Smart911
Platinum Member
- Jan 3, 2014
- 135,167
- 160,806
Sijachunguza maisha wala mambo yao, kila mtu kwake... Nachofahamu ni wasomi...Wamefanya 'publication' zipi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijachunguza maisha wala mambo yao, kila mtu kwake... Nachofahamu ni wasomi...Wamefanya 'publication' zipi?
Ni viashiria vipi, vinavyokupa nguvu kusema wao ni wasomi?Sijachunguza maisha wala mambo yao, kila mtu kwake... Nachofahamu ni wasomi...
Elimu waliyonayoNi viashiria vipi, vinavyokupa nguvu kusema wao ni wasomi?
Chukua jina lake, mtafute kwa 'google' kama amekuwa 'cited' kwenye chapisho loloteElimu waliyonayo
''Accordance with eqnx ..../ according to eqn x...'' kama kwenye maandiko ya watu, hutumiki kwenye hiyo ''phrase'', usijihangaishe kujiita wewe ni msomi.
Kwahyo wale Madaktari bingwa wa muhimbili wanamachapisho Google siyoChukua jina lake, mtafute kwa 'google' kama amekuwa 'cited' kwenye chapisho lolote
Sawa na fani ya ufundi tu; kuna mafundi magari, mbao n.kKwahyo wale Madaktari bingwa wa muhimbili wanamachapisho Google siyo
Hapa ndipo linapokuja chimbuko la kuwa na 'definition' nyingi; ndio maana kwa ngazi ya chuo hutakiwi kujikita kwenye 'definition' moja, lazima uzi-challenge zingine ndipo uje na 'definition' yako.Sio kweli.
Kwahyo wasomi ni lazima wawepo google na mwalim wako pia yupo googleSawa na fani ya ufundi tu; kuna mafundi magari, mbao n.k
Watu hawapendi kusikia ukweliAcha dharau, shahada ni elimu ya juu siyo elimu ya kawaida. Mtu mwenye shahada ni professional kwenye field yake utamchanganyaje na mtu wa elimu ya secondary tu?
Acha dharau, shahada ni elimu ya juu siyo elimu ya kawaida. Mtu mwenye shahada ni professional kwenye field yake utamchanganyaje na mtu wa elimu ya secondary tu?
Kuwa mwalimu, haimaanishi tayari ameshakuwa msomiKwahyo wasomi ni lazima wawepo google na mwalim wako pia yupo google
SawaKuwa mwalimu, haimaanishi tayari ameshakuwa msomi
Umenikumbusha 'banking approach, model of education'Msomi ni mtu ambaye akili yake haijaharibiwa na shule anajifunza kulingana n mazingira na anaishi kulingana na mazingira ukienda shule tu wewe ni mjinga wazungu wanafuta maarifa ya asili tuliyopewa na mungu na kukariri Elimu ambayo Haina msaada Zaid ya makaratasi ndio maana utasikia wazee wa zaman walikuwa Wana akili japo hawakusoma
Tafakari: Mungu aliumba akili sio Elimu tumia akili yako katika mazingira sahihi na uwe msomi
Ahaa.... Unamaanisha mbwa ukimfindisha kukaa juu ya kiti na akafanikiwa, tutasema mbwa ana akili na siyo mbwa kaenda shule siyo.. au nimekuelewa vibayaMsomi ni mtu ambaye akili yake haijaharibiwa na shule anajifunza kulingana n mazingira na anaishi kulingana na mazingira ukienda shule tu wewe ni mjinga wazungu wanafuta maarifa ya asili tuliyopewa na mungu na kukariri Elimu ambayo Haina msaada Zaid ya makaratasi ndio maana utasikia wazee wa zaman walikuwa Wana akili japo hawakusoma
Tafakari: Mungu aliumba akili sio Elimu tumia akili yako katika mazingira sahihi na uwe msomi
Hao warefu wako wangapi mpaka nikisimama nijione mimi mfupiUkisimama katikati ya watu warefu, lazima ujione wewe ni mfupi
Mada utakuwa umeielewa vizuri sasaHao warefu wako wangapi mpaka nikisimama nijione mimi mfupi