Mtoto wa tatu wa Osama bin Laden anaishi huru Ufaransa wakati mtoto wa kwanza anaishi bila passport Saudi Arabia

Mtoto wa tatu wa Osama bin Laden anaishi huru Ufaransa wakati mtoto wa kwanza anaishi bila passport Saudi Arabia

Wazungu wana uungwana mwingi sana maana Omar bin Laden, anaishi kwa uhuru kule Normandy Ufaransa.
View attachment 2815501
Omar bin Laden

Wakati mtoto wa kwanza, Abdallah bin Laden anaishi Saudi Arabia na haruhusiwi kwenda popote.
View attachment 2815500
Abdallah bin Laden
Mbona hawana Sijdah na hawakosi kuswali mara tatu kila siku.
Screenshot_20231117-093843_Chrome.jpg
 
Bin Laden ni moja kati ya familia kubwa na tajiri huko Saudia. Hamna cha ajabu hapo
 
Teh teh teh.
katika muktadha huu, Baba Mtakatifu Francisko anasema shauku ya jinsia ya aina moja “Homosexuality” si kosa la jinai, bali ni hali ya kibinadamu; watu na jamii yenye mwelekeo huo wana haki zao msingi.
Lini na wewe unaenda kubatizwa?
Achananao hao baba mtakatifu ameishatoa tamko nan atalipinga, nao ni binadam wanahaki zao hata kama wakioana jinsia moja watabatizwa.
 
UYU wa KWANZA yupo casual Sana,Hana uislam ndo mana anaishi huru France,wa pili ana udini na uislam Sana ,that's why vikwazo vimekuwa vingi
 
Faizafoxy mwenyewe yuko Canada badala akaishi Yemen, Somalia, Afghanistan au Gaza

Hawa watu wa dini ya munyazimungu wana tabu sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unapanic nini au kumtafuna bi mkubwa wako unamuonea wivu? Ukiwa shoga na akili zinahamia nyuma nilishakuambia toka mwanzo mimi na mashoga mbalimbali bi mkubwa wako anatosha.
Binti habari za leo
 
Mtume wenu wa Allah mwamedi ndo kawaachia tabia ya liwati fisi nyie.
usiingize upumbavu na uongo ukitaka ukweli sisi hatuwezi kumkashif nabii isa ama (yesu) huwa tunawaheshimu ila kuhusu liwati kamuulize kiongozi wenu papa francis atakujibu na baraka tayari ashabariki
 
Back
Top Bottom