Msitarajie watu walioshinda uchaguzi na wengine kupata vyeo serikali kwa msaada wa mtu ambae alikuwa adui wa demokrasia, waache kumtukuza, na wanafanya yote haya ili na huyu aliepo sasa nae awabebe.
Waacheni wahangaike kwani wengine saa hizi wangekuwa vyuoni wanashika chaki, wengine wangekuwa ni wastaafu baada ya kushindwa uchaguzi, wengine wangekuwa wajasiliamali wa kawaida tu, n.k
Chema chajiuza, kibaya chajitembeza.