Acha porojo wewe kwa elimu hii ya kukariri slides.... Kongole kwa mpwa kuamua kujikwamua na kutumia fursa ambayo kaionaNafikiri tatizo si elimu ila tatizo ni mpwa kuitumia Hiyo elimu
Elimu haikuanzishwa ili Watu waajililiwe ila ilanzishwa ili Watu waweze kutawala mazingira yao vizuri kwa uarahisi
Tunapokwama tunachukulia elimu ni kama njia ya kuajiliwa badala kuchulia kama njia ya kutufungua ufahamu wa kutawala mazingira
Mahitaji ya dunia yanabadilika sana, Inatakiwa mshonaji ambae anaweza kumudu vitu kama lugha na matumizi bora ya mtandao namna ya kumudu masoko kidigitali zaidi kumpa huduma bora mteja ni ujuzi mwingine ambao hauji tuu ila kwa kipawa binafsi au elimu,na kucheza na soko linahitaji nini.Nimetoka kuzungumza na mpwa wangu sasa hivi anaomba msaada wa cherehani akajifunze kushona nguo, ndio mradi aliobuni baada ya kusota miaka 2 bila ajira. Amesoma ana degree Bachelor of Arts in Community and Development Studies.
Kaniambia ameshapata mtu wa kumfundisha na mahali pa kujifunzia (baraza fulani hivi). Ninavyofahamu huyo fundi cherehani atakayekuwa anamfundisha mpwa wangu kushona ana elimu ya darasa la saba tu, jamani! Huyu fundi atapata ujumbe gani kuhusu kusomesha mtoto?
Hivi kweli ni sawa kijana asome hadi elimu ya university aishie kuja kufundishwa ushonaji na mtu wa la saba? Kulikuwa na sababu gani ya kupoteza gharama na muda wote huo, si bora tu angeenda ushonaji alipomaliza la saba, labda sasa hivi angekuwa mbali sana. Au kuna mahali tunakosea katika elimu hizi, tuna universities nyingi na courses nyingi lakini kumbe wanachohitaji watu ni ufundi cherehani tu! Tunahangaika na mambo makubwa ya gharama kubwa bure tu!
Interestingly mpwa wangu ana shauku kubwa ya kutekeleza mpango wake huu, anauchukulia serious kabisa, anaanza kesho rasmi! Namtakia kila la heri lakini kwa kweli nashangaa tu, mimi katika makuzi yangu niliona degree ni level kubwa sana, si ya kutumia kwenye cherehani. Lakini basi ndiyo imeshakuwa hivyo.
Tunakwama wapi?
elimu sio njia ya mafanikio ila elimu ni mwongozo wa kila binaadamu kwenye uso wa dunia unaposoma kuna vitu vingi sana atapata kuvielewa ambavyo ni msaada tosha kwenye maisha ya binaadamu wenye elimu wengi ni masikini duniani na wenye elimu ya kati ambayo haina msaada wowote duniani lakini ndo matajiri mkuu hivyo basi tuache tabia ya kuchukulia kwamba ukiwa na elimu basi lazima upate pesa au kazi nzuri tabia hii mbaya sana pia unaweza kuwa darasa la saba ila ukapata kazi nzuri sana na yenye mafanikio makubwa sana wengi tunao kwenye jamii zetu tukae tukitambua elimu ni chanzo cha maarifa tu na si chanzo cha mafanikio.Kumbuka mpwa kakosa connection akipata connection in three or two year anakuwa na ukwasi au mali zaidi ya uyo fundi ila uyo fundu kitu kupata connection akabadili game faster kama mpwa pengine abet au ashinde tatu mzuka
Kwaiyo usimdharau mpwa ni mapito tu sema mpwa naye yupo porini sana nini si aendeshe hata boda boda afungue milango ya connection kwa kukutana na watu yani umesoma unatafuta kazi alafu unaenda kufanya kazi ya kukaa ukutani na wadau inatakiwa ajichanganye akapige hata vibarua vya ujenzi uko, au kupiga debe stand yani mixing style
Tatizo ni elimu au tatizo ni Watu tunavyo ichukulia elimu ???Acha porojo wewe kwa elimu hii ya kukariri slides.... Kongole kwa mpwa kuamua kujikwamua na kutumia fursa ambayo kaiona
Tatizo ni Elimu.... Elimu ikiwa nzuri kila kitu kitakua vizuri..
mimi na degree zangu mbili ni fundi seremala.
safi sana mkuu, kila la heri.Mkuu nafuata nyayo zako! January naanza VETA Evening class kila ntakapotoka ofisini!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimetoka kuzungumza na mpwa wangu sasa hivi anaomba msaada wa cherehani akajifunze kushona nguo, ndio mradi aliobuni baada ya kusota miaka 2 bila ajira. Amesoma ana degree Bachelor of Arts in Community and Development Studies.
