Mtoto Warda apatikana kwenye Kijiji cha chamanzi, Dar es Salaam

Mtoto Warda apatikana kwenye Kijiji cha chamanzi, Dar es Salaam

Ila hao global TV mbona Wana dharau sana?yaani chamazi ni Kijiji?au Kuna Chamazi mbili hapa Dslam?
Mwenyewe nimefikiri ni labda ya pwani huko....au ipo nyingine Hawa wahuni yaani chamazi nje ya mjin?
 
Af jiji la Dar es salaam haliwezi kuwa na kitu kinaitwa "kijiji", af Chamaz unaifaham vizuri?
Acha ushamba wakuja bobu
Dar Ina vijiji vingi tu mfno chamanzi,mbweni mwisho,mvumoni,mbande,kibada,kibamba chama,luguruni,makabe nk
Kitu ambacho hujui hata marekani inavijiji
Na hakuna sehem duniani isiyo na kijiji
Screenshot_20231029-151643.png
Screenshot_20231029-151536.png
 
Back
Top Bottom