Mtu akiandika hivi huwa najisikia hasira

Mtu akiandika hivi huwa najisikia hasira

Meseji unaiyona uwisoni[emoji23][emoji23]
Udugu hazina yetu penda veve sana.
Ywd honey? Hwy boo? Enx
Kama mtu hujiskii kuandika maneno mazima si unaacha
Aisee natamanigi kuzimia
 
Watu wanaopenda kutumia xx badala ya s,hovyo sana.unakuta mtu anakuandikia p badala y poa.
Mimi hata sielewagi wanawaza nini? Watu wa aina hii hunikuti hata wana namba yangu
Xaxa vp mxhikaji Wang? Huwa natamani kupasuka
Unatamani kulia [emoji23]
Kuna haya maneno kama;
Mamb, tyu,
Saw, ukuje, pow au pw, xax inakuwaj, jomon, kutokutofautisha R na L, n2mie, kazaa badala ya kadhaa,
aiseee.. huwa yanani turn off sana
Halafu huwa sioni sababu ya kufupisha hivyo mtu kama hutaki kuchat si unaacha tu maana inatia hasira
Hamna kitu sipendi kama mwanaume mwenaume mwenzangu kuniita "best".
Aisee siipendi hii kitu basi tu.
We jamaa ww Julius acha huu ufala wako siupendi kabisaa.Siku nitakuchana ukuda huu
Mimi mwanamke ila mwanaume akiniita Best nachukia
vipi kuhusu baharia??
Hilo neno ndio nalichukia mpaka na wanaolitumia nawadharau sana
Jitu limekunyima papuchu halafu linakuambia....
Poyeeee......jomonii.....
Hahaaaaaa unatamani uingie kwenye keyboard
Unamkata mtama kama yuko karibu
Na nyie mnaokotaga wapi hao mabinti wasiojua kuandika[emoji23]
Lxm ,vxr .p .k. Cpendi kwa ujumla
Enx b behf [emoji22]
Ukute ni mpenzi wako anakuandikia meseji ya mahaba kisha anakosea kosea hivyo, tena ni Kiswahili, hata kama unampenda, dah
Wengine wanaandika herufi kubwa tupu halafu hawajui kuweka nafasi kati ya neno na neno

Anakuandikia RAAZIZ.AILINI..URIPATA.SARAM.NIRIZOMTUMA.MELI

Akaanisha Laaziz Irene ulipata salamu nilizimtuma Mary?
Bwana kama huyo unamtoa wapi[emoji3][emoji3][emoji3] stimu za kumpenda zinakutoka wapi
Unajua ukimpenda mtu vitu vingi sana vinachangia.
Kuna kaka alinitongozaga akawa ananitumia ma emoj tupu nilitamani kumchinja nikablock
 
Mamb
Wwe
Nan

Kiufupi sipendi wanaoandika kifupisho cha maneno. wanakera mno.
 
Kiswahili ni Lugha tamu sana,ila pale mtu anavyo anza kuiharibu inatia hasira sana.Mfano

"Abali yako we kaka"
"Wewe hujui dhamani ya moyo wangu ndo maana unanitesa"
"Nikiwa laisi nitaenda kukaa Ikuru"
"Hajila hazijatoka bado"
[emoji3][emoji3][emoji3]

Hebu weka na wewe yanayo kukera na kukuongezea msongo wa mawazo.
omba uchungu uzae
 
Nimezidisha Nini mkuu?
Umzedisha kukereka na vitu vidogo like vifupisho kama hivyo vya kuacha "vowels" na ku consider "consonats" tu.Thus is just nirmal mm naona
 
Umzedisha kukereka na vitu vidogo like vifupisho kama hivyo vya kuacha "vowels" na ku consider "consonats" tu.Thus is just nirmal mm naona
Ndivyo vyanikera Sasa..sio kila mtu anapenda ufupisho wa maneno.

"mm naona"[emoji21]
 
"wangu mambo"

Hapo dume zima ndiyo linakutext hivyo

Natamanigi nitukane sema basi tu.
 
"xawa tyuuuu"

Mtu mmoja hivi alinitext hivyo nikamkaushia
 
Nimekupenda!
Km upo karibu na GULIO, chukua mbuzi mzima..... Waambie slimTANO atalipa!
hahahahahaha yahandikeni tuu hayo maneno yanayowakela iri asila dhenu dhihishe[emoji23][emoji23][emoji23]....

ila kuna watu wanaharibu kiswahili jamaniii.... Mimi sipendi wale wanaofupisha pia maneno wakiandika...
 
kibangubangu,

Hayo yote huna budi kukutana nayo maana kuzungumza au kuandika kiswahili fasaha mchakato ambao wengi hawakubahatika kuipitia au waliishia njiani!
 
Huwa najiuliza hivi ule mtihani wa chekechea kwenda darasa la kwanza watu hao walifaulu vipi kwenye irabu na silabi, maana ni ngumu kwenda darasa la kwanza mpaka ujue kusoma kwa ufasaha.

"Hua najihuliza ivi hule mtiani wa chekechea kwenda dalasa ra saba ao warifahulu vp kwenye ilabu na sirabi, mahana ni ngumu kwenda dalasa la kwanza mupaka hujue kusoma kwa ufasaa"
 
Ukute ni mpenzi wako anakuandikia meseji ya mahaba kisha anakosea kosea hivyo, tena ni Kiswahili, hata kama unampenda, dah
Wengine wanaandika herufi kubwa tupu halafu hawajui kuweka nafasi kati ya neno na neno

Anakuandikia RAAZIZ.AILINI..URIPATA.SARAM.NIRIZOMTUMA.MELI

Akaanisha Laaziz Irene ulipata salamu nilizimtuma Mary?
Na unakuta ni mzuri haswa.
 
Back
Top Bottom