Mtoto wako alikuwa hana mazoea ya kwenda kwa jirani fulani lakini ghafla habanduki huko, shtuka!

Mtoto wako alikuwa hana mazoea ya kwenda kwa jirani fulani lakini ghafla habanduki huko, shtuka!

Kwanza kwanini umuache mtoto aende kucheza kwa jirani?? Ukiachana na unyanyasaji wa kingono kuna mambo mengi yanaweza kutokea utamlaumu nani

1. Kuna mama alimruhusu mtoto akacheze kwa jirani watoto wanacheza bila uangalizi akatumbukia kwenye shimo la choo baadae anaenda kumwita aje kula wenzie wanasema aliingia mulee. Bahati mbaya mtoto alishapoteza maisha zamani.

2. Kuna watoto wengine ni watundu, anaweza kuwa sio wako bali hao wa jirani wakaharibu kitu mwanao ataunganishwa na kama sio kuangushiwa msala kabisa itakubidi ulipe.

3. Kuna mtoto alienda kucheza kwa jirani yule jirani anajishughulisha na kutengeneza sabuni za maji. Bahati mbaya aliacha michanganyiko yake ovyo ( kwake inaweza kuwa kawaida) mtoto yule alipoona akanywa aliugua kwa muda mrefu mwishowe alifariki dunia.

Kuna cases nyingi sana za aina mbali mbali, naamini kama mzazi ukiwa na ratiba ya mwanao nzuri atakuwa busy nyumbani hatawaza hata kwenda kwa jirani kucheza.
 
Kwanza kwanini umuache mtoto aende kucheza kwa jirani?? Ukiachana na unyanyasaji wa kingono kuna mambo mengi yanaweza kutokea utamlaumu nani

1. Kuna mama alimruhusu mtoto akacheze kwa jirani watoto wanacheza bila uangalizi akatumbukia kwenye shimo la choo baadae anaenda kumwita aje kula wenzie wanasema aliingia mulee. Bahati mbaya mtoto alishapoteza maisha zamani.

2. Kuna watoto wengine ni watundu, anaweza kuwa sio wako bali hao wa jirani wakaharibu kitu mwanao ataunganishwa na kama sio kuangushiwa msala kabisa itakubidi ulipe.

3. Kuna mtoto alienda kucheza kwa jirani yule jirani anajishughulisha na kutengeneza sabuni za maji. Bahati mbaya aliacha michanganyiko yake ovyo ( kwake inaweza kuwa kawaida) mtoto yule alipoona akanywa aliugua kwa muda mrefu mwishowe alifariki dunia.

Kuna cases nyingi sana za aina mbali mbali, naamini kama mzazi ukiwa na ratiba ya mwanao nzuri atakuwa busy nyumbani hatawaza hata kwenda kwa jirani kucheza.
❤️🧎
 
Kwangu mm naona naona kabisa kuwa kwa saiv watto waacheni wacheze mazingila tofauti tofaut kwa maana ya kwamba kumuongezea uwezo wa kutafakali mambo tofauttofauti lakin panakuwa na mipaka maalum, lakin kusema kuwa mtoto asicheze na wenzake inakuwa ni ngum watot watakuwa wa hovyo baadae ambao hawajielew hasa kisaikologia, kujiamn na hata kutoheshim wwngne
 
Back
Top Bottom