dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
Hadi muda wa kuingia na kuomba ushauri huku, hospital ingekuwa jambo la kwanza.Sahihi
Heimlich maneuver....Mpige ngumi mgongoni...
Km amemeza itatoka na haja kubwa km hajaimeza ukimbamiza mgongoni itaruka juu mdomonii
Km hii mbinu haisaidii wahi hospital [emoji541]
π€£π€£π€£πmh, sh 200 kubwa, kupita kwenye mkVndV wakati wa kuhara si mchezo
πππ€£π€£Asante kwa baadhi ya mawazo yenu wanaJF niliyafanyia kazi na ameitema kwa njia ya haja kubwa leo saa 12 asubuhi
Alikuwa na umri gani?Muwahishe hospital haraka,
200 ni kubwa sana, imepitaje shingoni uwiiiiiih.
Kuna mtoto wa jiran alimeza 50, alikua anakula vyakula laini ni ndizii tyuuh siku ya 2 jioni aliitoa kupitia haja kubwaa.
Duuuh poleeee sanaaaa.