Hata ndani ya CHADEMA wapinzani ni wachache mno, yaani wa kuwahesabuKuna vyama gani vingine vya upinzani hapa nchini? Vingine si matawi ya CCM yale? CHADEMA ndio wapinzani pekee hapa nchini!
Wazee wa maporini upo? Huko maporini mnafanyaga nini ndugu DC?Hao chadema wenyewe mbona hata kwenye chaguzi zao za ndani mbona hawakuwa fair to each other? Au wewe hukusikia mizengwe ya wazi iliyofanywa kwenye chaguzi za wenyeviti wa Kanda, hususani kanda ya nyasa?
Wazee wa maporini huko kuchakata matokeo mpo??Hata ndani ya CHADEMA wapinzani ni wachache mno, yaani wa kuwahesabu
Ukitaka kujua hili na kwamba Watu hawatarget Ruzuku tu, angalia kama watasusia Uchaguzi Mkuu wa Mwakani kama walivyosema
Juzi Katibu Mkuu alisusa kuendelea na kikao kwasababu Nchimbi wa CCM hakuwepo, Je Uchaguzi kwa Tume hii hii atasusia?
Hujaeleweka, andika tena kwa lugha ya kuelewekaWazee wa maporini huko kuchakata matokeo mpo??
Daah Mungu kawashika vibaya mno.
Hebu jibu swali hili kimantiki.CHADEMA kwenye chaguzi zao tu kuna rushwa na mizengwe kibao. Wangeshughulika na mambo yao kwanza. Nchi inaendeshwa kisheria na sio mihemko. Hakuna sheria iliyovunjwa na huyo mama kwa yeye kuwa mwanaCCM
CHADEMA na vyama vingine vya siasa mkiendelea kushiriki uchaguzi chini ya usimamizi wa uvccm, UWT, na makada wengine wa CCM! Msahau kushika dola. Mkijitahidi sana mtaishia kupewa ubunge na udiwani.Sijui mahakama yetu huwa inashindwaje kuelewa hoja rahisi kama hii? Au kuwa msomi maana yake ni kuwa mtu usiyefuata mantiki?
Unaikumbuka ile kesi ya kupinga wakurugenzi kusimamia uchaguzi. Na si unakumbuka kuwa hoja ilikuwa wengi wa wakurugenzi hao ni CCM hivyo hawawezi kutenda haki Kwa vyama vingine?
Sasa leo mkurugenzi wa Halmashauri ya Singida Bi Ester Anania Chaula, anagombea ubunge wa Afrika ya Mashariki kupitia CCM
View attachment 3084587
Sasa mtu kama huyu akisimamia uchaguzi CHADEMA watatoboa kweli?
Pia soma:Wakurugenzi kusimamia uchaguzi, tume ya uchaguzi kuendelea na muundo ule ule hakuna uchaguzi huru na haki
Sasa njia ya kufanya ni nini ndugu yangu. Maana Kila watu wakienda mahakamani ili mahakama itende haki mahakama inapata kigugumizi kutenda haki.CHADEMA na vyama vingine vya siasa mkiendelea kushiriki uchaguzi chini ya usimamizi wa uvccm, UWT, na makada wengine wa CCM! Msahau kushika dola. Mkijitahidi sana mtaishia kupewa ubunge na udiwani.
Binafsi mwisho wangu wa kupiga kura ilikuwa ni 2015! Baada ya hapo niliapa sitokuja kushiriki kwenye maigizo yanayoitwa uchaguzi.