Kwanza ujue republican wao wanakinda masirahi ya nchi Yao na watu weupe.Mwalimu Nyerere aliwahi kusema hata Marekani ni nchi ya chama kimoja, ila kwasababu tu ya anasa ya wamarekani wao wameamua kua navyo viwili.
Marekani wana free na fair election kwasababu wana chama kimoja walichokigawa mara mbili kuwapa wananchi wao kiini macho cha demokrasia.
Elon Musk na mabilionea wenzake hawana haja kabisa ya kuingilia uchaguzi kwasababu mshindi yoyote yule anaunda sera zitakazowanufaisha.
Mwalimu Nyerere aliwahi kusema hata Marekani ni nchi ya chama kimoja, ila kwasababu tu ya anasa ya wamarekani wao wameamua kua navyo viwili.
Marekani wana free na fair election kwasababu wana chama kimoja walichokigawa mara mbili kuwapa wananchi wao kiini macho cha demokrasia.
Elon Musk na mabilionea wenzake hawana haja kabisa ya kuingilia uchaguzi kwasababu mshindi yoyote yule anaunda sera zitakazowanufaisha.
🤣🤣Electro vote ni kura jumuishi . Kila jimbo lina idadi kadhaa ya electro vote. Hizi ni za muhimu kwani zinasadia raisi asichahulie na upande mmoja tu anaokubalika. Mfano kwa tanzania mgombea anaweza chaguliwa na kanda moja na akawa raisi kisa tu hiyo kanda inawakazi wengi.
Kwa Marekani hiyo kanda moja yote inajumuishwa kuwa electro vote kadhaa. Hivyo lazima mgombea apate electro vote nyingine kutoka kanda nyingine ili kuwa na electro vote nyingi kuliko mgombea mwingine.
Ni moja kati ya democrasia bora kabisa. Lazima ukibalike kote.
Sasa kama ni hivyo si uchaguzi uwe wa hizo electro vote peke yake badala ya kupoteza muda kuwapigisha wananchi wote kura huku mkijua kabisa maamuzi yao sio ya mwisho? Demokrasia ni wengi wape na sio vinginevyo. Au unataka kusema Marekani kuna ukabila na labda huenda kabila la Los Angeles likamchagua fulani kisa kabila lao?Electro vote ni kura jumuishi . Kila jimbo lina idadi kadhaa ya electro vote. Hizi ni za muhimu kwani zinasadia raisi asichahulie na upande mmoja tu anaokubalika. Mfano kwa tanzania mgombea anaweza chaguliwa na kanda moja na akawa raisi kisa tu hiyo kanda inawakazi wengi.
Kwa Marekani hiyo kanda moja yote inajumuishwa kuwa electro vote kadhaa. Hivyo lazima mgombea apate electro vote nyingine kutoka kanda nyingine ili kuwa na electro vote nyingi kuliko mgombea mwingine.
Ni moja kati ya democrasia bora kabisa. Lazima ukibalike kote.
Sio kweli, iko pale pale
Hakika
Lazima lgbtq+ mutetee mifumo yenu inaowapendeleaWatu wengi hawajui kabisa namna au mfumo wa uchaguzi ulivyo nchini Marekani na ni kazi ngumu sana kuwaelewesha kwa sababu wengine hasa wale ambao wana zile imani za kidini uelewa wao unakuwa wa shida sana.
Mfumo wa uchaguzi ulivyo nchini Marekani ni mzuri sana kwa mazingira yao na wenyewe wanaridhika nao kabisa na ndio maana unakubalika kama uchaguzi uliyo bora zaidi duniani.
Walioendelea na kujitambua wanalinda na kuheshimu haki za kila raia hata za mashoga pia zinalindwa , ndio maana kila mtu anataka kuishi US, nyie endeleeni kuibiana na kubaguanaLazima lgbtq+ mutetee mifumo yenu inaowapendelea
Lengo lake kubwa aikiingia ni kuzipunguzia hizo taasisi nguvu kwa madai zinamkwamisha. Anataka watendaji wengi wa taasisi wawe wa kuteuliwa na rais. Republicans wanaproject 2025 ya kufumua kabisa mfumo.Ni kweli wapo vizuri sana upande huo nilishangazwa kuona mtu kama Trump kuwa Rais na anapata wafuasi sina hakika kama siasa, uongozi na status ya marekani hapa duniani anaifahamu vizuri au ndio anaichukuliwa kawaida tu.
Namuona ni mtu fulani hivi mwenye maamuzi ya ajabu tofauti na ukubwa wa taifa lake namuona kama mfanyabiashara zaidi tofauti na mwanasiasa jambo zuri wamarekani wana taasisi zenye nguvu kama unavyosema.
Kashindwa kumdhibiti mwanae anasingizia demokrats.Mtoto wa kiume wa Elon aligeuka kuwa shoga ndio sababu za Elon kuchanganyikiwa na kuanza kugombana na Democrats.
Uongo, kuna uwezekano hujui kuhusu electoral collegeMarekani rais hachaguliwi kwa kura acheni kudanganga watu
Tupe idadi ya kura alizopata hillary clinton na trump wakati ule
Marekani kuna kakikundi tu cha mabwenyenye 400 sijui miangapi wale hao ndio wanachagua rahisi awe nani na nani asiwe
Kura za wamarekani hazina msaada wowote zaidi ya kiini macho
Leta kura za mwaka 2016 hapa halafu utwambie kura za wamarekani zina msaada gani
Marekani hakuna kura kuna wale wajanja mia ndio wanawaamulia wamarekani zaidi ya 300M nani awe rahisi
Marekani ni madikteta kama madikteta wengine
Kwa kawaida upigaji kura wa electoral college umeendana na popular votes. Ni mwaka huo mambo ndiyo yalikuwa tofauti. Ni mfumo mzuri ili kuleta usawa wa majimbo lakini una kasoro zake.Marekani rais hachaguliwi kwa kura acheni kudanganga watu
Tupe idadi ya kura alizopata hillary clinton na trump wakati ule
Marekani kuna kakikundi tu cha mabwenyenye 400 sijui miangapi wale hao ndio wanachagua rahisi awe nani na nani asiwe
Kura za wamarekani hazina msaada wowote zaidi ya kiini macho
Leta kura za mwaka 2016 hapa halafu utwambie kura za wamarekani zina msaada gani
Marekani hakuna kura kuna wale wajanja mia ndio wanawaamulia wamarekani zaidi ya 300M nani awe rahisi
Marekani ni madikteta kama madikteta wengine
Yupo yeye, fox news, newsmax. Wana nguvu balaa.Kwa mfumo wa marekani hawezi, labda wawe wengi lakin peke yake hatoweza, ni kutokana na mfumo na misingi ya kupata kiongozi ilivyo pande hizo
Hao ni watu wadogo sana, haswa news media aisee, america ina misingi mizito si rahisi kama unavyoonaYupo yeye, fox news, newsmax. Wana nguvu balaa.
Ficha tope la kichwaniUongo, kuna uwezekano hujui kuhusu electoral college
Lgbtq mkubwa alikuwa ni yule mtume wenu aliyekuwa akinyonya ulimi wa mwanamume mwenzake na baadaye kwenye biashara yao haramu ya utumwa wakaleta tena hiyo dhambi huku Afrika. That's all.Lazima lgbtq+ mutetee mifumo yenu inaowapendelea