu Francisko anasema shauku ya jinsia ya aina moja “Homosexuality” si kosa la jinai, bali ni hali ya kibinadamu; watu na jamii yenye mwelekeo huo wana haki zao msingi.
Lini na wewe unaenda kubatizwa?
 
Teh teh teh.
katika muktadha huu, Baba Mtakatifu Francisko anasema shauku ya jinsia ya aina moja “Homosexuality” si kosa la jinai, bali ni hali ya kibinadamu; watu na jamii yenye mwelekeo huo wana haki zao msingi.
Lini na wewe unaenda kubatizwa?
Nani kakwambia mimi ni catholic?
 
Teh teh teh.
katika muktadha huu, Baba Mtakatifu Francisko anasema shauku ya jinsia ya aina moja “Homosexuality” si kosa la jinai, bali ni hali ya kibinadamu; watu na jamii yenye mwelekeo huo wana haki zao msingi.
Lini na wewe unaenda kubatizwa?
Kichwa chako kinawaza mavi tu mda wote wewe ni inzi au Mende?
 
Back
Top Bottom