Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi hata sielewagi wanawaza nini? Watu wa aina hii hunikuti hata wana namba yanguWatu wanaopenda kutumia xx badala ya s,hovyo sana.unakuta mtu anakuandikia p badala y poa.
Unatamani kulia [emoji23]Xaxa vp mxhikaji Wang? Huwa natamani kupasuka
Halafu huwa sioni sababu ya kufupisha hivyo mtu kama hutaki kuchat si unaacha tu maana inatia hasiraKuna haya maneno kama;
Mamb, tyu,
Saw, ukuje, pow au pw, xax inakuwaj, jomon, kutokutofautisha R na L, n2mie, kazaa badala ya kadhaa,
aiseee.. huwa yanani turn off sana
Mimi mwanamke ila mwanaume akiniita Best nachukiaHamna kitu sipendi kama mwanaume mwenaume mwenzangu kuniita "best".
Aisee siipendi hii kitu basi tu.
We jamaa ww Julius acha huu ufala wako siupendi kabisaa.Siku nitakuchana ukuda huu
Hilo neno ndio nalichukia mpaka na wanaolitumia nawadharau sanavipi kuhusu baharia??
Unamkata mtama kama yuko karibuJitu limekunyima papuchu halafu linakuambia....
Poyeeee......jomonii.....
Hahaaaaaa unatamani uingie kwenye keyboard
Enx b behf [emoji22]Lxm ,vxr .p .k. Cpendi kwa ujumla
Bwana kama huyo unamtoa wapi[emoji3][emoji3][emoji3] stimu za kumpenda zinakutoka wapiUkute ni mpenzi wako anakuandikia meseji ya mahaba kisha anakosea kosea hivyo, tena ni Kiswahili, hata kama unampenda, dah
Wengine wanaandika herufi kubwa tupu halafu hawajui kuweka nafasi kati ya neno na neno
Anakuandikia RAAZIZ.AILINI..URIPATA.SARAM.NIRIZOMTUMA.MELI
Akaanisha Laaziz Irene ulipata salamu nilizimtuma Mary?
Hapa sasa na ww umezidishaMamb
Wwe
Nan
Kiufupi sipendi wanaoandika kifupisho Cha maneno..wanakera mno.
Nimezidisha Nini mkuu?Hapa sasa na ww umezidisha
😂 😂 😂 😂Vipi kuhusu "Mchizi" ?
omba uchungu uzaeKiswahili ni Lugha tamu sana,ila pale mtu anavyo anza kuiharibu inatia hasira sana.Mfano
"Abali yako we kaka"
"Wewe hujui dhamani ya moyo wangu ndo maana unanitesa"
"Nikiwa laisi nitaenda kukaa Ikuru"
"Hajila hazijatoka bado"
[emoji3][emoji3][emoji3]
Hebu weka na wewe yanayo kukera na kukuongezea msongo wa mawazo.
Umzedisha kukereka na vitu vidogo like vifupisho kama hivyo vya kuacha "vowels" na ku consider "consonats" tu.Thus is just nirmal mm naonaNimezidisha Nini mkuu?
Ndivyo vyanikera Sasa..sio kila mtu anapenda ufupisho wa maneno.Umzedisha kukereka na vitu vidogo like vifupisho kama hivyo vya kuacha "vowels" na ku consider "consonats" tu.Thus is just nirmal mm naona
Mamb
Wwe
Nan
Kiufupi sipendi wanaoandika kifupisho Cha maneno..wanakera mno.
hahahahahaha yahandikeni tuu hayo maneno yanayowakela iri asila dhenu dhihishe[emoji23][emoji23][emoji23]....
ila kuna watu wanaharibu kiswahili jamaniii.... Mimi sipendi wale wanaofupisha pia maneno wakiandika...
Na unakuta ni mzuri haswa.Ukute ni mpenzi wako anakuandikia meseji ya mahaba kisha anakosea kosea hivyo, tena ni Kiswahili, hata kama unampenda, dah
Wengine wanaandika herufi kubwa tupu halafu hawajui kuweka nafasi kati ya neno na neno
Anakuandikia RAAZIZ.AILINI..URIPATA.SARAM.NIRIZOMTUMA.MELI
Akaanisha Laaziz Irene ulipata salamu nilizimtuma Mary?