Mtu kama Albert Msando, kwanini anateuliwa kuongoza watu Wilayani?

Kina mama, wazazi wasihusike katika malumbano ya uteuzi wa wanasiasa tafadhali,
Sote tumezaliwa na kina mama.

Everyday is Saturday............................... 😎
Mama Samia sio mama??

Kwahiyo unatetea huyu bogus kumtesa mamake na ye visenti vyake vinaishia kwa machangudoa wa bar na JF??
 

Ya kale yamepita😂😂

Mavi ya kale hayanuki 😎😎
 
Hata video umeiangalia ndugu?? Mbona yupo kwenye gari na sio ukumbini kama unavyosema

1.Nimekuuliza hapo nichumbani Kwake?

2. Wewe ndiye uliyempiga picha? Kama sio wewe aliyempiga aliingiaje chumbani?
 
Lugha ya Ngabu siyo, ni personal attack kwa Amiri Jeshi na Mh Mama Rais.
Ni lugha iliyokosa staha.

Anayo point ya kuhoji ila ameharibu kwa hii lugha.

Everyday is Saturday.............................. 😎
 
Duh
 
Kwenye gari ni ukumbini iwe nyumbu?

Huwezi kuelewa Neno chumba chake lina maana hii ...... siri au sirini

Sasa nakubadilishia swali ili kuenda na uwezo wa akili yako

Huku barazani/ hadharani nani Ameleta? Wewe mpiga picha wake? Au yeye mwenyewe?

Je bado privacy issues? In this context
 
Huyu msando kuteuliwa hicho cheo ni ku support umalaya kwenye jamii, Mimi nimeumizwa na video chafu yake na gigy dah namhurumia mkewe wallah.
 
Kwenye gari ni ukumbini iwe nyumbu?

Umejuaje ni simu ya mpambe au mpiga picha na sio selfie??
 
Huyu msando kuteuliwa hicho cheo ni ku support umalaya kwenye jamii, Mimi nimeumizwa na video chafu yake na gigy dah namhurumia mkewe wallah.
Kwanini usiumie kwa mambo yanayokuhusu kama babako kufanya uasherati ovyo kwenye zile bar za Nfoni??
 
Huyu msando kuteuliwa hicho cheo ni ku support umalaya kwenye jamii, Mimi nimeumizwa na video chafu yake na gigy dah namhurumia mkewe wallah.

Mheshimiwa rais inampasa kuishughulikia team yake inayomfanyia mapendekezo.

Inamfedhehesha na kudharirisha taasisi ya Urais.
 
Wakati mwingine hua inatokea kwamba anayepata chansi ni anayejulikana na siyo kwakua ana uwezo.

Wenye uwezo ni makeyboard warrior na anonymous id wataonekana saa ngapi? Wanaojulikana Msukuma, Kheri James, Gwajima n.k.
Umesema la msingi sana Mkwe.
 
Haijalishi!

Hiyo video inam-disqualify Msando kushika hiyo nafasi.
Mkuu kinadharia Msando hakupaswa kuteuliwa, lkn siyo kivitendo na hasa matendo ya ccm.

Msando analipwa fadhila. Yawezekana mmesahau kwamba Msando alikuwemo kwenye kqmati iliyoongozwa na Bashiru enzi zile kuchunguza mali za chama.

Yawezekana mmesahau Mwakyembe akiwa waziri wa habari, sanaa na michezo alimteua Msando ktk kamati ndogo aliyoiunda kufuatilia haki za wasanii.

Haya yote ni baada ya kuifinya papuchi ya Giggy
 
Inatekelezwa Ahadi aliyopewa na Jiwe. Ukiona Nyami mjini ujue kafugwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…