Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaka kuna magazeti na magazeti ya kusoma..siku hizi hawa waandishi wa habari (wote wa radio, runinga na magazeti) ndio wamekuwa wanaongoza katika "kukibananga" Kiswahili. Inasikitisha sana kumsikia au kusoma mwandishi wa habari akisema au kuandika sentensi ..." hii ni kati ya NYIMBO bora sana mwaka huu"Wapo wengi saaaana
Ukiona hivi ujue hawasomagi magazeti kwa asilimia kubwa, waandishi wa magazeti ni msaada mkubwa sana kuweka kiswahili vzr
Na Waalimu wa zamani walikuwa wapenzi wakubwa wa kusoma magazeti
Sasa mtu atakuaje maneno sahihi wakati yuko busy kuchat na mxhkaj na msela pamoja na youtube??
Mtu akiniongelea hivo ,naweza mkata banzi moja mpaka akatoshapow tyu, xaf, jomoni,