Mtu Mweusi [Mwafrika] sio uzao wa Adam na Hawa

Hiyo dhana ya adamu na hawa ni uongo tu kutokana na ujinga wa binadamu. Na kuanzia hapo ndio kisa cha mtu mweusi kudhalilishwa kwa kuletewa imani za wageni.
 
Masela weusi hawa 😂😂
 

Attachments

  • black_dark_skinned_chinese_people_african_descent.jpeg
    31.8 KB · Views: 14
ishu ya Adam sijui Hawa ni conspiracy tu mkuu, zingatia mungu aliumba wanadamu kwa kuzingatia mazingira yaliyopo aliumba watu weupe,wekundu,weusi na,mchanganyiko kadili tunVyoingiliana tukaanza kuchanganya damu na kadharika.
 
Quran inasema mtu wa mwanzo duniani alikuwa mweusi,Science inasema mtu wa mwanzo katokea Afrika,..Afrika ni ya watu weusi

Hapo Dini na Science zimekubaliana, mazingira na chakula ndiyo yanayomfanya mtu abadilike
Mazingira na chakula yanambadilisha mtu? Mtoto wa kiafrika akizaliwa ulaya huwa anabadilika kuwa mzungu ee.
 
Unamaanisha seth alilala na ndugu zake?
 
ishu ya Adam sijui Hawa ni conspiracy tu mkuu, zingatia mungu aliumba wanadamu kwa kuzingatia mazingira yaliyopo aliumba watu weupe,wekundu,weusi na,mchanganyiko kadili tunVyoingiliana tukaanza kuchanganya damu na kadharika.
Ko Mungu aliumba Adam na Hawa wa Tunduma, akaumba Adam na Hawa wa Hong Kong, akaumba Adam na Hawa wa London, Adam na Hawa wa Chitoholi ama vipi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…