Mtoto Warda apatikana kwenye Kijiji cha chamanzi, Dar es Salaam

Mtoto Warda apatikana kwenye Kijiji cha chamanzi, Dar es Salaam

Waliomtorosha wakamficha hukowachukuliwe hatuwa kali sana.

Kwa maisha ya siku hizi ulezi pasua kichwa unaanza mtoto akiwa na mika 13 unaenda mpaka 21, ni umri mgumu sana kwa walezi.

Mwenyezi Mungu awafanyie wepesi.
 
Matusi yako nimeyasikia, hata kama hunipendi tena lakini heshimu uanaume wangu ulionyoka na utu wangu pia.

Nimeongea kwa msisitizo...
Imebidi nirudi page one.....sikuelewa Kwa kweli...my sincere apologies
 
Matusi yako nimeyasikia, hata kama hunipendi tena lakini heshimu uanaume wangu ulionyoka na utu wangu pia.

Nimeongea kwa msisitizo...
Kumbe hata wewe ni mwanamme? Utanisaamehe sana, mimi siku zote kwa hiyo ID yako nilikuwa najuwa mwanamke.
Leo nimefahamu.
 
Hivi ni kitu gani kinatokea kwa hawa watoto siku hizi mpaka wanakimbia makwao?
---
Mtoto Warda Mohammed (15) aliyekuwa mwanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Nyumbu iliyopo Kibaha mkoani Pwani aliyepotea tangu Aprili 19, 2023, amepatikana.

Usiku wa kuamkia leo Oktoba 28, 2023, GLOBAL TV imepokea simu kuwa Warda ameonekana Chamazi nje kidogo ya Jiji la Dar.

GLOBAL TV imefunga safari na kwenda kumshuhudia Warda na kumtambua kuwa kweli ni yeye.

Source : Globaltv
Watoto wanakimbia makwao tangu zamani. Siku hizi mtandao ndiyo unafanya matukio kama haya yajulikane sehemu nyingi lakini siyo kitu kipya.
 
Af jiji la Dar es salaam haliwezi kuwa na kitu kinaitwa "kijiji", af Chamaz unaifaham vizuri?
 
Back
Top Bottom