Gordian Anduru
JF-Expert Member
- Apr 16, 2021
- 369
- 747
Klabu ya Simba sasa rasmiSubiri wanakuja wenye timu yao
Haya kawahi kunywa uji ulale sasaAibu kwa mtu anaitwa platinum member eti sasa rasmi Simba haitaanzia preliminary
View attachment 2366435
Na Jamaa lingine akapost
View attachment 2366438
Matokeo yake tukaanzia preliminary
Ma mods wa jf tusaidieni hizi post zisizoluwa na source
Ismail Aden Rage anastahili kabisa kujengewa mnara wa kumbukumbu wakati bado yuko hai. Maana alipita mule mule.Aden Rage alimaliza kila kitu mkuu. Huwezi kutofautisha umbumbumbu na Simba s.c
Kuna tofauti kubwa sana kati ya kauli iliyotolewa na msemaji wa timu ya Simba kipindi hicho akiikejeli Yanga na kauli iliyotolewa na ndugu Adeni Rage ambae alikiwa kiongozi wa juu zaidi wa Simba Tena aliitoa kauli hiyo ndani ya mkutano mkuu wa klabu.. km umeshindwa kutofautisha hayo mambo basi wewe utakuwa ni zaidi ya mbumbumbuMnasahau kwamba hata Manara alitwambia sisi Yanga kwa ukubwa wetu na kwakuwa sisi ndiyo mabingwa wa nchi tutaanzia raundi ya kwanza huku simba akianzia hatua ya awali?
Kwakuwa akili zetu ziko kama alivyowahi kusema mwenyewe tulimshangiliaView attachment 2366512
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Ao jamaa ni watu wanao penda ukubwa na kiki kama zilivyo tabia za CEO wao, matokeo yake mtu kapewa cheo kisicho na kichwa Wala miguu wajanja wanaenda ku mtafuna wajinga wanashangilia.
Sasa hii mambo ya kupenda Umaarufu bila vigezo stahiki wanaumia na wataendelea kuumia wengi.
Kwani si hata kichaa anaweza kuwa Platinum member?Aibu kwa mtu anaitwa platinum member eti sasa rasmi Simba haitaanzia preliminary
View attachment 2366435
Na Jamaa lingine akapost
View attachment 2366438
Matokeo yake tukaanzia preliminary
Ma mods wa jf tusaidieni hizi post zisizoluwa na source
Luc Eymael je? Huyu mwamba alikaa na utopolo takribani miezi mitatu tu. Alichokibaini kwa Mashabiki wa utopolo ndicho hiki ulichokiandika.Kuna tofauti kubwa sana kati ya kauli iliyotolewa na msemaji wa timu ya Simba kipindi hicho akiikejeli Yanga na kauli iliyotolewa na ndugu Adeni Rage ambae alikiwa kiongozi wa juu zaidi wa Simba Tena aliitoa kauli hiyo ndani ya mkutano mkuu wa klabu.. km umeshindwa kutofautisha hayo mambo basi wewe utakuwa ni zaidi ya mbumbumbu
Luc Eymael yule ni kocha mbaguzi na alitoa kauli ya kibaguzi ambayo uongozi wenye akili wa Yanga ulimtimua na aliishia kufungiwa kwa kauli zake za kibaguzi. Kuita watu weusi nyani ni jambo lakibaguzi kwenye soka..Luc Eymael je? Huyu mwamba alikaa na utopolo takribani miezi mitatu tu. Alichokibaini kwa Mashabiki wa utopolo ndicho hiki ulichokiandika.
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Hakuna tofauti basi ,hata hivo kocha Lucy alipigilia msumari kwa Kuwaita wapumbavu na manyaniKuna tofauti kubwa sana kati ya kauli iliyotolewa na msemaji wa timu ya Simba kipindi hicho akiikejeli Yanga na kauli iliyotolewa na ndugu Adeni Rage ambae alikiwa kiongozi wa juu zaidi wa Simba Tena aliitoa kauli hiyo ndani ya mkutano mkuu wa klabu.. km umeshindwa kutofautisha hayo mambo basi wewe utakuwa ni zaidi ya mbumbumbu
Kwahiyo wakiambia Yanga ni ubaguzi,utopolo bhana wenye akili wawiliLuc Eymael yule ni kocha mbaguzi na alitoa kauli ya kibaguzi ambayo uongozi wenye akili wa Yanga ulimtimua na aliishia kufungiwa kwa kauli zake za kibaguzi. Kuita watu weusi nyani ni jambo lakibaguzi kwenye soka..
Nilidhani Adeni Rage alisema Kwa bahati mbaya kumbe alidhamiria
OKW BOBAN SUNZU njoo ujibu uwongo wako hapaAibu kwa mtu anaitwa platinum member eti sasa rasmi Simba haitaanzia preliminary
View attachment 2366435
Na Jamaa lingine akapost
View attachment 2366438
Matokeo yake tukaanzia preliminary
Ma mods wa jf tusaidieni hizi post zisizoluwa na source