mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 23,965
- 131,949
Watoto wana tabia ya kukariri,[emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watoto wana tabia ya kukariri,[emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419]
[emoji419][emoji419][emoji419][emoji419]Ndiyo.Watoto wana tabia ya kukariri,
Ni kweli mkuuHongera Kwa malezi mkuu. Thamani ya bidii ya mtu kwenye utafutaji lazima iheshimiwe.
Niliwahi kukaribishwa chakula kwenye familia fulani ya kishua nikapikiwa ugali na nyama ya mchuzi. Nikaona ili nifaidi vizuri lile chuzi nikawa kila nikimega tonge natumia dole gumba langu kupiga lile shimo katikati ya donge la ugali ili kuchota ule mchuzi. Kumbe kuna dogo wao wa miaka mitatu hajawahi kuona kile kitu. Basi aliponiona kakimbia kwenda jikoni akiita mama mamaa njoo uone mama yake kaja dining anamuulizia nione nini. Dogo karopoka mgeni anatengeneza kwa kutumia ugali kichoteo cha mchuzi. Niliona aibu acha tu.
Aisee!Mwanangu amekulia sehemu ambayo hakuna Waislamu hajawahi ona mtu akiwa amevaa yale sijui majuba au hijabu manguo meusi ya kufunika uso na mwili mzima.
Nilienda naye Morogoro kwa wazazi, asubuhi akakutana na mama wa kiislam Jirani yetu amevaa yale manguo. Naona mtoto kaja ndani spidi analia na kumuita Mama yake. Mamaaaaa kuna jini linakuja. Kidogo tunaona yule mama anakuja nyumbani. Dogo yupo chumbani amejifunika blanket. Ikabidi tuombe msamaha kwa yule mama maana alisikia na akawa amekasirika. Tukaanza muelekeza mtoto kwani alikuwa mtoto wa miaka 4 kipindi hiko.
Nagonga kimtindo Leo nimekakuta kimeikaribia nikakimbia nayo faster[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Duh we jamaa wewe, so na wewe unagonga kisungura
Nooma sana ,wanapenda pombe balaa,mama zao wanatulaumu sisi etiMimi wa kwangu alikuwa na miaka kama minne, so nilikuwa nikienda washroom anaipiga pombe yote kwenye grasi then anarudishia so mimi nikirudi sijui kama kaipiga ya kwenye grasi. Hawa watoto hawa
Niliwahi gonga hako kasungura kesho yake niliamka natetema kama lile gari/mtambo wa kuvunjia rami, labda sababu sikuwa nimekula vizuri. Toka siku hiyo mimi na sungura hapana aiseeNagonga kimtindo Leo nimekakuta kimeikaribia nikakimbia nayo faster
Hapo mchawi msosiNiliwahi gonga hako kasungura kesho yake niliamka natetema kama lile gari/mtambo wa kuvunjia rami, labda sababu sikuwa nimekula vizuri. Toka siku hiyo mimi na sungura hapana aisee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tuliwahi kumtembelea jirani, tukaletewa soda hatujakaa sawa mtoto wake akaja na likikombe likubwa anaomba soda, ukimuwekea anaipiga tarumbeta anaomba tena, sio mtoto wangu ila nilihisi aibu.
Mfundisho kuwapenda kwa kuwalisha chakula na maji yeye akiwepo.Sure..
Comedy zao burudani sana.
Kuna mwamba wangu mmoja yeye anakimbiza vifaranga anavinyonga, yaani kuku akitotoa pale home inabidi wawekwe mbali nae.
Kosa umfunge kuku kamba asweze kukimbia utamkuta yeye anamchezea chezea shingo, nataka nije kumfundisha kuchinja kuku sabab naona ndo anapoelekea
Ungemkabidhi yote halafu ungetulia unamuangalia tu.Tuliwahi kumtembelea jirani, tukaletewa soda hatujakaa sawa mtoto wake akaja na likikombe likubwa anaomba soda, ukimuwekea anaipiga tarumbeta anaomba tena, sio mtoto wangu ila nilihisi aibu.