Mtu kama huyu ni binadamu au shetani? Anaombeaje Corona ifike Tanzania. Kuiombea nchi yako majanga, sio zaidi ya uendawazimu? Huu sio ushetani?

Corona haiwezi kuja Tanzania kwa kupiga magoti na kuomba kwamba Corona njoo, never. Corona itakuja tu Tanzania kama kuna "Epidemiological link" kwa hiyo aliyesema anaomba Corona iingie nchini ametia Lugha hiyo kufikisha ujumbe kwa aliyekusudiwa juu ya hali ilivyo kwa wapinzani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Pascal Mayalla kwa hizi ID's fake hapa sidhani kama ni sahihi kumlaumu Mtu,

Huwezi jua pengine Umem-quote Baba wa Saanane au yoyote ambaye ameumizwa na serikali hii ya Jiwe Kama Kina Lissu. Ni Mfano tu.
 
Najua P Mayalla una lengo la kuwa expose wengi zaidi. Hujaacha kile ulichomfanyia Kabendera.

Lengo lako ni comments kama hizo zitiririke hapa upeleke file huko.

Una roho mbaya sana, ila watu tu hawakujui.
kweli huyu jamaa anapepo la ukiherehere lenye nyota ya roho mbaya....
 
Mkuu P

Agiza tu kajikombe cha kahawa ukunywe mwanawane, utajipa msongo wa mawazo bure na haya mandondocha ya Dj. Aikael

Wamemuazima common senses zao Dj. Aikael wao wamebaki na ile pombe pendwa aina ya komoni kichwani na vinywani.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao ni kama tone kwenye bahari na kamwe watu vibwengo na wenye akili mgando kama hao hawakosekani kwenye nchi aina yeyote ile duniani.

Ukienda kwenye page za Trump katika mitandao unaweza kuhisi yule rais muda wowote kinanuka raia wanamtoa kwa nguvu.

Kwahiyo hawa wajinga wachache humu mitandaoni wasikupumbaze..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naam, hao wajinga wachache wa kwa Trump nao wanatekwa na kupotezwa?
 
Huyo boya ayeombea corona ni wa kupuzwa. Stress za maisha zinamtesa. Anadhani hata asipoombea ikijia yeye na ndugu zake watabaki salama?
 
'Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo'
'Spare the rod and spoil the child'
 
[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]
 
Pascal Mayalla,
P.
Umetikisa kibuyu kilichojaa nyongo na pilipili kuwa mvumilia nyongo itapikwapo harufu yake inaweza kumtapisha Anae uguza pia,
Hasira zetu hazichagui Neno bora wewe umeanzisha Mada ya kututapisha nyongo zetu acha tutapike tu.
Hakikaa kumbe Taifa limefikia hapa...?!!Nani anatufanya tuwe wamoja tena??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona povu....ukiona hivyo hii comment sio kwa ajili yako..nimekaa nchi za Magharibi kwa miaka mingi...wakati wa baridi
wazee wengi wanakufa sana ..mbona hawatangazagi
 
Kwa hiyo izo nchi ambazo corona imesha ingia wameomba.watu sijui mmekula maharage ya wapi,kama imepangwa kufika itafika hata watanzania wote tukakeshe nyumba za ibada.
mnakaa kuandika uupuuzi tu.eti uzalendo mbona ukimwi uliingia wazalendo mlikuwa wapi kuomba usiingie...haya nyinyi wazalendo mmejiandaaje kupambana huu ugonjwa usiingie au ma dj kutoa tangazo katikati ya show..mnaogopa kufa kamaipo ipo tu.SHARUBATI....!!!!!$€¥₩₩😡😡😡😡😡😡😡
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…