Mtu Mweusi [Mwafrika] sio uzao wa Adam na Hawa

Mtu Mweusi [Mwafrika] sio uzao wa Adam na Hawa

Maswali yako yote yanajibika.Kabla ya kukujibu ni vyema ukinijuza upande ambao unataka majibu yako yatokee mana kwa namna ulivyouliza ni wazi kuwa umeuliza kwa kupitia misingi ya dini hizi: Uislamu au Ukristu. Sasa kila dining kati ya hizo mbili zina majibu yake juu ya maswali uliyouliza.
Sasa unataka majibu yatokee upande gani?
Swali langu nimeuliza kutokana na nadharia ya “Creation theory” inayo wataja Adam na Hawa kwamba ndio waanzilishi wa watu duniani [ watu wa kwanza kuwapo hapa duniani ]. Kama unaweza kutoa majibu kwa msingi wa dini yoyote pia naruhusu ila jikite na mada zaidi [ mzungumzie mtu mweusi ].
 
Ajabu swali kama hili huwezi pata jibu. Na sababu zipo za kutosha tu.
1. Kusema Adam alizaa watoto weupe na
weusi haiwezekani.
2. Kusema walizaliwa weupe
wakatawanyika huko na kule na
kubadilika rangi, sijui. Labda kwa
miujiza.
3. Kusema kulikuwa na Adam kadhaa
weupe kwa weusi, hakuna mahali
imeandikwa.
4. Hoja ni nyingi. Lakini ili kutunza heshima
za vitabu na hao weupeweupe kuhoji ni
kama kukufuru!
5. Ukweli utabaki ukweli tu. Japo ukweli
wenyewe hatuja upata.
6. Wengine watakwambia, shida ni nini
wakati una uhai. Sawa, lakini ni muhimu
pia kukiri lipo ombwe mahali.

Akili ya binadamu huwezi izuia kuhoji kuwepo kwake duniani. Binadamu atakosa majibu lakini swali linatamalaki.
 
Awali ya yote ningependa kuwasalimu wanajamii wenzangu habari zenu, natumai ni wazima wa afya.

Nina maswali kadhaa ambayo ningependa kupata majawabu kutoka kwenu wana Jamiiforums yatakayo kuwa msaada na faida kwa jamii nzima na kubadili
taswira na mtazamo wa jamii nzima juu ya asili ya mtu mweusi [ mwafrika ] na uwepo wake hapa duniani.
Maswali:
1. Je mtu mweusi[ Mwaafrika ] ni uzao wa Adamu na Hawa ?

2. Je Adamu na Hawa walikuwapo pekee duniani ? na Afrika kulikuwa hakuna watu?

3. Je uzao wa mtu mweusi ni kutoka ndani ya Afrika au nje ya Afrika ? Na Kama ni kutoka nje ni kutoka kwa nani watu wa bara la Ulaya [wazungu], watu wa Mashariki ya Kati, watu wa Asia ya mbali au watu wa bara la Amerika?

4. Je inawezekana mtu mweupe kwa mweupe [ mfano mzungu kwa mzungu ] kuzaa mtu mweusi?

N.b: Matusi na lugha za kuudhi hazitakiwi , pia unaweza kuongeza maswali yako kama kutakuwa na ulazima wa kufanya hivyo.
Fuvu la binadamu wa kwanza kuishi duniani, linapatokana Olduvai Gorge. Hii ni kwa mujibu wa historia. Hivyo binadam wa kwanza labda alikuwa mtu mweusi tena Mtanzania.
 
Bila shaka huo ni mtazamo wako ila hakuna ukweli wowote.
Nadhani unafaham ama ushawahi kumskia malikia wa Sheba kutoka Ethiopia,
Malkia wa Sheba alizaa na Mfalme Suleman, mtoto aliitwa Meneliki wa Kwanza naye akamza Menelik II, Menelik II akamzaa Haile Sellasie
Swali je hao wote walikuwa watu weupe na ikumbukwe Suleman ni uzao wa Daudi generation ya Baba wa Iman Ibrahim.

