Ahahahah.we mkaka, we mdada, pow tyu, xaf, jomoni, nk. kwa ujumura inatikisisha thana. thatha tyufwanyeje?
Kinakuchoma kwenye moyo...[emoji23][emoji23][emoji23]
unazungumzia magazeti yapi?Wapo wengi saaaana
Ukiona hivi ujue hawasomagi magazeti kwa asilimia kubwa, waandishi wa magazeti ni msaada mkubwa sana kuweka kiswahili vzr
Na Waalimu wa zamani walikuwa wapenzi wakubwa wa kusoma magazeti
Sasa mtu atakuaje maneno sahihi wakati yuko busy kuchat na mxhkaj na msela pamoja na youtube??
Wamama au wababaZahabu, saminisha, mbaba, mmama
Unakuta jitu linakutumoa message anaanza kusema "jamani bhana usinifanyie hvyo" sasa ndiyo niniMis hapa unamaanisha nini...sijakuelewa