Mtu anayemchukia Hayati Magufuli anafaa kuwa Waziri Tanzania?

Mtu anayemchukia Hayati Magufuli anafaa kuwa Waziri Tanzania?

Sitegemei unafiki iwe jadi iliyokomaa kiasi cha namna hii nchini Tanzania.

Alivyoapishwa Samia Suluhu kwa kujua mapenzi na imani kubwa waliyokua nayo watanzania kwa Magufuli alisema baada ya kuapa kua rais wa tanzania kwamba yeye na magufuli ni kitu kimoja. Na amerudia kusema hivyo mara kadhaa.

Sasa mimi nauliza kama ni sawa Rais Samia kumuweka uwaziri mtu au watu waliyojitokeza mbele ya umma au kunaswa sauti zao wakimkashifu na kumkejeli the late Magufuli.

Wengine hata baada ya kupewa uwaziri hawaishi kumpiga vijembe kutafuta kumvunjia heshima Magufuli.

Wananchi kwa ujumla wao wanaomuenzi Magufuli na kupenda mwelekeo kisiasa na kiuchumi wa Tanzania kuendelea na mwendo wa Kimagufuli hakika wanakwazika sana kuona mtu yeyeto aliyejitokeza wazi kumpinga na kumkejeli Magufuli anaaminika kushika Wizara nyeti kwenye Serikali ya mrithi wa Magufuli.
Hii nchi sio Mali ya mtu hapana ,kumpenda mtu Fulani sio kigezo Cha kupata uongozi ndani ya nchi.na Wala sio kiss kisheria kutokumpenda mtu fulani.jitahidini kuipenda nchi kuliko watu maana watu na vyama vyao watapita nchi itabaki palepale.
 
Sitegemei unafiki iwe jadi iliyokomaa kiasi cha namna hii nchini Tanzania.

Alivyoapishwa Samia Suluhu kwa kujua mapenzi na imani kubwa waliyokua nayo watanzania kwa Magufuli alisema baada ya kuapa kua rais wa tanzania kwamba yeye na magufuli ni kitu kimoja. Na amerudia kusema hivyo mara kadhaa.

Sasa mimi nauliza kama ni sawa Rais Samia kumuweka uwaziri mtu au watu waliyojitokeza mbele ya umma au kunaswa sauti zao wakimkashifu na kumkejeli the late Magufuli.

Wengine hata baada ya kupewa uwaziri hawaishi kumpiga vijembe kutafuta kumvunjia heshima Magufuli.

Wananchi kwa ujumla wao wanaomuenzi Magufuli na kupenda mwelekeo kisiasa na kiuchumi wa Tanzania kuendelea na mwendo wa Kimagufuli hakika wanakwazika sana kuona mtu yeyeto aliyejitokeza wazi kumpinga na kumkejeli Magufuli anaaminika kushika Wizara nyeti kwenye Serikali ya mrithi wa Magufuli.

Magufuli hakuwa Nabii au mtu safi hata kidogo.Alikuwa mtu mwovu kupindukia,mbaguzi hakuna wa kumfukia,katili wa kiwango cha kutisha,mfujaji wa fedha za umma na muuaji.

Mtu anaye muenzi hana akili sawa sawa
 
Sitegemei unafiki iwe jadi iliyokomaa kiasi cha namna hii nchini Tanzania.

Alivyoapishwa Samia Suluhu kwa kujua mapenzi na imani kubwa waliyokua nayo watanzania kwa Magufuli alisema baada ya kuapa kua rais wa tanzania kwamba yeye na magufuli ni kitu kimoja. Na amerudia kusema hivyo mara kadhaa.

Sasa mimi nauliza kama ni sawa Rais Samia kumuweka uwaziri mtu au watu waliyojitokeza mbele ya umma au kunaswa sauti zao wakimkashifu na kumkejeli the late Magufuli.

Wengine hata baada ya kupewa uwaziri hawaishi kumpiga vijembe kutafuta kumvunjia heshima Magufuli.

Wananchi kwa ujumla wao wanaomuenzi Magufuli na kupenda mwelekeo kisiasa na kiuchumi wa Tanzania kuendelea na mwendo wa Kimagufuli hakika wanakwazika sana kuona mtu yeyeto aliyejitokeza wazi kumpinga na kumkejeli Magufuli anaaminika kushika Wizara nyeti kwenye Serikali ya mrithi wa Magufuli.
Magufuli alikuwa hafai hata uenyekiti wa kijiji afadhali ameondoka.
 
