Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mzee uwanja ujengwe zaidi ya miaka mitatu? Halafu jua no way uwanja ungeanza kujengwa now kwa sababu hatukuwa na bajet ya viwanja hivyo hadi ilipopita bid ya AFCONUtaisha 2027?
wa arusha ushaanza kujengwa na waturuki huku olmotonyiViwanja vya kuandaa Afcon 2027 vimefikia hatua gani Arusha na Dodoma? Au bado vipo kwenye upembuzi yakinifu?
Zanzibar inaenda kasi sana kusema miradi yote inategemea pato lake ni ngumu kuamini, yote kwa yote pongezi kwao kwa Amani Sports Complex
Kumbe waturuki ndo wameshinda tender aiseee,wa arusha ushaanza kujengwa na waturuki huku olmotonyi