Mtu mwenye shahada ya sheria anaweza kufanya kazi idara ya mazingira?

Mtu mwenye shahada ya sheria anaweza kufanya kazi idara ya mazingira?

Mzee wa old school

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2021
Posts
873
Reaction score
1,405
Habari zenu wandugu, naomba kujua, hivi mtu ambaye ana fani ya sheria anaweza Fanya kazi ama kuajiriwa kama afisa mazingira au misitu, ama idara yeyote inayo jihusisha na mazingira?
Naombeni tufahamishane wandugu kwa wale wenye ufahamu kuhusu hili...
Mungu awabariki..
 
hueleweki unachokiuliza,unaweza kufanya Idara ya Mazingira kama mwanasheria au administrative job na sio kuwa Afisa Mazingira.
 
Back
Top Bottom