Hilo Limama lilikuwa linafiki na mimacho yake! Alikuwa mbaya sana huyu mama kwa Magufuli ina nakuhakikishia atavuna alichopanda alikuwa anamuona Magufuli mjinga na ili kuonesha hilo anawatoa watu wa maana anaweka wanafiki wenzake!
Tatizo mlilishwa sana maneno mazuri mliyo penda kiyasikia wakati hayana ukweli wowote,hapo aliyasema hayo kwa sababu tu ya ukabila wake kisa waliguswa watu wa kabila lake, atuambie wale walio bomolewa hapo kimara bila kulipwa fidia tena bila hata huruma walikuwa wananchi wa wawapi?

Mzee alikuwa mnafiki na mkabila sana huyu, wakiguswa kanda ya ziwa ana chachamaaa balaaa ila kanda zingine anajifanya kama hajasikia kilicho tokea na ndio maana hapa hata watetezi wake 95% ukiwachunguza wanatoka kanda ya ziwa kama wewe mwenyewe
 
Alivyoapishwa Samia Suluhu kwa kujua mapenzi na imani kubwa waliyokua nayo Watanzania kwa Magufuli alisema baada ya kuapa kua rais wa Tanzania kwamba yeye na Magufuli ni kitu kimoja. Na amerudia kusema hivyo mara kadhaa.
Mkuu @kambwembwe, kwanza asante kwa hoja hii, pili ni kweli, Rais Mama Samia aliwaahidi Watanzania kuwa yeye ni kama Magufuli, atamuenzi kwa kauli na matendo, na kutekeleza yote ya Magufuli na ni kweli anatimiza ahadi.
Kwa vile rais Magufuli hakuwa malaika, ni binadamu, ana mazuri yake na mabaya yake, hivyo mtu akifa, ni mazuri yake tuu ndio anatuachia, na mabaya zake anazikwa nayo, anaondoka nayo, na mabaya hayo hayana haja ya kusemwa tena!, marehemu hasemwi vibaya, tumwache apumzike dalama. Ila katika kumuenzi mtu, unachukua yale mazuri tuu ndio unayaenzi na kunayaendeleza, na yale mabaya, unaachana nayo, aliisha zikwa nayo.
Katika utekelezaji wa awamu zote, pia hutokea makosa, Awamu ya kwanza ya Mwalimu, enzi za Azimio la Arusha na siasa ya ujamaa na kujitegemea, kulitokea makosa fulani fulani katika maeneo mengi, ikiwemo operesheni vijiji, na kwenye miiko ya uongozi, ukijumlisha na athari za vita ya Kagera, kiukweli kabisa Nyerere was right kung'atuka, na nchi ilikuwa kwenye hali mbaya sana. Awamu ya Mwinyi alipoingia, aliendeleza mazuri ya Nyerere, na kuyabadili mabaya ikiwemo kupitisha Azimio la Zanzibar likalifunika Azimio la Arusha, Mwinyi akafungulia ruhksa zote. Mkapa alipoingia akaenzi ya Mwinyi na kuleta privatization, JK naye akaenzi ya Mkapa na kutuingiza kwenye utandawazi, JPM was a game changer, akaleta ya kwake na katika kuyatekeleza, kuna makosa fulani fulani yametendeka na awamu hiyo, Sasa Mama Samia ndio ni kweli yuko lama JPM, anamuenzi kwa kauli na matendo, ila pia anarekebisha baadhi ya moakosa, kwa kutumia mfumo mpya wa to heal the nation. Kati ya makosa hayo ni makosa kwenye "hire and fire", na hili msiseme tunamsema marehemu, no, sisi wa kusema hili tulilisema wazi

Utumbuaji Majipu wa Rais Magufuli: Is It A Right Thing, At The ...

Je, Kila utumbuaji ni wa haki, au kuna kumkomoa Kikwete?!

Je, inawezekana huu ndio mwisho wa utumbuaji wa papara ...

