Mtu anapokuwekea bastola jibu ni moja Mwambie ashushe au apige risasi.

Mtu anapokuwekea bastola jibu ni moja Mwambie ashushe au apige risasi.

Jana usiku ,Kuna Jamaa yangu kawekewa bastola kichwani kamwambia yule muhuni maamuzi ni mawili kupiga risasi au kushusha bastola chini

Guyz don't afraid anything
Hili tukio kuna mtu alisimulia kama hivi humu pia, kwa mujibu wake, Le supa Marehemu gadamuiti, Mobimba nyee bomaye Le mutuz aliwahi kubananishwa naye alijibu hivo

Sina hakika na hiyo narration, watatusaidia watu kuthibitisha
 
Jana usiku ,Kuna Jamaa yangu kawekewa bastola kichwani kamwambia yule muhuni maamuzi ni mawili kupiga risasi au kushusha bastola chini

Guyz don't afraid anything
Hapana mimi binafsi sitajibu hivyo, I'll just buy him sometimes to look for a possible chance to eliminate the threat. Akizubaa tu in any way out imekula kwake........
 
I can’t remember that situation and don’t remind

Nilikuwa nasafiri naelekea nch fulani bus likavamiwa tukapukutishwa vya kutosha na bado wale wezi hawakulizika wakaanza kupita kwa mtu mmoja mmoja si wakafika kwangu na wakaniwekea mkwaju kichwani duuh hicho chombo sio cha mchezo nilipoa kama maji mtungini alaf hawakuwa wanaongea kiswahili yaani sio watanzania walikuwa wazimbambwe na kipindi hicho sikuwa na kingereza cha kujitete, usiombee

Daah isikie tu hiyo situation
 
Jambazi Hana huruma,Pana siku jambazi moja wameteka gari kumbe shemeji yake yaani mke wa kaka yake akiwa na watoto wake wawili ni miongoni mwa abiria.
Mke wa kaka yeye akasema " shem kumbe ni wewe" kosa kubwa sana hili jambazi akampiga risasi shemeji yake watoto nao kitendo tu Cha "kusema,eeh baba mdogo "pale pale jambazi akawaua watoto wa kaka yeka pia.
Ndoa uoni jambazi na mchawi wasivyo na huruma kwa mwanadamu.kwao pesa kwamza
 
Jana usiku ,Kuna Jamaa yangu kawekewa bastola kichwani kamwambia yule muhuni maamuzi ni mawili kupiga risasi au kushusha bastola chini

Guyz don't afraid anything
Alijiami kwa dizain hiyo kutegemea na mwenye bastora alivo kuja na namna alivo shika,

Kuna namna unaeza soma body position na attention ya mtu. Na ukajua namna ya kuepuka chap

By the way inaezekan mwamba alikuchezea ww trik ili umuone n mwamba sana na ujiami ukiwa nae.
Lakin kam mtu amekuja serious hyo kitu sikia

Lakin so mbaya maana akili ya binadam ina tecnik nying za kusaidia mwili pale tukio la ghafla linapotokea.

Rejea clip ya nape enzi zile na wale makachelo,nape pale alijiami ila alikuwa muoga sana ata sound vocal yake iliv kuwa inatoka na reaction ya body yake iliv kuwa ni tofaut.
 
Back
Top Bottom