HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Kwamba wote wametoa mimba kama wewe?Jamii Forum Kila mtu ana mtoto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba wote wametoa mimba kama wewe?Jamii Forum Kila mtu ana mtoto
Sasa waonaje aibu wakati kaongea uhalisia?Kuna dada mmoja rafiki yangu,alinitembelea home, siku hiyo nilikua nipo na kabinti kangu , kana miaka mitatu .
Tukawa tupo mezani wote watatu wakati wa chakula cha mchana .
Baada ya kumaliza kula binti wa watu kabakiza chakula , akadai kashiba.
Kabinti kangu kakaropoka" icho chakula unamwachia nan? , unadhani baba yangu anapesa za mchezo" .
Duh niliona aibu sna ,sijui ayo maneno kayatolea wapi.
Mi vitoto kama hivyo navikazia jicho tuTuliwahi kumtembelea jirani, tukaletewa soda hatujakaa sawa mtoto wake akaja na likikombe likubwa anaomba soda, ukimuwekea anaipiga tarumbeta anaomba tena, sio mtoto wangu ila nilihisi aibu.
Mtoto alimjibu vizuri kabisa, hakuwa na kosa kabisaUnapokuwa mgeni hasa kwenye nyumba yenye mtoto ni vyema kuwa makini sana....
Jamaa mmoja alienda ugenini sasa akawa ameketi sebleni wanaangalia TV sasa jamaa remote ilikuwa pembeni yake akaamua kuichukua abadili channel..pembeni alikuwa mtoto wa mwenyeji wake akaanza kumuuliza jamaa, "Wewe si mgeni?, Si umekuja saivi tuu? Mbona unatumia remote kama vile ni yako?"
Jamaa aliona aibu sana yani....
Umenena ukweli kabisaWatoto wa kulelewa na singo maza hao,ungempa kofi olomife moja mpaka acheue hao dagaa na ugali
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sure..
Comedy zao burudani sana.
Kuna mwamba wangu mmoja yeye anakimbiza vifaranga anavinyonga, yaani kuku akitotoa pale home inabidi wawekwe mbali nae.
Kosa umfunge kuku kamba asweze kukimbia utamkuta yeye anamchezea chezea shingo, nataka nije kumfundisha kuchinja kuku sabab naona ndo anapoelekea
Kafanya vzr sanaMwanangu amekulia sehemu ambayo hakuna Waislamu hajawahi ona mtu akiwa amevaa yale sijui majuba au hijabu manguo meusi ya kufunika uso na mwili mzima.
Nilienda naye Morogoro kwa wazazi, asubuhi akakutana na mama wa kiislam Jirani yetu amevaa yale manguo. Naona mtoto kaja ndani spidi analia na kumuita Mama yake. Mamaaaaa kuna jini linakuja. Kidogo tunaona yule mama anakuja nyumbani. Dogo yupo chumbani amejifunika blanket. Ikabidi tuombe msamaha kwa yule mama maana alisikia na akawa amekasirika. Tukaanza muelekeza mtoto kwani alikuwa mtoto wa miaka 4 kipindi hiko.
Kama nakuona ukiwa unamtizama mwamba anavyowachezea kukuSure..
Comedy zao burudani sana.
Kuna mwamba wangu mmoja yeye anakimbiza vifaranga anavinyonga, yaani kuku akitotoa pale home inabidi wawekwe mbali nae.
Kosa umfunge kuku kamba asweze kukimbia utamkuta yeye anamchezea chezea shingo, nataka nije kumfundisha kuchinja kuku sabab naona ndo anapoelekea
Katoto kalini fukuzia njiwa manga wangu mkuu.Sasa waonaje aibu wakati kaongea uhalisia?
Embu tupe ushuhudawako alikuaibisha vipi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aibu hii
Duu! Pole sana.Kitoto changu nilikipeleka hospital kuchek malaria sasa baada yakutoka hospital tukakaa bar flan jiran na hospital kumnunulia chips akawa anagonga pale mara siakaamza kulilia bia , eti nataka biaaa ,ninunulie bia nikawa nazuga pale muhudumu naomba malta huyu dogo malta anaitaga bia dogo likaanza sitaki hio nataka pombee kulikuza na wazee pale wakawa wananiona kama mpinga kristo halafu Chakushangaza sijawah kula gambe mbele yake na mama yake hanywi na kilikua na miaka miwili dah
Jr wangu bado hata kukaa hajaanza, [emoji23][emoji23][emoji23]Embu tupe ushuhudawako alikuaibisha vipi
Asante master ameshakua kijana wa darasa la pili hata akiniona nakula mtungi huenda kunishtaki kwa mama yake kanajua pombe ni Haram, ila kaliamuaga tu kunichoresha 😁Duu! Pole sana.
Mimi sina mzaha na chakula. Dogo alikuwa na tabia ya kula na kuacha chakula sasa hivi kaacha. Nikiona kaacha chakula, atakimaliza kwa lazima. Anavuta mdomo wee, lakini sasa hivi yuko powa.Mwenyewe mkuu sipendi mtu abakize chakula na kitupwe, unasema mapema kama ni kingi.......
Sitaki uharibifu watu wanalala njaa ujue. Una binti smart Kwa kweli
Mbaya kweli. Ni ulimbukeni tu wa kibongo. Hawa wenzetu wanathamini sana chakula. Hata akienda hotel akila chakula kinachobaki anabeba. Mimi nikienda kula huwa nawaambia wapunguze maana siwezi kumaliza.Ila hii tabia ya mtu anajipakulia chakula mwenyewe halafu eti anakula nusu au robo anaacha huwa ni tabia mbaya sana.
Hongera Kwa malezi mkuu. Thamani ya bidii ya mtu kwenye utafutaji lazima iheshimiwe.Mimi sina mzaha na chakula. Dogo alikuwa na tabia ya kula na kuacha chakula sasa hivi kaacha. Nikiona kaacha chakula, atakimaliza kwa lazima. Anavuta mdomo wee, lakini sasa hivi yuko powa.
[emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419]Wengjne mazingira yetu mgeni akiwepo hakuna mtoto atajipitisha mbele za wageni,
Na hiyo tabia ya kuropokaropoka watoto wwnu wanaiga kwenu wazazi na walezi,wafundisheni watoto kuwa na khaba si kila wanachokiona/kusikia ni lazima waongee,
aisee simpendi mtoto mropokaji,
😂😂😂😂😂🚮Mimi sina mzaha na chakula. Dogo alikuwa na tabia ya kula na kuacha chakula sasa hivi kaacha. Nikiona kaacha chakula, atakimaliza kwa lazima. Anavuta mdomo wee, lakini sasa hivi yuko powa.
Kabisa Mkuu...Mambo ya Watoto yanafurahisha sanaa....wakikua hawaamini ukiwapa story za mambo waliofanya wakiwa watoto