Tuache Siasa Kwenye Professionalism, Sio Kila Mtumbuliwa ...​


Hii Tumbua Tumbua ya Rais Magufuli, Hivi Kikwete ...​



Anachokifanya Mama Samia, kuwateua baadhi ya waliotumbuliwa na JPM, ni wale tuu the fine guys waliotumbuliwa kwa makosa. Kwa hili kiukweli Mama Samia atabarikiwa sana na nchi itabarikiwa
Sasa mimi nauliza kama ni sawa Rais Samia kumuweka uwaziri mtu au watu waliyojitokeza mbele ya umma au kunaswa sauti zao wakimkashifu na kumkejeli the late Magufuli.
Hizo voice notes wewe ulizisikiliza?, kwenye waliorudishwa kuna yeyote wewe ulimsikia akimshfu JPM?. Mimi nimezikiliza zile voice notes zote, kuna wengine kiukweli kabila walisema ukweli mtupu kumhusu JPM na wala hawakukashifu chochote, ila bado waliomba msamaha na JPM aliwasamehe na yakaisha.

Psychoanalysis ya Waomba Msamaha Kwa Rais, Makamba ...

Wananchi kwa ujumla wao wanaomuenzi Magufuli na kupenda mwelekeo kisiasa na kiuchumi wa Tanzania kuendelea na mwendo wa Kimagufuli hakika wanakwazika sana kuona mtu yeyote aliyejitokeza wazi kumpinga na kumkejeli Magufuli anaaminika kushika Wizara nyeti kwenye Serikali ya mrithi wa Magufuli.
Poleni sana kwa kukwazika, Eais Samia is healing the nation, kama kuna watu wa Magufuli ambao mnakwazika kwa anayoyafanya Mama Samia, kuwateua baadhi ya wale JPM aliowatumbua, ndio sasa mjue kuwa japo Samia ni kama JPM, ila kwenye haki bin haki, JPM was JPM na Samia is Samia. ni watu wawili tofauti kama mbingu na nchi.
P
 
Mother anamalizia kiporo cha huyo jamaa yenu aliyekufa kwa ujinga wake (Naona mnamsimanga sana kwa kura zenu za wizi na kifedhuli za 2020, mngeshinda kwa halali sijui hata kama kungekalika humu), and 2025 anachukua kwa kura zake yeye kama yeye.

Hii ya kuwaondoa washamba washamba kama Kalemani ni Trela, 2025 tunafagia "primitives" wote serikalini. Na 2030 hakuna "sadist" atapenya kuingia 5 bora, jipangeni kisaikolojia kuongozwa na "watu smart" mpaka 2040!!
'Watu smart' bila shaka una maanisha wapigaji na wezi kama januari. Watoto wa mujini 😂
 
Tatizo mlilishwa sana maneno mazuri mliyo penda kiyasikia wakati hayana ukweli wowote,hapo aliyasema hayo kwa sababu tu ya ukabila wake kisa waliguswa watu wa kabila lake, atuambie wale walio bomolewa hapo kimara bila kulipwa fidia tena bila hata huruma walikuwa wananchi wa wawapi?

Mzee alikuwa mnafiki na mkabila sana huyu, wakiguswa kanda ya ziwa ana chachamaaa balaaa ila kanda zingine anajifanya kama hajasikia kilicho tokea na ndio maana hapa hata watetezi wake 95% ukiwachunguza wanatoka kanda ya ziwa kama wewe mwenyewe
Kimara walipwe fidia mara ngapi? Waliambiwa wahame wakauziana maeneo kinyemela! Walioondoka mwanzo walishalipwa fidia!
 
Mwenyewe late jpm alikuwa anampiga vijembe Sana kikwete, na Mara nyingine alimvunjia heshima ana kwa ana. Nakumbuka ile ya University of Dar es salaam ilikuwa ufunguzi wa hostel, binafsi mpaka niliona aibu kuiangalia.

Ukiwa kiongozi wa nchi kusemwa vibaya kupo tuu wafuasi wake mvumilie kwani sio mageni haya
nilimuona JK akiumia sana siku ile pale kwenye uzinduzi.
 
Magufuli hakuwa Mungu alikuwa ni binadamu kama wengine tu hivyo yeye alimuona mtu fulani hafai lakini mwingine ameona anafaa.
 
