Mtoto wangu ana tabia ya kujibonda, nifanyaje ili aache?

Athari za Mama kuwa na hasira kipindi kirefu akiwa mjamzito.
Mnatakiwa kujitahidi wake zenu wawe katika furaha siku zote za ujauzito hata kwa kujifosi.
Homoni za wakati wa Mimba matokeo yake ndio haya.
Signal zizingatiwe kwa mjamzito.
alaf sas mke wang ni mwanamke mpole san toka nmejuana nae sio mtu wa hv kabisa
 
ana autisim
 
kuna ugonjwa wa saikolojia anao huyi dogo...autism..wana tabia hizo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…