tzhosts
JF-Expert Member
- Nov 5, 2016
- 403
- 510
Hii ngoma ni nchi gani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ngoma ni nchi gani
Yah,unapigwa na bastola yakoMtaalamu wa silaha umuwekei bastola kichwan yaani ziro distance ashakumaliza kitambo.
Wale wanacheza na sense na timing Wana technique zote za kucheza na silaha
BondeniHii ngoma ni nchi gani
Mtu akitaka kukuua hakuna maelezo wala kuwekewa Bastola kichwani ni moto kwenda mbelekuna jamaa mwenye fulana ya blue inawezekana kafa kwa mshituko tu.
dah ila jamaa hawakuruhusu mazungumzo kabisa, wamehakikisha kabisa risasi zimeenda pazuri kumaliza show.
Hakuma maelezo wala nini ni mwendo wa moto tuItakuwa sauzi hii walimlenga jamaa.
Walikuwa na kisa naeHakuma maelezo wala nini ni mwendo wa moto tu
Alafu kisa chenyewe hakina msamahaWalikuwa na kisa nae
South Africa kuuliwa hakuna kisa ni kitu Cha kawaida sababu ya mzimu wa Shaka Zulu alipenda kuuaAlafu kisa chenyewe hakina msamaha
Trigger huwa ni laini kuliko , na inahitaji movement ndogo tu ya kidole ili bastola ifyatue risasi.Hapana mimi binafsi sitajibu hivyo, I'll just buy him sometimes to look for a possible chance to eliminate the threat. Akizubaa tu in any way out imekula kwake........
Bongo sawa Sauzi ni habari nyingine hasa akishakwambia INGOOZIJana usiku ,Kuna Jamaa yangu kawekewa bastola kichwani kamwambia yule muhuni maamuzi ni mawili kupiga risasi au kushusha bastola chini
Guyz don't afraid anything
Kuna jamaa aliniwekea Ruger kichwani sababu alinikuta nyumbani kwake nikiwa na boxer tu na mkewe akiwa na kachupi.
Nilisema kama mwanaume kweli pull the trigger kama huwezi kwenye trunk ya gari I got me AK47 I will put holes all over ur body.
Jamaa alinambia I give you 5 minutes u have to be out my house. Nilitoka nje nafika kwenye gari najiuliza pay back time or let it go. Hapo nina AK47 black full mag na under the seat nina 45 caliber Smith & Wilson.
Maisha yangu nimepitia mengi shoutout south side St. Louis,Mo na homeboy Tyrone,Fredo na TJ wa Shatown,IL (money gang boys) Ya kno
Acha uongo wewe,..Kuna jamaa aliniwekea Ruger kichwani sababu alinikuta nyumbani kwake nikiwa na boxer tu na mkewe akiwa na kachupi.
Nilisema kama mwanaume kweli pull the trigger kama huwezi kwenye trunk ya gari I got me AK47 I will put holes all over ur body.
Jamaa alinambia I give you 5 minutes u have to be out my house. Nilitoka nje nafika kwenye gari najiuliza pay back time or let it go. Hapo nina AK47 black full mag na under the seat nina 45 caliber Smith & Wilson.
Maisha yangu nimepitia mengi shoutout south side St. Louis,Mo na homeboy Tyrone,Fredo na TJ wa Shatown,IL (money gang boys) Ya kno
Unaongea kama unatazama movie lakini in the real sense utajinyea.Hapana mimi binafsi sitajibu hivyo, I'll just buy him sometimes to look for a possible chance to eliminate the threat. Akizubaa tu in any way out imekula kwake........
Kwasababu hunijui mkuu😊Unaongea kama unatazama movie lakini in the real sense utajinyea.
Unakuta mtu kashachoka maisha, halafu unamtishia kumuua.Jana usiku ,Kuna Jamaa yangu kawekewa bastola kichwani kamwambia yule muhuni maamuzi ni mawili kupiga risasi au kushusha bastola chini
Guyz don't afraid anything
Hahaaa...yaani hapa bongo bhana....jamaa anadhani ni rahisi hivo.Acha uongo wewe,..
Bunduki ishike wewe au uione kwenye movie tu! ila usiombe ushikiwe ..!