Honey Faith
JF-Expert Member
- Aug 21, 2013
- 15,782
- 11,819
Mkuu kuna wadada wanakaba hadi penati, yaani anataka ukiingia whatsapp uwe unachat nae, anadhani humu duniani unajuana na yeye tu. So kuokoa muda wa kuulizana, ficha last seen.
Kwa hiyo unaficha last seen kisa wadada?