Mtu anapokuwekea bastola jibu ni moja Mwambie ashushe au apige risasi.

Trigger huwa ni laini kuliko , na inahitaji movement ndogo tu ya kidole ili bastola ifyatue risasi.

Just saying.......
Hapana mkuu, utakuwa hujawahi kutumia bunduki au bastola, kwenye triger kuna kitu kinaitwa wimbi, ukilivuka hilo unapoibonyeza that's called a point of no return. Na hii kitu iliwekwa baada ya kugundua mapungufu ya silaha kujipiga hovyo baada ya kutingishwa/kujigonga ikiwa usalama umeshafunguliwa. Silaha ambayo haina hii kitu mpaka sasa ni Uzi SMG ya kiisrael.
 
Mtaalamu wa silaha umuwekei bastola kichwan yaani ziro distance ashakumaliza kitambo.
Wale wanacheza na sense na timing Wana technique zote za kucheza na silaha
Hili sikupingi,

Brother aliwahi kuwekewa bastola kichwani ndani ya sekunde aliwaangusha watatu chini na bastola Yao,nilikuwa fom 2 kipindi hicho,nilivyomaliza tu skuli nikatamani kazi yake ya ujeda
 
Mtao mada acha kutuzuga akili,hivi wewe umewahi shikiwa mtutu hata kwa kutishiwa tu ama unaongea tu?

Hii habari ya kushikiwa bunduki baki kuisikia tu kwa watu usiombe bana
 
kupata vichekesho kama hivi tubonyeze ngapi
 
Anzisha uz buda

Sent from my TECNO KI7 using JamiiForums mobile app
 
Tumia neno "Kuna siku" badala ya "Pana siku"
 
huyo muoga basi
anasubir nini mpaka anakupa muda wa kukjieleza
 
Jana usiku ,Kuna Jamaa yangu kawekewa bastola kichwani kamwambia yule muhuni maamuzi ni mawili kupiga risasi au kushusha bastola chini

Guyz don't afraid anything
Usiige movie za Hollywood, utabaki historia.
 
Unaangalia sana movie za kihindi dogo.
 
unagawia wenzio kansa ya mifupa ngoja waonje
napita tu ......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…