Kaniambia ameshapata mtu wa kumfundisha na mahali pa kujifunzia (baraza fulani hivi). Ninavyofahamu huyo fundi cherehani atakayekuwa anamfundisha mpwa wangu kushona ana elimu ya darasa la saba tu, jamani! Huyu fundi atapata ujumbe gani kuhusu kusomesha mtoto?
Hivi kweli ni sawa kijana asome hadi elimu ya university aishie kuja kufundishwa ushonaji na mtu wa la saba? Kulikuwa na sababu gani ya kupoteza gharama na muda wote huo, si bora tu angeenda ushonaji alipomaliza la saba, labda sasa hivi angekuwa mbali sana. Au kuna mahali tunakosea katika elimu hizi, tuna universities nyingi na courses nyingi lakini kumbe wanachohitaji watu ni ufundi cherehani tu! Tunahangaika na mambo makubwa ya gharama kubwa bure tu!
Interestingly mpwa wangu ana shauku kubwa ya kutekeleza mpango wake huu, anauchukulia serious kabisa, anaanza kesho rasmi! Namtakia kila la heri lakini kwa kweli nashangaa tu, mimi katika makuzi yangu niliona degree ni level kubwa sana, si ya kutumia kwenye cherehani. Lakini basi ndiyo imeshakuwa hivyo.
Tunakwama wapi?
Me nipo kitaa hapa napiga bodaboda na degree yangu, siri ya maisha aijuae Mungu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ufikiri wa jamii, na wewe ukiwemo ndio shida, hakuna kazi za walioelimika na wasioelimika, shuleni huwa tunaenda kusoma ili kupanua mawazo yatakayo tusaidia katika kuendesha maisha yetu.Nimetoka kuzungumza na mpwa wangu sasa hivi anaomba msaada wa cherehani akajifunze kushona nguo, ndio mradi aliobuni baada ya kusota miaka 2 bila ajira. Amesoma ana degree Bachelor of Arts in Community and Development Studies.
Kaniambia ameshapata mtu wa kumfundisha na mahali pa kujifunzia (baraza fulani hivi). Ninavyofahamu huyo fundi cherehani atakayekuwa anamfundisha mpwa wangu kushona ana elimu ya darasa la saba tu, jamani! Huyu fundi atapata ujumbe gani kuhusu kusomesha mtoto?
Hivi kweli ni sawa kijana asome hadi elimu ya university aishie kuja kufundishwa ushonaji na mtu wa la saba? Kulikuwa na sababu gani ya kupoteza gharama na muda wote huo, si bora tu angeenda ushonaji alipomaliza la saba, labda sasa hivi angekuwa mbali sana. Au kuna mahali tunakosea katika elimu hizi, tuna universities nyingi na courses nyingi lakini kumbe wanachohitaji watu ni ufundi cherehani tu! Tunahangaika na mambo makubwa ya gharama kubwa bure tu!
Interestingly mpwa wangu ana shauku kubwa ya kutekeleza mpango wake huu, anauchukulia serious kabisa, anaanza kesho rasmi! Namtakia kila la heri lakini kwa kweli nashangaa tu, mimi katika makuzi yangu niliona degree ni level kubwa sana, si ya kutumia kwenye cherehani. Lakini basi ndiyo imeshakuwa hivyo.
Tunakwama wapi?
Karatasi ya thamani ni pesa bro..hivyo vyeti sijui madegree ni uchafu tuNimetoka kuzungumza na mpwa wangu sasa hivi anaomba msaada wa cherehani akajifunze kushona nguo, ndio mradi aliobuni baada ya kusota miaka 2 bila ajira. Amesoma ana degree Bachelor of Arts in Community and Development Studies.
Kaniambia ameshapata mtu wa kumfundisha na mahali pa kujifunzia (baraza fulani hivi). Ninavyofahamu huyo fundi cherehani atakayekuwa anamfundisha mpwa wangu kushona ana elimu ya darasa la saba tu, jamani! Huyu fundi atapata ujumbe gani kuhusu kusomesha mtoto?
Hivi kweli ni sawa kijana asome hadi elimu ya university aishie kuja kufundishwa ushonaji na mtu wa la saba? Kulikuwa na sababu gani ya kupoteza gharama na muda wote huo, si bora tu angeenda ushonaji alipomaliza la saba, labda sasa hivi angekuwa mbali sana. Au kuna mahali tunakosea katika elimu hizi, tuna universities nyingi na courses nyingi lakini kumbe wanachohitaji watu ni ufundi cherehani tu! Tunahangaika na mambo makubwa ya gharama kubwa bure tu!
Interestingly mpwa wangu ana shauku kubwa ya kutekeleza mpango wake huu, anauchukulia serious kabisa, anaanza kesho rasmi! Namtakia kila la heri lakini kwa kweli nashangaa tu, mimi katika makuzi yangu niliona degree ni level kubwa sana, si ya kutumia kwenye cherehani. Lakini basi ndiyo imeshakuwa hivyo.
Tunakwama wapi?