Mtu mwenye tabia hizi, ana tatizo gani?

Unamla??? samahan lakin
 
Unambotwa??;;!!! samahan lakin
 
Moderator tunaomba jibu #9 na #14 utuwekee chini ya post Namba moja, maelezo yake yanajitosheleza.
 
Wasikupambe wala ni mara ooh umepevuka mapema sijui nini hakuna kitu hapo, angalia dogo utakuja kuwa shoga hebu jichanganye na wana kitaa ili ujifunze maisha. Kisa una laptop basi unajiona mzungu fulani eenhe?
 
Kawaida tuu, wewe ni msafi, una misimamo yako na discipline yako
 
Mimi pia nipohivyohivyo laptop na mimi ila sasa mimi sishughuliki nikikaa sehemu na pc sinyanyuki mpaka njaa inishike sina marafiki hata 6 sifikishi na demu sina
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…