Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazi nzuri bibieSawa shem
😒😒 nini tenaKazi nzuri bibie
Nimelia kikwetu huko ughandiUWe mwanaume, uwiii imetoka wapi sasa.
Hata hivyo hongera lakini kuwa makini na mashemeji
Anhaaa shem wangu unamwita baby kumbe unanizunguka etKazi nzuri bibie
Unawataka mtu na mdogo wake?Anhaaa shem wangu unamwita baby kumbe unanizunguka et
Shemeji yangu bado mdogo muache kwanza akue😂😂😂Unawataka mtu na mdogo wake?
Udogo upi, umeupimajeShemeji yangu bado mdogo muache kwanza akue😂😂😂
Mie ndio najua maana nilikabidhiwa nimleeUdogo upi, umeupimaje
Huu ni ufala sasa, mke mwenyewe bado hajakukubalia ghafla unarukia mashemeji..Mie ndio najua maana nilikabidhiwa nimlee
😂😂😂😂😢😢😢A
Huu ni ufala sasa, mke mwenyewe bado hajakukubalia ghafla unarukia mashemeji..
Pupa hizi unaaibika soon
Anikome...japo hajaniita mimi kamuita mmeoSi amekuita wewe sweetheart wako jamani auu
Imebidi nirudi page one.....sikuelewa Kwa kweli...my sincere apologiesMatusi yako nimeyasikia, hata kama hunipendi tena lakini heshimu uanaume wangu ulionyoka na utu wangu pia.
Nimeongea kwa msisitizo...
Kumbe hata wewe ni mwanamme? Utanisaamehe sana, mimi siku zote kwa hiyo ID yako nilikuwa najuwa mwanamke.Matusi yako nimeyasikia, hata kama hunipendi tena lakini heshimu uanaume wangu ulionyoka na utu wangu pia.
Nimeongea kwa msisitizo...
Una u kei mwingi faizaKumbe hata wewe ni mwanamme? Utanisaamehe sana, mimi siku zote kwa hiyo ID yako nilikuwa najuwa mwanamke.
Leo nimefahamu.
Watoto wanakimbia makwao tangu zamani. Siku hizi mtandao ndiyo unafanya matukio kama haya yajulikane sehemu nyingi lakini siyo kitu kipya.Hivi ni kitu gani kinatokea kwa hawa watoto siku hizi mpaka wanakimbia makwao?
---
Mtoto Warda Mohammed (15) aliyekuwa mwanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Nyumbu iliyopo Kibaha mkoani Pwani aliyepotea tangu Aprili 19, 2023, amepatikana.
Usiku wa kuamkia leo Oktoba 28, 2023, GLOBAL TV imepokea simu kuwa Warda ameonekana Chamazi nje kidogo ya Jiji la Dar.
GLOBAL TV imefunga safari na kwenda kumshuhudia Warda na kumtambua kuwa kweli ni yeye.
Source : Globaltv