Kwani Diallo alisemaje khs Magu?
Alisema yeye diallo ana degree 2 za Phd kapata mwaka mmoja na kwamba anamshinda magufuli kwa akili🤣🤣🤣🤣. Eti wale waliyosema degre zake ni feki wakikosea. Yeye dialo ndio ana degree za kiukweli magufuli ana Phd feki😂😂
 
Unafiki ni moja ya sababu inayofanya watanzania na WaAfrica kuwa masikini, Unafiki hauna tofauti na uchawi...unafiki ni kigezo tosha cha kukufanya kutokuwa kiongozi..
Nionyeshe CCM mmoja ambaye siyo mnafiki nami nitakuonyesha mbuzi anayetaga mayai.
 
Sitegemei unafiki iwe jadi iliyokomaa kiasi cha namna hii nchini Tanzania.

Alivyoapishwa Samia Suluhu kwa kujua mapenzi na imani kubwa waliyokua nayo watanzania kwa Magufuli alisema baada ya kuapa kua rais wa tanzania kwamba yeye na magufuli ni kitu kimoja. Na amerudia kusema hivyo mara kadhaa.

Sasa mimi nauliza kama ni sawa Rais Samia kumuweka uwaziri mtu au watu waliyojitokeza mbele ya umma au kunaswa sauti zao wakimkashifu na kumkejeli the late Magufuli.

Wengine hata baada ya kupewa uwaziri hawaishi kumpiga vijembe kutafuta kumvunjia heshima Magufuli.

Wananchi kwa ujumla wao wanaomuenzi Magufuli na kupenda mwelekeo kisiasa na kiuchumi wa Tanzania kuendelea na mwendo wa Kimagufuli hakika wanakwazika sana kuona mtu yeyeto aliyejitokeza wazi kumpinga na kumkejeli Magufuli anaaminika kushika Wizara nyeti kwenye Serikali ya mrithi wa Magufuli.

Huyo Magufuli alikuwa Mungu wako mpaka useme wanaomsema vibaya wasipewe madaraka? Alikwambia hii nchi ni mali yake, hivyo asiyemfagilia hapaswi kupata madaraka. Eti alikuwa anakubalika na watu, kama alikuwa anakubalika ile kupora uchaguzi ilikuwa ya nini?
 
Sitegemei unafiki iwe jadi iliyokomaa kiasi cha namna hii nchini Tanzania.

Alivyoapishwa Samia Suluhu kwa kujua mapenzi na imani kubwa waliyokua nayo watanzania kwa Magufuli alisema baada ya kuapa kua rais wa tanzania kwamba yeye na magufuli ni kitu kimoja. Na amerudia kusema hivyo mara kadhaa.

Sasa mimi nauliza kama ni sawa Rais Samia kumuweka uwaziri mtu au watu waliyojitokeza mbele ya umma au kunaswa sauti zao wakimkashifu na kumkejeli the late Magufuli.

Wengine hata baada ya kupewa uwaziri hawaishi kumpiga vijembe kutafuta kumvunjia heshima Magufuli.

Wananchi kwa ujumla wao wanaomuenzi Magufuli na kupenda mwelekeo kisiasa na kiuchumi wa Tanzania kuendelea na mwendo wa Kimagufuli hakika wanakwazika sana kuona mtu yeyeto aliyejitokeza wazi kumpinga na kumkejeli Magufuli anaaminika kushika Wizara nyeti kwenye Serikali ya mrithi wa Magufuli.
Kwani kumchukia mtu kunakatazwa?mtoa roho za wapinzani keshakufa na alikua shetani
 
Sitegemei unafiki iwe jadi iliyokomaa kiasi cha namna hii nchini Tanzania.

Alivyoapishwa Samia Suluhu kwa kujua mapenzi na imani kubwa waliyokua nayo watanzania kwa Magufuli alisema baada ya kuapa kua rais wa tanzania kwamba yeye na magufuli ni kitu kimoja. Na amerudia kusema hivyo mara kadhaa.

Sasa mimi nauliza kama ni sawa Rais Samia kumuweka uwaziri mtu au watu waliyojitokeza mbele ya umma au kunaswa sauti zao wakimkashifu na kumkejeli the late Magufuli.

Wengine hata baada ya kupewa uwaziri hawaishi kumpiga vijembe kutafuta kumvunjia heshima Magufuli.

