sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,182
- 8,948
Moderetor nimechoka nimechoka,
Sijui kama mkurugenzi wa Jamii forum na wewe moderetor mnaishi DSM kama mpo hapo jijijini jitafakarini
Yaani mkijaga mikoani mnaonekana watu wa maana mnang' ara mnavutia. Kumbe watu wa ovyo kabisa
Haiwezekani Ally kibao alitekwa na kuuawa MKOANI Kwenu jiji la wajanja na vitambi VYENU vya ajabu ajabu
Haya Sativa alitekwa DSM akatupwa katavi mpo tyuuuu,
Haya Bonge Tarimo ilibakia nusu TU waondoke nae mliishia kurekodi video ili sisi WANAUME wa mikoani tuwasaidie
Soka na wenzake wakina mlay wameitwa kituo Cha polisi aliye waita mnaishi Mae hapo mtaani aise na wengine mnakunywa nae bia so fuckin kabisa mwanaume ya ajabu hii sijui inakuraga ROJO?
Haya Leo pale stendi eti kachukuliwa nondo mwenyekiti wa ngome ya vijana real pale stendi Kuna WANAUME kibao mmeshindwa kuzuia gari kenge maji kabisa nyie Tena huku mikoani MSIJE kabisa bakini uko kwen utekwe mpaka ufe
Najiuliza hapa kwa Nini msipelekwe Tanga kama walivyo wamasai mkachese vibao kata?
Kwa Nini msipelekwe zanzibari Pemba kule tukawachezee viuno VYENU au mplekekwe kizimkazk.kabisa
Sijui kama mkurugenzi wa Jamii forum na wewe moderetor mnaishi DSM kama mpo hapo jijijini jitafakarini
Yaani mkijaga mikoani mnaonekana watu wa maana mnang' ara mnavutia. Kumbe watu wa ovyo kabisa
Haiwezekani Ally kibao alitekwa na kuuawa MKOANI Kwenu jiji la wajanja na vitambi VYENU vya ajabu ajabu
Haya Sativa alitekwa DSM akatupwa katavi mpo tyuuuu,
Haya Bonge Tarimo ilibakia nusu TU waondoke nae mliishia kurekodi video ili sisi WANAUME wa mikoani tuwasaidie
Soka na wenzake wakina mlay wameitwa kituo Cha polisi aliye waita mnaishi Mae hapo mtaani aise na wengine mnakunywa nae bia so fuckin kabisa mwanaume ya ajabu hii sijui inakuraga ROJO?
Haya Leo pale stendi eti kachukuliwa nondo mwenyekiti wa ngome ya vijana real pale stendi Kuna WANAUME kibao mmeshindwa kuzuia gari kenge maji kabisa nyie Tena huku mikoani MSIJE kabisa bakini uko kwen utekwe mpaka ufe
Najiuliza hapa kwa Nini msipelekwe Tanga kama walivyo wamasai mkachese vibao kata?
Kwa Nini msipelekwe zanzibari Pemba kule tukawachezee viuno VYENU au mplekekwe kizimkazk.kabisa