Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #101
Tatizo waafrika wengi hawataki kuambiwa ukweli, ukitaka usonge mbele, kubali tatizo na weka mikakati ya kusonga mbeleJamaa mbona unawadharau wenye degree zao wakati ndio wanaohudumu kwenye maofisi na sekta nyingi ambazo wewe unapata huduma,?
Au wewe usomi ni mpaka mtu agundue kitu,??
Kama ni matatizo ya jamii wasomi wengi tu wenye degree wanayatatua.