Mtu anapokuwekea bastola jibu ni moja Mwambie ashushe au apige risasi.

Mtu anapokuwekea bastola jibu ni moja Mwambie ashushe au apige risasi.

Kitu Cha kizingatia hapo ni Jambaz mwenyw anaonekanaje, na silaha ikoje ukijiridhish kua yaweza kua ni UBABAISHAJI.

MRUHUSU ashambulie, hili tukio lilitokea nkiwa mdg hv NTUZU BONGE mmiliki wa duka alivamiawa na kibaka mcharuko mwenye mikwara mno.

Baada ya kuanza kumkusanyia fedha likaja wazo SI anipige tu Kwann nimtaftie kirahisi kivi, ndipo Kwa kujiamini akamwambia piga risasi( Niueee) jamaa akaanza kuhaha na kuendeleza mikwara ntakumalizq Fala wewee weka hizo pesa zangu zote nkuache, maisha yako nmeyashikilia kudadekizako.

NTUZU BONGE hakusita akaendelea kumruhusu apige risasi. Hapo ndipo bonge akamvaa na kumnyang'anya chuma kuangalia vizir ni mbao iliyotengenezwa vyema, alimshuhulikia vyema kuanzia sa5 had alfjr swalaaa, Bado NTUZU BONGE aliendelea kucharaza mtuhumiwa wake.

Ukijiridhish ni chuma kweli na Jamaa lenyewe lipo kikazi zaid kusanya tu Huna namna.
 
Kuna jamaa aliniwekea Ruger kichwani sababu alinikuta nyumbani kwake nikiwa na boxer tu na mkewe akiwa na kachupi.

Nilisema kama mwanaume kweli pull the trigger kama huwezi kwenye trunk ya gari I got me AK47 I will put holes all over ur body.

Jamaa alinambia I give you 5 minutes u have to be out my house. Nilitoka nje nafika kwenye gari najiuliza pay back time or let it go. Hapo nina AK47 black full mag na under the seat nina 45 caliber Smith & Wilson.

Maisha yangu nimepitia mengi shoutout south side St. Louis,Mo na homeboy Tyrone,Fredo na TJ wa Shatown,IL (money gang boys) Ya kno
 
We Jamaa unajiamini Sana when this story is really I give you a Fucking crown
Kuna jamaa aliniwekea Ruger kichwani sababu alinikuta nyumbani kwake nikiwa na boxer tu na mkewe akiwa na kachupi.

Nilisema kama mwanaume kweli pull the trigger kama huwezi kwenye trunk ya gari I got me AK47 I will put holes all over ur body.

Jamaa alinambia I give you 5 minutes u have to be out my house. Nilitoka nje nafika kwenye gari najiuliza pay back time or let it go. Hapo nina AK47 black full mag na under the seat nina 45 caliber Smith & Wilson.

Maisha yangu nimepitia mengi shoutout south side St. Louis,Mo na homeboy Tyrone,Fredo na TJ wa Shatown,IL (money gang boys) Ya kno
 
Kuna jamaa aliniwekea Ruger kichwani sababu alinikuta nyumbani kwake nikiwa na boxer tu na mkewe akiwa na kachupi.

Nilisema kama mwanaume kweli pull the trigger kama huwezi kwenye trunk ya gari I got me AK47 I will put holes all over ur body.

Jamaa alinambia I give you 5 minutes u have to be out my house. Nilitoka nje nafika kwenye gari najiuliza pay back time or let it go. Hapo nina AK47 black full mag na under the seat nina 45 caliber Smith & Wilson.

Maisha yangu nimepitia mengi shoutout south side St. Louis,Mo na homeboy Tyrone,Fredo na TJ wa Shatown,IL (money gang boys) Ya kno
Acha uongo wewe,..

Bunduki ishike wewe au uione kwenye movie tu! ila usiombe ushikiwe ..!
 
Back
Top Bottom