Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 7,799
- 14,215
- Thread starter
- #121
Hili la kupewa vyeo baada ya kuunga mkono juhudi nafikiri CCM wameiga au wamejifunza kutoka upinzani.Alphonce mawazo Yuko wapi??nani alimuua Mwangosi??Tume huru ya Uchaguzi Iko wapi??nani alizuia Mali za Lowasa na kuzitoza Kodi kubwa??nani Alivuruga Uchaguzi 2019/20??kwa nini wakiunga mkono juhudi,lazima wapewe vyeo??senseless person will not and never see oppression for opposition
Kumbuka Lowasa alizawadiwa nafasi ya juu kabisa ya kugombea uraisi kabla ya kufikisha hata miezi 3 ndani ya chama na kumtosa mkongwe aliekipigania chama kwa jasho na damu mh dr Wilbord Slaa ambae alikuwa ameshakipambania chama hicho kwa zaidi ya miaka 7. Pia kina Sumaye, Nyalandu, nk walipendelewa kwa kupewa nafasi mbali mbali ndani ya chama huku wakongwe wa chama hicho wakiishia kufanywa wapiga makofi tu mikutanoni. So nafikiri CCM iliamua kulichukua hilo kutoka Chadema na kulitumia.