Wananchi kwa ujumla wao wanaomuenzi Magufuli na kupenda mwelekeo kisiasa na kiuchumi wa Tanzania kuendelea na mwendo wa Kimagufuli hakika wanakwazika sana kuona mtu yeyeto aliyejitokeza wazi kumpinga na kumkejeli Magufuli anaaminika kushika Wizara nyeti kwenye Serikali ya mrithi wa Magufuli.
Nakushauri Ndugu yangu, unaemuenzi wewe sio kila mtu lazima amuenzi, kila mtu anamtazamo wake na misimamo yake. Kubali kutofautiana bila kupigana, Enzi imepita, tugange yajayo mengi yatakuumiza na huna la kubadili enzi imepita. Tuuchunge umoja wetu na tusonge pamoja.
 
Sitegemei unafiki iwe jadi iliyokomaa kiasi cha namna hii nchini Tanzania.

Alivyoapishwa Samia Suluhu kwa kujua mapenzi na imani kubwa waliyokua nayo watanzania kwa Magufuli alisema baada ya kuapa kua rais wa tanzania kwamba yeye na magufuli ni kitu kimoja. Na amerudia kusema hivyo mara kadhaa.

Sasa mimi nauliza kama ni sawa Rais Samia kumuweka uwaziri mtu au watu waliyojitokeza mbele ya umma au kunaswa sauti zao wakimkashifu na kumkejeli the late Magufuli.

Wengine hata baada ya kupewa uwaziri hawaishi kumpiga vijembe kutafuta kumvunjia heshima Magufuli.

Wananchi kwa ujumla wao wanaomuenzi Magufuli na kupenda mwelekeo kisiasa na kiuchumi wa Tanzania kuendelea na mwendo wa Kimagufuli hakika wanakwazika sana kuona mtu yeyeto aliyejitokeza wazi kumpinga na kumkejeli Magufuli anaaminika kushika Wizara nyeti kwenye Serikali ya mrithi wa Magufuli.
Watu wanamchukia Mungu na wanakuwa Marais wa nchi cha ajabu nini?

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Alisema yeye diallo ana degree 2 za Phd kapata mwaka mmoja na kwamba anamshinda magufuli kwa akili🤣🤣🤣🤣. Eti wale waliyosema degre zake ni feki wakikosea. Yeye dialo ndio ana degree za kiukweli magufuli ana Phd feki😂😂
Uchunguzi wa Ben Saa8 khs PhD ya maganda ya korosho ya bwana yule uliendaje?RIP Ben

Naona akaona kabisa ampe uenyekiti wa bodi supervisor wa research yake ya PhD sio? Jamaa alikua corrupt kichizi,ukijumlisha na mambo ya Mirembre hosp. hapo ndipo mchezo unaisha.
 
Sitegemei unafiki iwe jadi iliyokomaa kiasi cha namna hii nchini Tanzania.

Alivyoapishwa Samia Suluhu kwa kujua mapenzi na imani kubwa waliyokua nayo watanzania kwa Magufuli alisema baada ya kuapa kua rais wa tanzania kwamba yeye na magufuli ni kitu kimoja. Na amerudia kusema hivyo mara kadhaa.

Sasa mimi nauliza kama ni sawa Rais Samia kumuweka uwaziri mtu au watu waliyojitokeza mbele ya umma au kunaswa sauti zao wakimkashifu na kumkejeli the late Magufuli.

Wengine hata baada ya kupewa uwaziri hawaishi kumpiga vijembe kutafuta kumvunjia heshima Magufuli.

Wananchi kwa ujumla wao wanaomuenzi Magufuli na kupenda mwelekeo kisiasa na kiuchumi wa Tanzania kuendelea na mwendo wa Kimagufuli hakika wanakwazika sana kuona mtu yeyeto aliyejitokeza wazi kumpinga na kumkejeli Magufuli anaaminika kushika Wizara nyeti kwenye Serikali ya mrithi wa Magufuli.
Kwanza uje ni kosa kurekodi maongezi ya mtu.
Nani alimruhusu achukue records za maongezi ya wengine?

JPM alikuwa ni kiongozi ibilisi, kwanini aliluwa hajiamini hadi kufuatilia wengine mbona huko nyume haikuwa hivyo?
 
Back
Top Bottom