Ungesema habar za Evolution kibiologia angalau ungekuwa unaelekea kweny fact japo hakuna empirical evidence.
Kwa hiyo swali 4 , mzungu kwa mzungu wanaweza kuzaa mtu mweusi mfano kama Baloteli ?
 
Fuvu la binadamu wa kwanza kuishi duniani, linapatokana Olduvai Gorge. Hii ni kwa mujibu wa historia. Hivyo binadam wa kwanza labda alikuwa mtu mweusi tena Mtanzania.
Alikuwa ni mtu wa kwanza kwa upande wa watu weusi au ni kwa watu rangi zote duniani ?
 
Ajabu swali kama hili huwezi pata jibu. Na sababu zipo za kutosha tu.
1. Kusema Adam alizaa watoto weupe na
weusi haiwezekani.
2. Kusema walizaliwa weupe
wakatawanyika huko na kule na
kubadilika rangi, sijui. Labda kwa
miujiza.
3. Kusema kulikuwa na Adam kadhaa
weupe kwa weusi, hakuna mahali
imeandikwa.
4. Hoja ni nyingi. Lakini ili kutunza heshima
za vitabu na hao weupeweupe kuhoji ni
kama kukufuru!
5. Ukweli utabaki ukweli tu. Japo ukweli
wenyewe hatuja upata.
6. Wengine watakwambia, shida ni nini
wakati una uhai. Sawa, lakini ni muhimu
pia kukiri lipo ombwe mahali.

Akili ya binadamu huwezi izuia kuhoji kuwepo kwake duniani. Binadamu atakosa majibu lakini swali linatamalaki.
Sawa Asante. Kwa hiyo ni ngumu sana kupata majawabu sahihi ?
 
Awali ya yote ningependa kuwasalimu wanajamii wenzangu habari zenu, natumai ni wazima wa afya.

Nina maswali kadhaa ambayo ningependa kupata majawabu kutoka kwenu wana Jamiiforums yatakayo kuwa msaada na faida kwa jamii nzima na kubadili
taswira na mtazamo wa jamii nzima juu ya asili ya mtu mweusi [ mwafrika ] na uwepo wake hapa duniani.
Maswali:
1. Je mtu mweusi[ Mwaafrika ] ni uzao wa Adamu na Hawa ?

2. Je Adamu na Hawa walikuwapo pekee duniani ? na Afrika kulikuwa hakuna watu?

3. Je uzao wa mtu mweusi ni kutoka ndani ya Afrika au nje ya Afrika ? Na Kama ni kutoka nje ni kutoka kwa nani watu wa bara la Ulaya [wazungu], watu wa Mashariki ya Kati, watu wa Asia ya mbali au watu wa bara la Amerika?

4. Je inawezekana mtu mweupe kwa mweupe [ mfano mzungu kwa mzungu ] kuzaa mtu mweusi?

N.b: Matusi na lugha za kuudhi hazitakiwi , pia unaweza kuongeza maswali yako kama kutakuwa na ulazima wa kufanya hivyo.
Mkuu naomba kukuuliza wewe k2wmba kwani adamu alikuwa mzungu(mtu mweupe) ?

Kama alikuws mzungu ni kwa mujibu wa maandiko gani ?
 
Mwalimu wa history alisema tumetokana na sokwe sijui sokwe sijui nyani....na mi namuamini hakunidanganya
Sikupingi
IMG_20220713_134907.jpg
 
Mkuu naomba kukuuliza wewe k2wmba kwani adamu alikuwa mzungu(mtu mweupe) ?

Kama alikuws mzungu ni kwa mujibu wa maandiko gani ?
Adamu na Hawa kwa mujibu wa tafiti mbalimbali hakuwa mzungu bali mtu wa mashariki ya kati ambapo watu wake sio wazungu.

N.b Sio kila mtu mweupe ni mzungu kuna watu wa mashariki ya Kati na mashariki ya mbali nao pia ni weupe.
 
Back
Top Bottom