Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu kama wewe ndio huenda kucheza karata msibani wanacheka kabisa wanasahau msiba😅Mpige ngumi mgongoni...
Km amemeza itatoka na haja kubwa km hajaimeza ukimbamiza mgongoni itaruka juu mdomonii
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣mkuu sasa ndo nshawaza nkawazua. Km yuko kijijini kuitafuta hospital ni elfu 15 kwa basi?Watu kama wewe ndio huenda kucheza karata msibani wanacheka kabisa wanasahau msiba😅
View attachment 2483982
Kama ingekuwa imekwama kwenye koo la hewa sasa hivi angekuwa ameshampata majibu kwa kutokwa na udenda na asingeweza kula vizuriMuchunguze kama anatoa udenda... ikiwa hivyo it means imekwama kwenye koo la chakula ...
Mpeleke hospitali akafanyiwe kipimo cha x-rays kuona mahali hiyo sarafu ilipo ili kujihakikisha pia kuwa haiko kwenye njia ya hewa...
Kama itakuwa ishafika kwenye tumbo au utumbo basi jitahidi kufatilia choo chake kila anapoenda haja ili kuona kama imetoka
Kuna dogo aliwahi kumeza bunch of 3 keys... na akaitoa kwa njia ya haja baada ya 12hrs
Unijua 200 unaisikia?? Fikiria diammeter yake halafu fikiria ni mtoto mdogo bado sphincter hazijakomaa kama zakoSphincter muscles haziharibiki kirahisi hivyo mkuu.
SahihiSi uende hospitali , siku waafrika tukipata akili tutakuwa mbali sana