Mtu anayemchukia Hayati Magufuli anafaa kuwa Waziri Tanzania?

Mtu anayemchukia Hayati Magufuli anafaa kuwa Waziri Tanzania?

Sitegemei unafiki iwe jadi iliyokomaa kiasi cha namna hii nchini Tanzania.

Alivyoapishwa Samia Suluhu kwa kujua mapenzi na imani kubwa waliyokua nayo watanzania kwa Magufuli alisema baada ya kuapa kua rais wa tanzania kwamba yeye na magufuli ni kitu kimoja. Na amerudia kusema hivyo mara kadhaa.

Sasa mimi nauliza kama ni sawa Rais Samia kumuweka uwaziri mtu au watu waliyojitokeza mbele ya umma au kunaswa sauti zao wakimkashifu na kumkejeli the late Magufuli.

Wengine hata baada ya kupewa uwaziri hawaishi kumpiga vijembe kutafuta kumvunjia heshima Magufuli.

Wananchi kwa ujumla wao wanaomuenzi Magufuli na kupenda mwelekeo kisiasa na kiuchumi wa Tanzania kuendelea na mwendo wa Kimagufuli hakika wanakwazika sana kuona mtu yeyeto aliyejitokeza wazi kumpinga na kumkejeli Magufuli anaaminika kushika Wizara nyeti kwenye Serikali ya mrithi wa Magufuli.
Usiseme wananchi kwa ujumla wao,ni nyie wasukuma ndio hampendezwi na wanaomsema magufuli.....

Vipi kile kibarua cha kusimamia malaika kimeshaanza huko paradiso?
 
Jpm aliteua watu wajinga sana kwa serikali yake kama huyu makonda. Mwisho wake, wateuzi hao wajinga hawakumshauri vizuri, hatimaye kifo.


Kwani wewe una elimu kiwango gani kwani nakuona kama mjinga. Magufuli aliwateua ma Phd na wasomi wenye weledi kushika nafasi mbalimbali halafu wewe unasema aliwateua wajinga? Sasa ndio wanatolewa ma Phd wazalendo wanawekwa wenye ujuzi kupiga hela ya umma.
 
Kwani wewe una elimu kiwango gani kwani nakuona kama mjinga. Magufuli aliwateua ma Phd na wasomi wenye weledi kushika nafasi mbalimbali halafu wewe unasema aliwateua wajinga? Sasa ndio wanatolewa ma Phd wazalendo wanawekwa wenye ujuzi kupiga hela ya umma.
Screenshot_20211120-060007.jpg
 
Sitegemei unafiki iwe jadi iliyokomaa kiasi cha namna hii nchini Tanzania.

Alivyoapishwa Samia Suluhu kwa kujua mapenzi na imani kubwa waliyokua nayo watanzania kwa Magufuli alisema baada ya kuapa kua rais wa tanzania kwamba yeye na magufuli ni kitu kimoja. Na amerudia kusema hivyo mara kadhaa.

Sasa mimi nauliza kama ni sawa Rais Samia kumuweka uwaziri mtu au watu waliyojitokeza mbele ya umma au kunaswa sauti zao wakimkashifu na kumkejeli the late Magufuli.

Wengine hata baada ya kupewa uwaziri hawaishi kumpiga vijembe kutafuta kumvunjia heshima Magufuli.

Wananchi kwa ujumla wao wanaomuenzi Magufuli na kupenda mwelekeo kisiasa na kiuchumi wa Tanzania kuendelea na mwendo wa Kimagufuli hakika wanakwazika sana kuona mtu yeyeto aliyejitokeza wazi kumpinga na kumkejeli Magufuli anaaminika kushika Wizara nyeti kwenye Serikali ya mrithi wa Magufuli.
Anafaa kuwa rais pia iwapo atapata ridhaa ya watanzania, mapenzi yako kwa magufuli usiyafanye kuwa ya watz wote. Kila mmoja ana mtazamo wake kwa magu.
 
Sitegemei unafiki iwe jadi iliyokomaa kiasi cha namna hii nchini Tanzania.

Alivyoapishwa Samia Suluhu kwa kujua mapenzi na imani kubwa waliyokua nayo watanzania kwa Magufuli alisema baada ya kuapa kua rais wa tanzania kwamba yeye na magufuli ni kitu kimoja. Na amerudia kusema hivyo mara kadhaa.

Sasa mimi nauliza kama ni sawa Rais Samia kumuweka uwaziri mtu au watu waliyojitokeza mbele ya umma au kunaswa sauti zao wakimkashifu na kumkejeli the late Magufuli.

Wengine hata baada ya kupewa uwaziri hawaishi kumpiga vijembe kutafuta kumvunjia heshima Magufuli.

Wananchi kwa ujumla wao wanaomuenzi Magufuli na kupenda mwelekeo kisiasa na kiuchumi wa Tanzania kuendelea na mwendo wa Kimagufuli hakika wanakwazika sana kuona mtu yeyeto aliyejitokeza wazi kumpinga na kumkejeli Magufuli anaaminika kushika Wizara nyeti kwenye Serikali ya mrithi wa Magufuli.
Mungu ni mkuu kuliko mungu wa Wasukuma, jifunze kusahau
 
mtoa post angalia hiyo video hapo chini .
Pia Suala la chanjo ya korona, {msimamo wa maufuli na wa sasa)
Pia Suala la bandari ya bagamoyo {msimamo wa maufuli na wa sasa)
Si kweli kwamba yeye na magufuli ni kitu



Hivi kweli tutakuja kupata mtu mwenye maamuzi thabiti kama huyu!!?
 
Back
Top Bottom