Mtoto wako amewahi kukuaibisha mbele za watu?


[emoji23][emoji23][emoji119]
 
Aisee!
 
Mimi wa kwangu alikuwa na miaka kama minne, so nilikuwa nikienda washroom anaipiga pombe yote kwenye grasi then anarudishia so mimi nikirudi sijui kama kaipiga ya kwenye grasi. Hawa watoto hawa
Nooma sana ,wanapenda pombe balaa,mama zao wanatulaumu sisi eti
 
Watoto ni balaa.
Kuna wazazi fulani walikua wanalala pamoja na watoto wao.
Usiku mkubwa wakiamini watoto wamelala wanaangusha godoro la spea wanafanya yao.
Kuna siku wakaulizwa " kwanini mnapenda kukandana hapo?" Next day ilibidi wahamishwe chumba.

Na kuna mmoja huyo alimshtaki baba ake kwa uncle wake.
" Uncle huyu baba ikifika usiku anampiga mama, baba anampandia juu mama, mama analia tuu"
Mama wa watu aliona aibu.

Kuna dogo mmoja yeye alienda kutoa siri ya maumbile ya babaake kwa watoto wenzake lakini na watu wazima wapo.

"Basi mie babaangu ana KOJO kubwa hiloo!"
Haifahamiki aliliona katika mazingira gani hilo KOJO.

Kuna moja hiyo nimeishuhudia kwa macho yangu mawili, vitoto vya USWAZI vinacheza nje mtaani pao. Wapo kama wanne hivi, umri una range miaka 3 mpaka 4.
Kitoto kimoja cha kike kilikua kimevalishwa chupi tu hana nguo nyengine.
Nikakiona kitoto cha kiume kikimfunua chupi kuangalia kule ndani halafu vinacheka.
Njia mzima najiuliza vitoto vidogo vile vimejifunzia wapi mambo kama yale.?
 
Nagonga kimtindo Leo nimekakuta kimeikaribia nikakimbia nayo faster
Niliwahi gonga hako kasungura kesho yake niliamka natetema kama lile gari/mtambo wa kuvunjia rami, labda sababu sikuwa nimekula vizuri. Toka siku hiyo mimi na sungura hapana aisee
 
Niliwahi gonga hako kasungura kesho yake niliamka natetema kama lile gari/mtambo wa kuvunjia rami, labda sababu sikuwa nimekula vizuri. Toka siku hiyo mimi na sungura hapana aisee
Hapo mchawi msosi
 
Tuliwahi kumtembelea jirani, tukaletewa soda hatujakaa sawa mtoto wake akaja na likikombe likubwa anaomba soda, ukimuwekea anaipiga tarumbeta anaomba tena, sio mtoto wangu ila nilihisi aibu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mfundisho kuwapenda kwa kuwalisha chakula na maji yeye akiwepo.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Tuliwahi kumtembelea jirani, tukaletewa soda hatujakaa sawa mtoto wake akaja na likikombe likubwa anaomba soda, ukimuwekea anaipiga tarumbeta anaomba tena, sio mtoto wangu ila nilihisi aibu.
Ungemkabidhi yote halafu ungetulia unamuangalia tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…