Mtu anapokuwekea bastola jibu ni moja Mwambie ashushe au apige risasi.

Mtu anapokuwekea bastola jibu ni moja Mwambie ashushe au apige risasi.

Trigger huwa ni laini kuliko , na inahitaji movement ndogo tu ya kidole ili bastola ifyatue risasi.

Just saying.......
Hapana mkuu, utakuwa hujawahi kutumia bunduki au bastola, kwenye triger kuna kitu kinaitwa wimbi, ukilivuka hilo unapoibonyeza that's called a point of no return. Na hii kitu iliwekwa baada ya kugundua mapungufu ya silaha kujipiga hovyo baada ya kutingishwa/kujigonga ikiwa usalama umeshafunguliwa. Silaha ambayo haina hii kitu mpaka sasa ni Uzi SMG ya kiisrael.
 
Mtaalamu wa silaha umuwekei bastola kichwan yaani ziro distance ashakumaliza kitambo.
Wale wanacheza na sense na timing Wana technique zote za kucheza na silaha
Hili sikupingi,

Brother aliwahi kuwekewa bastola kichwani ndani ya sekunde aliwaangusha watatu chini na bastola Yao,nilikuwa fom 2 kipindi hicho,nilivyomaliza tu skuli nikatamani kazi yake ya ujeda
 
Mtao mada acha kutuzuga akili,hivi wewe umewahi shikiwa mtutu hata kwa kutishiwa tu ama unaongea tu?

Hii habari ya kushikiwa bunduki baki kuisikia tu kwa watu usiombe bana
 
I can’t remember that situation and don’t remind

Nilikuwa nasafiri naelekea nch fulani bus likavamiwa tukapukutishwa vya kutosha na bado wale wezi hawakulizika wakaanza kupita kwa mtu mmoja mmoja si wakafika kwangu na wakaniwekea mkwaju kichwani duuh hicho chombo sio cha mchezo nilipoa kama maji mtungini alaf hawakuwa wanaongea kiswahili yaani sio watanzania walikuwa wazimbambwe na kipindi hicho sikuwa na kingereza cha kujitete, usiombee

Daah isikie tu hiyo situation
kupata vichekesho kama hivi tubonyeze ngapi
 
Kuna jamaa aliniwekea Ruger kichwani sababu alinikuta nyumbani kwake nikiwa na boxer tu na mkewe akiwa na kachupi.

Nilisema kama mwanaume kweli pull the trigger kama huwezi kwenye trunk ya gari I got me AK47 I will put holes all over ur body.

Jamaa alinambia I give you 5 minutes u have to be out my house. Nilitoka nje nafika kwenye gari najiuliza pay back time or let it go. Hapo nina AK47 black full mag na under the seat nina 45 caliber Smith & Wilson.

Maisha yangu nimepitia mengi shoutout south side St. Louis,Mo na homeboy Tyrone,Fredo na TJ wa Shatown,IL (money gang boys) Ya kno
Anzisha uz buda

Sent from my TECNO KI7 using JamiiForums mobile app
 
Jambazi Hana huruma,Pana siku jambazi moja wameteka gari kumbe shemeji yake yaani mke wa kaka yake akiwa na watoto wake wawili ni miongoni mwa abiria.
Mke wa kaka yeye akasema " shem kumbe ni wewe" kosa kubwa sana hili jambazi akampiga risasi shemeji yake watoto nao kitendo tu Cha "kusema,eeh baba mdogo "pale pale jambazi akawaua watoto wa kaka yeka pia.
Ndoa uoni jambazi na mchawi wasivyo na huruma kwa mwanadamu.kwao pesa kwamza
Tumia neno "Kuna siku" badala ya "Pana siku"
 
huyo muoga basi
anasubir nini mpaka anakupa muda wa kukjieleza
 
Jana usiku ,Kuna Jamaa yangu kawekewa bastola kichwani kamwambia yule muhuni maamuzi ni mawili kupiga risasi au kushusha bastola chini

Guyz don't afraid anything
Usiige movie za Hollywood, utabaki historia.
 
Kuna jamaa aliniwekea Ruger kichwani sababu alinikuta nyumbani kwake nikiwa na boxer tu na mkewe akiwa na kachupi.

Nilisema kama mwanaume kweli pull the trigger kama huwezi kwenye trunk ya gari I got me AK47 I will put holes all over ur body.

Jamaa alinambia I give you 5 minutes u have to be out my house. Nilitoka nje nafika kwenye gari najiuliza pay back time or let it go. Hapo nina AK47 black full mag na under the seat nina 45 caliber Smith & Wilson.

Maisha yangu nimepitia mengi shoutout south side St. Louis,Mo na homeboy Tyrone,Fredo na TJ wa Shatown,IL (money gang boys) Ya kno
Unaangalia sana movie za kihindi dogo.
 
unagawia wenzio kansa ya mifupa ngoja waonje
napita tu ......
 
Back
Top Bottom