Mtozi Alloyce Nyanda: Kuna watu wanamtumia Swai kumchafua Sabaya?

Angalia alichokuwa anawafanyia wafanyabiashara,
Your browser is not able to display this video.
 
Kwa hiyo DC aligeuka Afisa TRA akawa naye anakusanya mapato ya serikali?

Task Force!
 
Machalii wa r wameshindwa kumfanya "chochote"? Hadi anawapora wanamcheki tu?!
 
Ndugu yangu ukitaka kumtetea sabaya utaishia kuchafuka mwenyewe. Hata umtoe swai katika masuala aliyowahi kufanya sabaya ni mengi. Muulize nandy alichofanyiwa pale weruweru mountain lodge usiku sabaya akiwa na genge lake.
Nandy yupi mkuu
 
Nyanda mjinga sana najua kapewa hela na sabaya kumtetea mjinga mwenzake sabaya,mwizi,tapele mporaji nk siku zake zinahesabika mungu atajibu maombi ya wanyonge.
 
Tukitawala na kutoa maamuzi kwa mitandao hatutafika. Nadhani taifa letun haliwezi chukua mambo ya mitandaoni kutolea maamuzi. Tuache kazi zisonge mbele.
 
Aisee mpaka nimesisimka ...ajabu huyu mtu atatumbuliwa tu na hakuna atakachofanya CCM wanalindana sana yani Mbwa hao.
 
Huyo anayemtete Sabaya itakua ni Sabaya mwenyewe au itakua sabaya anamnanihii[emoji35][emoji35]
 
Sabaya akitoka madarakani lazima akimbie Hai vinginevyo atafanywa kitu mbaya sana.
Mambo ya Sabaya husituletee hapa,huyo siku zake zishafika mwisho tangu siku ya kwanza tu alivyoapisha SSH.
Kwahiyo hakuna namna ya kumuepusha kikombe hiko.
 
Tuseme sabaya anaonewa sasa anavyovamia na kupata watu tuseme anasungiziwa hadi alivyoonesha dharau kwa Mkuu wa Mkoa tuseme tunamsingizia ppale hakuwa yeye
 
SWALI LA 1: SIONI MANTIKI KWA NYANDA KUMUULIZA SWALI HILI KUMBUSHO. KWANZA SIO KUMBUSHO ALIYEDAI KUWA NA HIYO VIDEO. PILI, ILE VIDEO YA CCTV IWEPO AU ISIWEPO HAIONDOI TUHUMA ZILIZOPO DHIDI YA SABAYA, KWA KUWA UTENDAJI KAZI WAKE UMEJAA VITENDO VYA KIHUNI NA USIOZINGATIA MAADILI YA UTUMISHI. TATU, KIMBUSHO HATOI TUHUMA, TUHUMA ZINATOLEWA NA SWAI.

SWALI LA 2. SWAI HASEMI KAMA HUO MRADI WA NYOKA ULIZUIWA NA WATU WA MALIASILI, KUMBUSHO HANA SABABU YA KUWAULIZA WATU WA MALIASILI KWA KUWA ANAMNUKUU TU MLALAMIKAJI ANAYEDAI SABAYA NDIYE KAMZUIA. SWALI AMBALO YEYE MWENYEWE MTOZI ANAPASWA KUJIULIZA NANI AMBAYE ANGEZUIA MRADI HUO KIUTARATIBU, KAMA HOJA NI VIGEZO-NI SABAYA KAMA DC AU WATU WA MALIASILI?

SWALI LA 3. KWANINI NYANDA ASILICHULIE TU KWAMBA SUALA LA SWAI KUWA JIPE KAMA KUJIFICHA KWA MAANA YA KWAMBA ENEO LILE HALIKO KATIKA MAMLAKA YA SABAYA KAMA DC?

SWALI LA 4. NANI AMEMWAMBIA ALOYCE NYANDA KUWA KAMA MALI ZA SWAI ZIMEUZWA ARUSHA KWA MNADA NA CRDB BASI ANAKOSA HAKI YA KULALAMIKA DHIDI YA SABABYA KAMA ANAONA KUNA MAMBO MABAYA AMEFANYIWA? HII NDIO CRITICAL THINKING YA WATANGAZAJI WA STARTV?

SWALI LA 5. JIBU LAKE NI SAWA NA JIBU LA SWALI NAMBA 4.

* HUYU NYANDA ACHUNGUZWE, INAWEZEKANA AMEPEWA MSHIKO KUMTETEA SABAYA!
 
Ongea na hii ..wanaziba hadi kamera ili wafanye uporaji
Your browser is not able to display this video.
 
Kiburi hadharani hadi kwa mkuu wake wa mkoa
Your browser is not able to display this video.
 
Sabaya ni kiboko ya Mbowe plus BAVICHA! Na huyo ni mtoto wenu, sipati picha angekuwa msukuma tungesikia kila aina ya matusi. Kampeni yenu haitafanikiwa mama Samia naye anaakili, sana mnachofanya ni kumpiga teke chura!
 
Tuhuma zimeelekezwa kwa Sabaya zinakuwasha nini? Mwache aje jamvini ajitetee mwenyewe au aendee mahakamani kushtaki kwa kuchafuliwa jina.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…