Rabonn
JF-Expert Member
- Nov 7, 2018
- 5,789
- 11,106
Ahahahah.we mkaka, we mdada, pow tyu, xaf, jomoni, nk. kwa ujumura inatikisisha thana. thatha tyufwanyeje?
Yote hapo siyapend sana.
Jomoni na Tyu aisee yananichefua sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahahahah.we mkaka, we mdada, pow tyu, xaf, jomoni, nk. kwa ujumura inatikisisha thana. thatha tyufwanyeje?
Kinakuchoma kwenye moyo...[emoji23][emoji23][emoji23]
unazungumzia magazeti yapi?Wapo wengi saaaana
Ukiona hivi ujue hawasomagi magazeti kwa asilimia kubwa, waandishi wa magazeti ni msaada mkubwa sana kuweka kiswahili vzr
Na Waalimu wa zamani walikuwa wapenzi wakubwa wa kusoma magazeti
Sasa mtu atakuaje maneno sahihi wakati yuko busy kuchat na mxhkaj na msela pamoja na youtube??
Wamama au wababaZahabu, saminisha, mbaba, mmama
Unakuta jitu linakutumoa message anaanza kusema "jamani bhana usinifanyie hvyo" sasa ndiyo niniMis hapa unamaanisha nini...sijakuelewa